Kenya wameruhusiwa na nani kutangaza maambukizi mapya ya madereva wa Tanzania?

Kenya wameruhusiwa na nani kutangaza maambukizi mapya ya madereva wa Tanzania?

Huwezi kuwalazimisha wafanye wasichokitaka kwani wanaleta bidhaa Nchini na pia kununua. Umeshasikia Tanzania kuwakatalia Wakenya kuingia? Kwa sababu tuna Serikali isiyojali afya za raia wake hivyo wanaingia tu bila kuangaliwa afya zao lakini Kenya, Uganda, Zambia na Rwanda serikali zao ziko makini kuwalinda raia wao.
Wewe uliporudi Tanzania hukupimwa Namanga?
 
Inabidi wapimwe tena Tanzania kutuhakikishia kama wanayo, na mashine hazina itilafu. Ila mjue Kenya sio rafiki yetu, ni wanafiki tu, hata kwenye vita vya Idi Amin walikimbia na kutuachia, hawapendi maendeleo yetu kwa sababu ni kipimo cha maendeleo yao, kwa ujinga wao kutuzidi sisi ndiyo maendeleo yao.

Wanajua ya kwetu kuliko ya kwao, wanafuatilia siasa zetu kuliko za kwao wakati siye hata majina ya viongozi wao hatuyajui wala hatuna haja ya kuyajua wala kumjua Rais wao wala kumfuatilia. Kwa kifupi wakenya wanawashwa matako bila kuifuatilia TZ.
Na Zambia, Malawi je??
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Watakwambia ni mabeberu watu hawataki kuumiza kichwa simple answer ni MABEBERU
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!

Mkuu hao ni Watanzania walio kwenye no mans land I pesume pale Namanga. Wacha waseme tu hakuna tatizo tumewazoea hao makuwadi wa mabeberu.
 
Bwashee mbona mipasho mingi au hujaelewa swali?
Bwashee hizo data ni za korido ya kaskazini, haituhusu sisi wa korido ya kati. Wacha waendelee kupima for their own sake, ni katika harakati ya kulinda nchi yao.
 
Kwa mujibu wa taratibu za WHO hiyo takwimu inaingia kwa upande wa Kenya.Nchi alipopimiwa mtu ndipo takwimu yake inapoingia.
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!

Hawa wakumbushwe taarifa hizi ni nyara za serikali.

Zaidi wakumbushwe hata hapa kwetu tokea Apr 29 tuliachana na hii habari ya kupimana.
 
Walivyotoa idadi ya watanzania wako sahihi tu vinginevyo kesi kwako itaongezeka hali ya kuwa hao wagonjwa washarudishwa kwao Tanzania, tusubiri mashine za maabara zikitengamaa tuone idadi yake ila kwa kuanzia tu Kenya washatusaidia wako wagonjwa wanane wapya.
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!

Madereva wapo jurisdiction ya Kenya,Kenya can say whatever she wants!
 
Madereva wapo jurisdiction ya Kenya,Kenya can say whatever she wants!
kuna muda mbaazi ikikosa kuzaa husingizia jua,

hizi siasa chafu kutafuta mask ya uso kwa wananchi hazitaifikisha nchi popote kwenye mapambano,ndio kwanza ubao unasoma 735.
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Kila siku vyombo vya habari hutangaza idadi ya maambukizo ya Korona nchini Kenya nao hawatulalamikii.
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Hiyo takwimu itasomeka Kenya kwa sababu wao ndio walioripoti
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!

wapigwe
wafungwe
wakamatwe tu
hakuna namna
Kenya wantumika na mabeberu
 
Back
Top Bottom