johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Wewe uliporudi Tanzania hukupimwa Namanga?Huwezi kuwalazimisha wafanye wasichokitaka kwani wanaleta bidhaa Nchini na pia kununua. Umeshasikia Tanzania kuwakatalia Wakenya kuingia? Kwa sababu tuna Serikali isiyojali afya za raia wake hivyo wanaingia tu bila kuangaliwa afya zao lakini Kenya, Uganda, Zambia na Rwanda serikali zao ziko makini kuwalinda raia wao.
Wewe uliporudi Tanzania hukupimwa Namanga?
peleka ujinga wako huko, waambie waliokutuma watoe data za hali ya corona nchini.kama kweli kenya wanalinda nchi yao si bora wafunge mipaka yao na TZ period safari hii hakuna kugawana mali kama EAC ya 1977 ilipovunjika tupo makini tunajua walichotumwa na Triump
Na Zambia, Malawi je??Inabidi wapimwe tena Tanzania kutuhakikishia kama wanayo, na mashine hazina itilafu. Ila mjue Kenya sio rafiki yetu, ni wanafiki tu, hata kwenye vita vya Idi Amin walikimbia na kutuachia, hawapendi maendeleo yetu kwa sababu ni kipimo cha maendeleo yao, kwa ujinga wao kutuzidi sisi ndiyo maendeleo yao.
Wanajua ya kwetu kuliko ya kwao, wanafuatilia siasa zetu kuliko za kwao wakati siye hata majina ya viongozi wao hatuyajui wala hatuna haja ya kuyajua wala kumjua Rais wao wala kumfuatilia. Kwa kifupi wakenya wanawashwa matako bila kuifuatilia TZ.
Watakwambia ni mabeberu watu hawataki kuumiza kichwa simple answer ni MABEBERUNimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee hizo data ni za korido ya kaskazini, haituhusu sisi wa korido ya kati. Wacha waendelee kupima for their own sake, ni katika harakati ya kulinda nchi yao.Bwashee mbona mipasho mingi au hujaelewa swali?
Mtawafanya nini na wakati empty set tu nyie?Kenya wanachokitaka watakipata tuuh
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!
kuna muda mbaazi ikikosa kuzaa husingizia jua,Madereva wapo jurisdiction ya Kenya,Kenya can say whatever she wants!
Kila siku vyombo vya habari hutangaza idadi ya maambukizo ya Korona nchini Kenya nao hawatulalamikii.Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo takwimu itasomeka Kenya kwa sababu wao ndio walioripotiNimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.
Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?
Maendeleo hayana vyama!