Kenya wametufunika kwenye shughuli za kimaendeleo, Benjamin fernandez kijana wa kitanzania aliehamishia biashara zake Kenya na Kutajirika zaidi anena

Kenya wametufunika kwenye shughuli za kimaendeleo, Benjamin fernandez kijana wa kitanzania aliehamishia biashara zake Kenya na Kutajirika zaidi anena

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa utajiri mkubwa sana kwenye rasilimiali kuanzia ardhi nzuri ya kilimo, madini, vicutio vya asili, n.k. lakini bado tupo nyuma sana kimaendeleo, Kenya ni nchi ambayo ina rasilimali chache lakini wametufunika kwasababu wamewekeza zaidi kwenye watu (elimu, ujuzi) na wamejitahidi kuweka mazingira bora kwenye biashara.

Kwetu hapa mazingira yanatuangusha sana
  • Usumbufu wa TRA
  • Task Force - Wamefanya wengi wafirisike nakufunga biashara
  • Mambo mengi bado tunapanga foleni maofisini badala ya kufanyia online.
  • kodi na tozo kibao
  • mlolongo mrefu kushugulikia leseni, vibali, usajili, n.k. kwenye ofisi za serikali
  • Mpaka leo hatuna mfumo maarufu wa Paypal kuturuhusu watanzania kupokea pesa kutoka Ulaya, Marekani, n.k. tumebanwa kufanya malipo pekee
  • bandarini kulalamikiwa kuwa na kodi nyingi, mlolongo mrefu kutoa mzigo, n.k.
  • n.k.

 
Kodi inakusanywa kwa mtiti tra huku task force kule traffic mabarabarani mpaka walinzi kwenye stand za Mwendokasi walikuwa wanashiriki kukamamta waliohisiwaa kukimbia kodi lakini kinachofanyika na hizo kodi hazionekani.
 
Kenya ilikuwa na walowezi(settlers) wengi mno kipindi cha ukoloni kupita Uganda na Tanzania.

Baada ya uhuru wengi walibaki na waliacha mchango chanya kwenye sera za uchumi na siasa.

Hii ndo sababu niliyoona ina mashiko kwasababu kama ni ufisadi, Kenya upo kama huku.
 
Watu wengine huwa mnajiandikia tu..
Ni kweli baadhi ya vitu wamepiga hatua lakini si kusema kuwa Kenya wametuacha hapana .
Uhuru uhuru na amani ni kitu muhimu Sana
Watanzania mnaishi kwa uhuru na amani Sanaa
Kenya ni ngumu kukuta mtu anakunywa supu kakunja na chapati mbili ni ngumu
Mtu anakunywa chai na visilensi viwili vya mkate😁😁
Hapana kwa kweli Kenya Kuna watu wanaishi katika Hali ngumu Sana
 
Wabeba box wa kenya wapo wengi sana ulaya wanao tuma hela nyumbani

kaangalie takwimu wa diaspora wa Kenya vs Tanzania
 
Kuna kizazi kitaamka na kujitambua Tanganyika . na sio mbali sana
 
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa utajiri mkubwa sana kwenye rasilimiali kuanzia ardhi nzuri ya kilimo, madini, vicutio vya asili, n.k. lakini bado tupo nyuma sana kimaendeleo, Kenya ni nchi ambayo ina rasilimali chache lakini wametufunika kwasababu wamewekeza zaidi kwenye watu (elimu, ujuzi) na wamejitahidi kuweka mazingira bora kwenye biashara.

Kwetu hapa mazingira yanatuangusha sana
  • Usumbufu wa TRA - Pesa zinachomolewa kwenye account ya benki bila taarifa
  • Task Force - Wamefanya wengi wafirisike
  • kodi na tozo kibao
  • mambo yapo taratibu sana kwenye ofisi za serikali kusaidia wafanyabiashara
  • Mpaka leo hatuna mfumo maarufu wa Paypal kuturuhusu watanzania kupokea pesa kutoka Ulaya, Marekani, n.k. tumebanwa kufanya malipo pekee
  • Kodi ni nyingi sana bandarini
  • n.k.

View attachment 3138477
Wabongo wanasubiri uje na biashara yako halafu wanakuwekea vikwazo linumalize shida zao kwa rushwa. Tuna wapumbavu wengi sana kule nchi ya kusadikika.
 
Wabeba box wa kenya wapo wengi sana ulaya wanao tuma hela nyumbani

kaangalie takwimu wa diaspora wa Kenya vs Tanzania
Wakenya wameelimika na lugha inapanda fresh, wapo wengi majuu wenye madegree na masters wameajiriwa kuwa madaktari, engineers, wanasheria, n.k.

