Kenya to Sell Ports, Banks, Electricity Company etc. to China

Kenya to Sell Ports, Banks, Electricity Company etc. to China

Out of those only NBC is privatised, TTCL, ATCL are back to GoT. Whereas NIC has never been privatized!

Sawa, but that also proves my point.
The fact that they are managed by the government explains why they cannot compete with privately ran or publicly traded companies in the region.
 
So you will go picking all the big companies you can think of to prove your point. China operates on its own unique rules.

Fact is 99% of government managed companies in the world end up as failures or lag behind private companies.
Nimekupa mifano tu kurefute statement yako kwamba only LDC ndo serikali inamiliki mashirika na makampuni… naweza kukupa list ya mashirika uliyotaja hapo (reli.. Airports.. Airlines etc ) ambazo zinamilikiwa na serikali katika nchi ambazo ziko well off tu kiuchumi..
 
Kwa hiyo hao wakenya wa gazeti la standard, na media zote za Kenya pamoja na wasomi wote wanaosema lengo la kuuza kwa sasa ni ili kupata pesa za bajeti hawajui kitu wewe ndio unajua kila kitu?.

Mbona serikali isiwachie private sector kujenga SGR kama unahisi serikali haiwezi kuendesha mashirika kwa faida?. Unadhani mashirika yote yanayobinafsishwa yanatengeneza faida?, mbona KQ inatengeneza hasara, Kirubi anajuta kuwekeza pesa yake KQ, reli yenu ya zamani mbona mlibinafsisha lakini hali ni mbaya zaidi?.

80% ya UMEME wa Kenya huzalishwa na KenGen, ambapo serikali inamiliki 70% ya share, hii maana yake serikali ndiyo yenye maamuzi ya mwisho kuhusu bei ya UMEME kwa wananchi, ni hatari sana serikali kupoteza huo uwezo wa kuamua bei ya UMEME kwa wananchi. Mkiendelea kupunguza huo uwezo wa maamuzi mtapoteza nguvu ya kupanga bei, kumbuka UMEME ni engine ya uchumi wa nchi.

Acha kabisa kusema eti serikali inaweza kupanga na kudhibiti bei vile itakavyo, huo utakua sio uchumi huria, hivi kwanini hushangai bei ya Diesel na Petrol Kenya IPO juu kuliko nchi zote za EAC, moja ya sababu ni kwamba serikali yenu imeachia private sector kufanya kila kitu katika ununuzi, usafirishaji na usambazaji.

Tanzania serikali inasaidiana na private sector katika kutafuta wapi kunapatikana Diesel na Petrol kwa bei nafuu huko nje, then serikali wanasaidia yasafirishwe in bulk, sio kila importer asafirishe kivyakevyake, mwisho yanafika Tanzania yakiwa na bei ndogo.

Kazi ya magazeti ni kuuza.
Ile headline itakayo vutia watu ndio wataandika.
Sio kusema kwamba kutafuta pesa ya bajeti ni uwongo, lakini hio ni a very secondary reason. I doubt ata zikiuzwa zitachangia 1% ya bajeti.

Kujenga SGR na kuendesha SGR ni kazi mbili tofauti.
SGR ni kama barabara. Serikali ikijenga barabara, sio lazima inunue mabasi.
Same thing. Treni zinaweza endeshwa na kampuni binafsi. Mfano kampuni ya Richard Branson Virgin huendesha treni UK.

Kwa maneno ya stima, hapa Kenya watu wamelia miaka mingi kwamba Kenya Power inahitaji competition. The only way hio inaweza fanyika, ni kama kampuni binafsi itaanzisha kampuni ingine ya kusambaza stima, ama Kenya Power iwe split.
Na hili si jambo geni.

Mfano nchi ya US, kampuni zote kubwa za kuzalisha na kusambaza umeme ziko mikononi ya watu binafsi. Hadi nuclear power zinazalishwa na kampuni binafsi.
Hii ni competition, na bei inashuka.
 
Sawa, but that also proves my point.
The fact that they are managed by the government explains why they cannot compete with privately ran or publicly traded companies in the region.
Not always the case ET is government owned but perform better than public owned KQ! TTCL though taken back by government of recently performs better than when was privatized!
 
Nimekupa mifano tu kurefute statement yako kwamba only LDC ndo serikali inamiliki mashirika na makampuni… naweza kukupa list ya mashirika uliyotaja hapo (reli.. Airports.. Airlines etc ) ambazo zinamilikiwa na serikali katika nchi ambazo ziko well off tu kiuchumi..

Haimaanishi kwa sababu ya privatization, serikali ibaki bila kumiliki chochote. The Kenyan government still owns many other things.

Privatization lazima ifanywe na strategy, kwa mpango na after kusoma market vizuri.
Kama kampuni inafanya vyema in its current state. Kama kampuni inaendeshwa vyema. Haina efficiency issues. Haileti hasara.. nk.
Sio lazima serikali iuze share zake.

