Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
hata njaa mnatushinda???Wanatushindia tu ligi ya mdomo
Hebu acha zako we jamaa. Mchezo wa kitandani hamtokaa mtushinde. Kama unabisha waulize dada zenu...Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
Kugegeda pia hawatuwezihata njaa mnatushinda???
Ni kweli....Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
Nashukuru hujataja migegedo. Kitandani tuko njema jombaa. Dada zenu ni mashahidi wetu hahahahaSio uchumi, sio kijeshi, sio elimu, sio miundo mbinu.....yaani tunaweza jaza server za watu tukiandika vyote.
Kila nikisoma comments za Wakenya namfikiria Makonda. Sijui ana hali gani sasa hivi!...Sio uchumi, sio kijeshi, sio elimu, sio miundo mbinu.....yaani tunaweza jaza server za watu tukiandika vyote.
Tuandaliwe mashindano yetu ya kuimba mziki Ali Kiba na Diamond watatuwakilishaSio uchumi, sio kijeshi, sio elimu, sio miundo mbinu.....yaani tunaweza jaza server za watu tukiandika vyote.
hata njaa mnatushinda???
Hana maumivu sana yuko karibu na Manula sasa hiviKila nikisoma comments za Wakenya namfikiria Makonda. Sijui ana hali gani sasa hivi!...
View attachment 1140653
You can colinise CCM like how we colonise Zanzibar, sijui nimepatia kiingereza, hapa nitajiletea aibu ngoja nitoke harakaAnd we can now colonize you
Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
NI KWELI KABISASio uchumi, sio kijeshi, sio elimu, sio miundo mbinu.....yaani tunaweza jaza server za watu tukiandika vyote.
pambaneni na njaa kwanza.And we can now colonize you