Kenya yafuata nyayo za Tanzania kwa wahujumu uchumi

Kenya yafuata nyayo za Tanzania kwa wahujumu uchumi

Wewe una tabia ya kutusi watu alafu ukirudushiwa tusi Unaanza kulia lia,
Nikupe tu taarifa popote utakapo toa tusi humu nitakula sahani moja na wewe.
Sijawahi tukana Mimi na nikitusi MTU basi huwa nalipiza kisasi tu baada ya kutukanwa. Umejiunga jf juzi na umeanza kunihukumu. Nilikuwa natukanwa sana na akina kidonda11 na ichoboy01 I taught them a lesson hadi ikabidi kidonda11 atoroke jf.
 
Hao hamna jinsi, ni kuwapuuza maana najijua sina uvumilivu, hauwezi ukanitusi nikuache, nakupa za uso moja kwa moja, mimi sio wale watu wa thick skin, eti nivumilie maatusi. Sasa hapo ingeniletea permanent ban, maana humu nishapigwa ban. Wenyewe wamezoea kupigwa bans, ukiona wametoweka siku tatu ujue kalishwa ban, sema sijui kwanini mod hawawatishi na permanent kama walivyofanya kwangu. By the way yule Redeemer sijamuona akikesha huku siku tatu sasa, nafikiri kalishwa ban.

Cha msingi ni kupuuza kabisa, unamuacha anapita.....akikutusi hata kama hujajadili naye, toa taarifa awekwe pembeni siku tatu.
Hilo la kukosa uvumilivu ndio sababu kubwa ya watu kuuliwa hovyohovyo huko Kenya, jambo dogo tu huko kwenu linasababisha mauaji kutokana na kukosa uvumilivu.

Ninauhakika kama tungekuwa na namna ya kujuana physically, ungemtumia watu ili wakammalize Mkikuyu- Akili timamu huko Nairobi. Una roho mbaya sana, hutaki kuona kuna mtu anakuzidi kwa lolote lile, wivu umekuzidi sana, ndio sababu unakosa uvumilivu.
 
Sijawahi tukana Mimi na nikitusi MTU basi huwa nalipiza kisasi tu baada ya kutukanwa. Umejiunga jf juzi na umeanza kunihukumu. Nilikuwa natukanwa sana na akina kidonda11 na ichoboy01 I taught them a lesson hadi ikabidi kidonda11 atoroke jf.
Kakudanganya nani nimejiunga jf juzi au unaona joining date hapo,
Naifahamu jf kabla hujaifahamu,
Wewe tukana tu ili ujue nitakula sahani moja na wewe.
 
1. Do you even know the meaning of electronic?
2. Ours is jointed, what's your point?
4. Show me a Tanzanian train moving at that speed. Ours are moving at 120kph and will increase when we electrify it.
5. Have you seen Kenya's central control? Please, post yours and we post ours and do the comparison.
7. Bullet trains? kkkk.............where are they? Show me one. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ni train yetu ya zamani, inatembea 100Km/h. Reli yetu ya zamani pia ni " continues welded ", yaani ukiwa katika hii train, ni kama kwenye ndege, husikii kelele za hizo joints. This MGR is more comfortable inside than your SGR".
 
Afadhali yangu kinywa ndio kina uvundo nikiswaki kinakua freshi,
Wewe ni kule maeneo ya ukanda wa bonde la ufa ndio kuna uvundo.
Sababu uliingia humo ukanusa heh? Ila hata huko huoshwa hiyo roho yako nyeusi tititi utaisafisha na nini?
 
Sababu uliingia humo ukanusa heh? Ila hata huko huoshwa hiyo roho yako nyeusi tititi utaisafisha na nini?
Nani aingie kwenye mtaa rooow akutane na z Victoria,
Harufu inasikika hadi humu,
Nilijaribu kuingia pm yako nikasikia harufu ya kitu kibaya sana iiabidi nighairi tu.
 
Nani aingie kwenye mtaa rooow akutane na z Victoria,
Harufu inasikika hadi humu,
Nilijaribu kuingia pm yako nikasikia harufu ya kitu kibaya sana iiabidi nighairi tu.
Ulifanya vizuri kutonikaribia maana ule uvundo ambao hutoka mwilini mwako kwa ajili ya kula nyama za binadamu si wa kustahimili hata kidogo.. Ongeza na kisonono ambacho kimekuathiri kwa muda mrefu ulichoambukizwa na wale machangudoa ambao niliwaona pale arusha majira ya jioni
 
Continues welded ndio kitu gani tena baharia wa temeke...
Kaa ukisoma ulicho type kwanza before u post
Hii ni train yetu ya zamani, inatembea 100Km/h. Reli yetu ya zamani pia ni " continues welded ", yaani ukiwa katika hii train, ni kama kwenye ndege, husikii kelele za hizo joints. This MGR is more comfortable inside than your SGR".
 
Ulifanya vizuri kutonikaribia maana ule uvundo ambao hutoka mwilini mwako kwa ajili ya kula nyama za binadamu si wa kustahimili hata kidogo.. Ongeza na kisonono ambacho kimekuathiri kwa muda mrefu ulichoambukizwa na wale machangudoa ambao niliwaona pale arusha majira ya jioni
Muelewe dada janeroze
Screenshot_20191010-212929_Lite~2.jpeg
 
Ulifanya vizuri kutonikaribia maana ule uvundo ambao hutoka mwilini mwako kwa ajili ya kula nyama za binadamu si wa kustahimili hata kidogo.. Ongeza na kisonono ambacho kimekuathiri kwa muda mrefu ulichoambukizwa na wale machangudoa ambao niliwaona pale arusha majira ya jioni
Wow here we go 😂😂😂
Kama hapa nishatafuta pipi kinywa changu kiko freshi,
Lakini wewe uvundo bado unatoka.

Pitia huu uzi hapa chini, inaweza ikawa msaada zaidi.

 
Kwa nini hiyo sheria inahusu wanasiasa na watumishi wa umma pekee?
 
Back
Top Bottom