Nilipost chart hapa kwa hii thread ya reasons za kuuza hizi kampuni 26.
Kila kampuni iko na reasons zake, lakini majority ni kupata hela za ku-reinvest kwa hio hio kampuni.
 
Not always the case ET is government owned but perform better than public owned KQ! TTCL though taken back by government of recently performs better than when was privatized!

I'm not saying there are no exceptions. But the truth is most government run companies cannot compete with privately owned.
When you see a government company being left behind in its industry, or near collapsing, privatize it.

Some of these 26 companies been sold have been mismanaged for years and have been making losses.
 
By the way, ni nchi LDC tu kama Tanzania unapopata kila kitu kinaendeshwa na serikali.

Nchi zilizo endelea kama US, Japan, UK etc, zilifanya privatization ya karibu kila kitu.

Airlines, Trains, garbage, Airports, electricity, ports etc.. zote ziko in private hands, for profit.
Na ndio maana things run efficiently in those countries.

Isikushangaze kwamba the famous Heathrow Airport is privately owned.
Sell the SGR coz its loss making project as well.
 
Sell the SGR coz its loss making project as well.

SGR is an infrastructure project. Owned by the people of Kenya.
What we can do, and we are doing, is having a private company run the trains.

You should try and understand next time before commenting, what is being privatized.
 
SGR is an infrastructure project. Owned by the people of Kenya.
What we can do, and we are doing, is having a private company run the trains.

You should try and understand next time before commenting, what is being privatized.
I will unferstand when Chinese drop by and grab whats theirs.
 
Some folks believe wrongly that privitasation is a sort of silver bullet.
1)You dont privatise a company because you planted your relatives in management and they stole money..You hold then accountable and do proper recruitment not appoint your cronies

2)When you sabotage the markets of companies like sugar mills by importing cheap sugar and dump it..The solution is NOT privitisation

3) When you sell of shares of profitable companies such as KenGen to sort out a short term budget defeciet, it shows how stupid you are..Fix the defeciet, which is mostly due to corruption..Kibaki did not sell KenGen Shares inorder to fix a budget shortfall, he sold to help kengen raise capital to drill more wells and double the generation

This like many other Jubilee Economic Policies will end in tears. 5 years from now, the same people here will be saying as they were recently saying..Jubilee Nī Gūtee
 
danganyikas mnapenda kujipa stress, ulcers & sleepless nights na mambo ya Kenya.

Parastatals are things of the past, kama vile Nyerere wenu ali nationalize all companies....baadaye mliona vile umaskini ulifuata kwa taratibu 😂😂

So don’t come here with upuzi.
2nd, selling is not instant, & it’s not 100% sell-off!. The process is long & has legal procedures and it barely means the gov will sell a portion of the company, example kama vile the gov sold Kenya airways it retained considerable shares.

The motive of selling state corporations is to remove bureaucracy & increase efficiency. Investors wataleta new views, new management and focus on generating revenue. Parastatals are like pests feeding off the government.

EDITORIAL: Parastatals lose billions, state should sell more

Waone hii.
If the Kenyan government had failed to sell a 40% share of Safaricom to Vodafone in 2000, Kenya would be a very different place today.
I doubt the world would even know of anything by the name Mpesa.

Alafu there are so many historical examples. Countries that promoted nationalization of companies, mainly Eastern Europe and other communist countries, ended up way less developed than those who let the private sector run the show.
 
By the way, ni nchi LDC tu kama Tanzania unapopata kila kitu kinaendeshwa na serikali.

Nchi zilizo endelea kama US, Japan, UK etc, zilifanya privatization ya karibu kila kitu.

Airlines, Trains, garbage, Airports, electricity, ports etc.. zote ziko in private hands, for profit.
Na ndio maana things run efficiently in those countries.

Isikushangaze kwamba the famous Heathrow Airport is privately owned.

The Heathrow is not privatised but conceded to a private party. This is the origin of the word concession
 
Kazi ya magazeti ni kuuza.
Ile headline itakayo vutia watu ndio wataandika.
Sio kusema kwamba kutafuta pesa ya bajeti ni uwongo, lakini hio ni a very secondary reason. I doubt ata zikiuzwa zitachangia 1% ya bajeti.

Kujenga SGR na kuendesha SGR ni kazi mbili tofauti.
SGR ni kama barabara. Serikali ikijenga barabara, sio lazima inunue mabasi.
Same thing. Treni zinaweza endeshwa na kampuni binafsi. Mfano kampuni ya Richard Branson Virgin huendesha treni UK.

Kwa maneno ya stima, hapa Kenya watu wamelia miaka mingi kwamba Kenya Power inahitaji competition. The only way hio inaweza fanyika, ni kama kampuni binafsi itaanzisha kampuni ingine ya kusambaza stima, ama Kenya Power iwe split.
Na hili si jambo geni.

