The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kiuhalisia inaonyesha taifa la kenya lina wanasiasa wengi wa mrengo wa upinzani wenye nguvu na wa kuaminika, na wenye uwezo wa kutikisa siasa za nchi.
Yapo majina mengi mazitomazito kama vile Mudavadi Wetangula, Musyoka, Odinga, Joho , Ruto , nk. Hawa wote ni wanasiasa wazito.
Hali ni tofauti sana katika nchi zingine zilizobakia za Afrika Mashariki.
Nini kinasababisha!?
Yapo majina mengi mazitomazito kama vile Mudavadi Wetangula, Musyoka, Odinga, Joho , Ruto , nk. Hawa wote ni wanasiasa wazito.
Hali ni tofauti sana katika nchi zingine zilizobakia za Afrika Mashariki.
Nini kinasababisha!?