Kenya yafuata nyayo za Tanzania kwa wahujumu uchumi

Wewe una tabia ya kutusi watu alafu ukirudushiwa tusi Unaanza kulia lia,
Nikupe tu taarifa popote utakapo toa tusi humu nitakula sahani moja na wewe.
Sijawahi tukana Mimi na nikitusi MTU basi huwa nalipiza kisasi tu baada ya kutukanwa. Umejiunga jf juzi na umeanza kunihukumu. Nilikuwa natukanwa sana na akina kidonda11 na ichoboy01 I taught them a lesson hadi ikabidi kidonda11 atoroke jf.
 
Hilo la kukosa uvumilivu ndio sababu kubwa ya watu kuuliwa hovyohovyo huko Kenya, jambo dogo tu huko kwenu linasababisha mauaji kutokana na kukosa uvumilivu.

Ninauhakika kama tungekuwa na namna ya kujuana physically, ungemtumia watu ili wakammalize Mkikuyu- Akili timamu huko Nairobi. Una roho mbaya sana, hutaki kuona kuna mtu anakuzidi kwa lolote lile, wivu umekuzidi sana, ndio sababu unakosa uvumilivu.
 
Sijawahi tukana Mimi na nikitusi MTU basi huwa nalipiza kisasi tu baada ya kutukanwa. Umejiunga jf juzi na umeanza kunihukumu. Nilikuwa natukanwa sana na akina kidonda11 na ichoboy01 I taught them a lesson hadi ikabidi kidonda11 atoroke jf.
Kakudanganya nani nimejiunga jf juzi au unaona joining date hapo,
Naifahamu jf kabla hujaifahamu,
Wewe tukana tu ili ujue nitakula sahani moja na wewe.
 
Hii ni train yetu ya zamani, inatembea 100Km/h. Reli yetu ya zamani pia ni " continues welded ", yaani ukiwa katika hii train, ni kama kwenye ndege, husikii kelele za hizo joints. This MGR is more comfortable inside than your SGR".
 
Afadhali yangu kinywa ndio kina uvundo nikiswaki kinakua freshi,
Wewe ni kule maeneo ya ukanda wa bonde la ufa ndio kuna uvundo.
Sababu uliingia humo ukanusa heh? Ila hata huko huoshwa hiyo roho yako nyeusi tititi utaisafisha na nini?
 
Sababu uliingia humo ukanusa heh? Ila hata huko huoshwa hiyo roho yako nyeusi tititi utaisafisha na nini?
Nani aingie kwenye mtaa rooow akutane na z Victoria,
Harufu inasikika hadi humu,
Nilijaribu kuingia pm yako nikasikia harufu ya kitu kibaya sana iiabidi nighairi tu.
 
Nani aingie kwenye mtaa rooow akutane na z Victoria,
Harufu inasikika hadi humu,
Nilijaribu kuingia pm yako nikasikia harufu ya kitu kibaya sana iiabidi nighairi tu.
Ulifanya vizuri kutonikaribia maana ule uvundo ambao hutoka mwilini mwako kwa ajili ya kula nyama za binadamu si wa kustahimili hata kidogo.. Ongeza na kisonono ambacho kimekuathiri kwa muda mrefu ulichoambukizwa na wale machangudoa ambao niliwaona pale arusha majira ya jioni
 
Continues welded ndio kitu gani tena baharia wa temeke...
Kaa ukisoma ulicho type kwanza before u post
Hii ni train yetu ya zamani, inatembea 100Km/h. Reli yetu ya zamani pia ni " continues welded ", yaani ukiwa katika hii train, ni kama kwenye ndege, husikii kelele za hizo joints. This MGR is more comfortable inside than your SGR".
 
Muelewe dada janeroze
 
Wow here we go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kama hapa nishatafuta pipi kinywa changu kiko freshi,
Lakini wewe uvundo bado unatoka.

Pitia huu uzi hapa chini, inaweza ikawa msaada zaidi.

 
Kwa nini hiyo sheria inahusu wanasiasa na watumishi wa umma pekee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…