Kenya wana Katiba Nzuri, Tume huru ya uchaguzi, lakini Raila analalamika kuibiwa kura, na bei ziko juu, na tozo zimejaa

Majority wakiridhika hata na ujinga wanakuwa sahihi? Bora PhD ya Tale

..suala la katiba mpya sio ujinga.

..katiba mpya itatuwekea utaratibu mzuri zaidi wa kutatua changamoto za kiuchumi, kijamii, na kisiasa.
 
We must stop dictatorship in Kenya, this is a democratic country cannot be ruled by two tribes since independence, stop it or we shall divide Kenya into two parts like Sudan and Eretrea

The last person to leave this country [emoji1139]should remember to switch off the lights and drop the keys to the neighbouring country, we will come back when everything is normal.
 
..suala la katiba mpya sio ujinga.

..katiba mpya itatuwekea utaratibu mzuri zaidi wa kutatua changamoto za kiuchumi, kijamii, na kisiasa.
Kwani sasa hatuna katiba au mpaka iwe mpya- na upya wenyewe ni nini hasa
 
Kwani sasa hatuna katiba au mpaka iwe mpya- na upya wenyewe ni nini hasa

..maoni ya wananchi kuhusu Katiba yalikusanywa na yapo ktk rasimu iliyoandaliwa na Tume ya Jaji Warioba.
 
..maoni ya wananchi kuhusu Katiba yalikusanywa na yapo ktk rasimu iliyoandaliwa na Tume ya Jaji Warioba.
wananchi gani- mbona unatuletea usanii maana sote tulikuwepo- YAANI Pemba, Kigoma kuongoza kwa idadi ya watu kutoa maoni kuliko Dar es salaam- halafu mnataka watu wazima tuunge mkono ujinga huo?
 
wananchi gani- mbona unatuletea usanii maana sote tulikuwepo- YAANI Pemba, Kigoma kuongoza kwa idadi ya watu kutoa maoni kuliko Dar es salaam- halafu mnataka watu wazima tuunge mkono ujinga huo?

..tubishane kuhusu maudhui yaliyoko ktk rasimu ya Tume ya Warioba na sio jinsi tume ilivyokusanya maoni.

..pia kuna nafasi ya kura ya maoni kuhusu katiba itakayopendekezwa hiyo ni nafasi nyingine ya wananchi kuunga mkono au kupinga katiba mpya.
 
Sitaki ku-justify kitu, nimeweka hoja tu
Hoja yenye agenda....!!?

Ni sawa na kufananisha nyumba ya nyasi na nyumba ya bati. Wote wanajikinga na mvua na wanapata usingizi. Kwa hiyo nyumba ya nyasi ni poa tu kama ilivyo ya bati. Zote zinasave same purpose.
 
Katiba mpya ndio itapunguza bei ya chakula? US wana katiba nzuri, mbona Trump hadi leo analalamika? Kwani katiba inazuia mtu kulalamika?
Katiba nzuri inawasaidia wananchi kwakuwatendea haki lakini sio viongozi wanaotaka madaraka kwa nguvu. Ubinafsi hautoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…