Mfano nchi ya US, kampuni zote kubwa za kuzalisha na kusambaza umeme ziko mikononi ya watu binafsi. Hadi nuclear power zinazalishwa na kampuni binafsi.
Hii ni competition, na bei inashuka.
Hahahahaha, kwanini unatoa mifano ya USA badala ya kutolea mifano China ambayo kwa sasa ndio inateka dunia nzima na hata hiyo USA eanakopeshwa na China, Uhuru kila Mara anaenda China kuomba biashara na mikopo, nilitegemea utumie China kama mfano badala ya USA, au ndio muendelezo wa kuwalamba miguu wazungu?.

Acha kujidanganya, nchi zote duniani, kama umezunguka Ulaya yote na Japan, maswala ya Energy(Electricity, gas, Nuclear, coal), vyote viko centralized. Serikali lazima ziwe na udhibiti mkubwa. Hakuna nchi ambayo imebinafsisha, japo kuna wazalishaji binafsi, lakini lazima wote wanaiuzia serikali ambayo ndiyo inayouza kwa wananchi, hata huko USA ni hivyo hivyo.

Ethiopia Airline, 100% ni Government owned, unafanya vizuri kuliko KQ ambayo ni partially private. RVR yenu inafanya vibaya pamoja na kwamba imebinafsishwa.

Nimekuambia, hivi hawa wasomi wote wa Kenya ambao wanasema lengo la serikali kuuza haya mashirika ni ili kupata pesa za bajeti hawajui kitu wewe ndio unayejua zaidi?, nani aliyekuambia bajeti ya nchi inapata pesa kutoka katika source moja pekee, hata wakipata 1% toka kwenye pesa ya kuuza haya mashirika, hiyo ni miongoni mwa sources nyingi serikali inatumia kupata pesa, sasa hivi kodi zimeongezwa sana na bei ya mafuta IPO juu huko kwenu, vyote hivyo ni vyanzo, wakiongezea na hii pesa ya mashirika ndio wanajazia bajeti.
 
I'm not saying there are no exceptions. But the truth is most government run companies cannot compete with privately owned.
When you see a government company being left behind in its industry, or near collapsing, privatize it.

Some of these 26 companies been sold have been mismanaged for years and have been making losses.
Tatizo lenu ninyi mbafikiria kupata faida pekee, hamfikirii impact ya uchumi kwa ujumla wake. Mashirika ya serikali lengo kubwa ni kutoa Huduma kwa wananchi hata Kyle ambako private sector haitaki kufika labda kutokana na kwamba hawapati faida, kutoa ajira nyingi kwa wananchi na kutoa gawio kwa serikali.

Mashirika ya serikali yakiendeshwa kwa ufanisi yanafaida kubwa katika uchumi wa nchi kuliko Private, jiulize kwanini Kenya wana viwanda vingi kuliko Tanzania lakini unemployment rate Kenya ni two times higher than Tanzania?
 
Unaelewa maana ya privatization wewe?
We have been privatizing government companies since the 1980s.
In fact, the 26 being privatized now have been delayed since Kibaki's regime.

Kazi ya serikali ni kuokota ushuru kutoka makampuni, sio kuendesha hayo makampuni.

Ukiangalia profit, hayo makampuni yote 26 yaliachwa nyuma na makampuni binafsi. Majority sasa hivi ni loss making.
Acha kutetea ujinga ,ubinafsishag uendane na umma sio maamuzi ya kifisadi,subir iyo port wachukue wachina alaf ndio utaona hiyo ruzuku mnazotaka
 
Shinda hapo.
You're making no sense.
Kenya yasonga mbele. Makampuni binafsi yanaendeshwa vizuri kuliko ya serikali. More profit, more contribution to the GDP.
Wew acha kuwa juha serikali inaya compromise kusud ayo mashirika ili wapate vibali vya kuyauza ila wallah mtakuja jutia hayo maamuzi
 
By the way, ni nchi LDC tu kama Tanzania unapopata kila kitu kinaendeshwa na serikali.

Nchi zilizo endelea kama US, Japan, UK etc, zilifanya privatization ya karibu kila kitu.

Airlines, Trains, garbage, Airports, electricity, ports etc.. zote ziko in private hands, for profit.
Na ndio maana things run efficiently in those countries.

Isikushangaze kwamba the famous Heathrow Airport is privately owned.
Kwani walibinafisisha kwa wazawa au kwa wageni?
 
Waone hii.
If the Kenyan government had failed to sell a 40% share of Safaricom to Vodafone in 2000, Kenya would be a very different place today.
I doubt the world would even know of anything by the name Mpesa.

Alafu there are so many historical examples. Countries that promoted nationalization of companies, mainly Eastern Europe and other communist countries, ended up way less developed than those who let the private sector run the show.
What about China?
 
Back
Top Bottom