Kenya tunashinda T.Z katika michezo zote duniani

Kenya tunashinda T.Z katika michezo zote duniani

Wuhuu...mpira ni dakika tisini...tumewapiga vitatu na njaa yetu...

Ile siku tutashiba haki ya nani ni mtakula shoti za maana hadi mzimie mechi iishe kabla mda
hakuna mpira umechezwa na tz jana,na stil mkaruhusu goli mbili.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile game yaonyesha imekuumiza sana...mpka umefikia hatua hyo..
[emoji16][emoji16][emoji16]sasa niumie wakati hata aliyepita,tunarudi wote home??
 
[emoji16][emoji16][emoji16]sasa niumie wakati hata aliyepita,tunarudi wote home??
Aaaweeee!!!kumbe unafurahia kugegedwa na shemeji yako...
Yani wewe unaachia tu...wala huchagui...bora uliwe tu...
 
Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
Sisi tunawashida kwakuwapea mimba dada zenu.[emoji1787]
 
Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
Njoo katika martial arts /world kama mnatuweza!?
Na jana ile bahati mbaya tyuuu.
 
Sio uchumi, sio kijeshi, sio elimu, sio miundo mbinu.....yaani tunaweza jaza server za watu tukiandika vyote.
We jamaa kwa jeshi lako unalopigwa na wana mgambo uje ulilinganishe na la Tz?!
 
Kwa uwanja wachezaji gani walikuwa wanaonekana wako na njaa sana, watanzania walikuwa wanaanguka tu kama wenye hawajakuli wiki moja.
Mwongo wewe,
Huko kwenu hadi leo njaa ipo.
Mnaletewa hadi Food Aid.
Mnacheza rough then msingizie ni njaa?!
Kwanza vp umebadilisha mboga ama still wala sukuma week?
 
Back
Top Bottom