Kenya yamuita balozi wa Tanzania akafafanue sakata la vifaranga na kupigwa mnada kwa ng'ombe

Husikii raha bila ' kuwashwawashwa ' na GENTAMYCINE. Jamani Wanaume si tupo wengi humu ' Jamvini ' kwanini mnapenda mno ' Kumshobokea ' tu Purely Talented and Charismatic Fella?
Dish lishayumba ndio maana sina wasi wasi na matusi yako.

Ukishaona mtu anapenda sana matusi ujue ni low minded. Ni kiazi.
 
Tatizo la wale vifaranga ni nini?
Kuingizwa kimakosa. ?
Au walikuwa na ugonjwa?
Nyie Tanzania. MNA FATA Sharia zote za kimataifa?
 
Nchi maskini ambaye haijielewi kama tz tunataka ituhurumie kwa lipi? S.A, Nigeria Egypt, tutawapigia magoti tukitaka bora mikwanja inaingia. Vinyangarika kama bongo ni wa kunyooshwa tu.
 
Hivi ukiwa mzalendo ndio usiikosoe serikali?
 
Kutokujua sheria sio excuse ya kukwepa kosa,halafu kupitisha kinyemela sio maana yake kupitisha msituni. Mbake msichana halafu ukifikishwa mahakamani mwambie hakimu hukujua kama kubaka ni kosa uone moto wake!!

Kupitisha kinyemela maana yake kupitisha kitu bila kufuata taratibu whether upitishe barabarani,baharini,angani,msituni au ziwani sheria inafanya kazi yake.

Angalizo: Hakuna mtu anayefanya biashara hasa ya kimataifa bila kufanya utafiti wa masoko,kodi au ushuru wa nchi unayotoka na ile unayoenda ili ujue faida yako itakuwaje,ndani ya utafiti huo angejua kuwa Tanzania imepiga marufuku vifaranga vya nyama na mayai tokea mwaka 2007. Kutokujua kwamba kuna zuio ni "mere excuse" ya kiwango cha standard gauge.
 
Kinyemela maana yake hakuwa na documents halali za kuingiza hivyo vifaranga, kuanzia huko Kenya hadi huku Tanzania, ikiwemo kuomba permission ya kuingiza hivyo vifaranga toka wizara ya Uvuvi na mifugo ya Tanzania, angepitisha njia za panya, hiyo ingekuwa ni biashara ya magendo
 
Allah unayemwamini akusamehe wewe na kizazi chako. Hujui ulitendalo. Matako yameumbwa vizuri kwa mfano WA mtume
Mmmh hili jiwe halijampata kweli naona atajifunza kuandika huenda anabadilishwa pampas tungoje
 
Shenz type eti familia ya Kenyatta ilinyakua shamba Kajiado? Wapi hapo? Nieleze vizuri kwa sababu Kajiado ni kwetu. We mzaramo lazima itakuwa walikunyofoa kengele. Huu umbea ni wa kike kabisaaa.
let's assume kenyatta senior did not grab any land in kajiado....but my research shows kajiado is going through a lot of land dispute issues.
 
Sasa kama Kenya hamna mashamba mbona ngombe wenu 4,000 sasa hivi tunawachemsha supu? Walikuwa wanafanya nini Kenya? Hivi hizi stori za vijiweni huwa mnazitunga mkiwa mmechapa mbege na bange au?
Kama mna ng'ombe wetu,kelele za nn?
 
Magu for Change Kwahiyo hakuna cha kushangaa
 
Wote ni vichwa ngumu. yule wa kule hana tatizo sana Lakini huyu wa huku MMmmmmmmmm! yupo ntuma ya yule King'ang'anizi wa kule.


Hili game bado kabisa.
 
Nchi maskini ambaye haijielewi kama tz tunataka ituhurumie kwa lipi? S.A, Nigeria Egypt, tutawapigia magoti tukitaka bora mikwanja inaingia. Vinyangarika kama bongo ni wa kunyooshwa tu.
Mbona mnalalamika kwa kuwakamata ng'ombe wenu, mbona mnalalamika kwa kuchoma vifaranga?, sisi tukiona mumefanya jambo tusilolipenda tunalipiza hapo hapo, mlikataza unga wa ngano na gesi ya kupikia, sisi tujazuia maziwa na tyres zenu, sasa na nyie lipizeni acheni kupiga kelele

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
Jamani uzalendo ni muhimu. Vile vifaranga vilikuwa vigonjwa na hamna namna nyingine ya kutreat viral case.
Hapo kuna uzalendo gani, vifaranga vimekamatwa namanga ni mpakani kwa nini visingerudishwa vilikotoka kuliko kuvichoma moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…