Watanzania wengi wanasifika kubeba box kwasababu ya msingi mbovu wa elimu na lugha haipandi vizuri
 
Watu wengine huwa mnajiandikia tu..
Ni kweli baadhi ya vitu wamepiga hatua lakini si kusema kuwa Kenya wametuacha hapana .
Uhuru uhuru na amani ni kitu muhimu Sana
Watanzania mnaishi kwa uhuru na amani Sanaa
Kenya ni ngumu kukuta mtu anakunywa supu kakunja na chapati mbili ni ngumu
Mtu anakunywa chai na visilensi viwili vya mkate😁😁
Hapana kwa kweli Kenya Kuna watu wanaishi katika Hali ngumu Sana
Endelea kujidanganya na kujifariji hivyo hivyo
 
Watu wengine huwa mnajiandikia tu..
Ni kweli baadhi ya vitu wamepiga hatua lakini si kusema kuwa Kenya wametuacha hapana .
Uhuru uhuru na amani ni kitu muhimu Sana
Watanzania mnaishi kwa uhuru na amani Sanaa
Kenya ni ngumu kukuta mtu anakunywa supu kakunja na chapati mbili ni ngumu
Mtu anakunywa chai na visilensi viwili vya mkate😁😁
Hapana kwa kweli Kenya Kuna watu wanaishi katika Hali ngumu Sana
Kenya ni capitalist country, wenye nacho wanacho kweli na waliochoka wamechoka kweli, kenya Kuna mitaa kula Bata ukiwa unaconvert kwenye pesa zetu za madafu lazima kichwa kiume
 
Endelea kujidanganya na kujifariji hivyo hivyo
Kwanini makampuni makubwa kama Google, Facebook, Microsoft, viwanda vya magari, n.k. waende Kenya na sio Tanzania ?
 
Kwanini makampuni makubwa kama Google, Facebook, Microsoft, viwanda vya magari, n.k. waende Kenya na sio Tanzania ?
Kwa sababu ya sera nzuri na zinazotabirika za Kenya na kujua Kingereza.
 
Kenya ni capitalist country, wenye nacho wanacho kweli na waliochoka wamechoka kweli, kenya Kuna mitaa kula Bata ukiwa unaconvert kwenye pesa zetu za madafu lazima kichwa kiume
Haya bongo hali ipo hivyo, ukiwa na pesa utakula bata kwa mrija ila usipokuwa na pesa utateseka tu, zama za ujamaa ziliisha, tunachotofautiana ni kwamba Tanzania kuna ardhi yenye, msosi ni uhakika zaidi kuliko ukiwa masikini Kenya.
 
Huku unashikwa shati Hadi unajuta, wanakukamia Ili mwisho wa siku wasifiwe kuwa wametoa gawio kubwa hahah upuuzi kabisa.
 
Tukisema Nyerere aliharibu sana hii nchi mnakuja kumtetea na sababu za kijinga.........
 
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa utajiri mkubwa sana kwenye rasilimiali kuanzia ardhi nzuri ya kilimo, madini, vicutio vya asili, n.k. lakini bado tupo nyuma sana kimaendeleo, Kenya ni nchi ambayo ina rasilimali chache lakini wametufunika kwasababu wamewekeza zaidi kwenye watu (elimu, ujuzi) na wamejitahidi kuweka mazingira bora kwenye biashara.

Kwetu hapa mazingira yanatuangusha sana
  • Usumbufu wa TRA - Pesa zinachomolewa kwenye account ya benki bila taarifa
  • Task Force - Wamefanya wengi wafirisike
  • kodi na tozo kibao
  • mambo yapo taratibu sana kwenye ofisi za serikali kusaidia wafanyabiashara
  • Mpaka leo hatuna mfumo maarufu wa Paypal kuturuhusu watanzania kupokea pesa kutoka Ulaya, Marekani, n.k. tumebanwa kufanya malipo pekee
  • Kodi ni nyingi sana bandarini
  • n.k.

View attachment 3138477
Ndio ukweli, wametuacha kwa kila kitu, kijana wa bongo mwenye degree, kiburi chake ni swaga za, kiswaenglish,mbwembwe za kumiriki macho matatu, basi, kwa madem, ni kutikisa makalio,
Kenya upeo wa kijana wa shule ya msingi ni balaa, anajua siasa, haki zake mbele ya sheria, Mambo ya kiulimwengu, juzi wizara Yao Mambo ya nje, ilitangaza ajira kibao nchini Qatar, vijana wakajitokeza, wakike kwa wakiume! Wapo tayari kuondoka na kuzamia ughaibuni, wakiacha familia nyumbani,
Kenge wa bongo, kijana anapata kazi nzuri katavi, anakataa, anataka akae karibu na Njemba yake mjini
 
Kwanini makampuni makubwa kama Google, Facebook, Microsoft, viwanda vya magari, n.k. waende Kenya na sio Tanzania ?
Simple wanaenda huko sababu ya historia background ya kenya ni capitalist by nature sisi bado hatujulikani ni communist au tumeenda capitalist sababu ya njaa..
Maana sela zetu huko nje ni za kicapitalist ila utendaji wetu wa kazi wa serikali ni wa communist.
 
Back
Top Bottom