Kenya yamuita balozi wa Tanzania akafafanue sakata la vifaranga na kupigwa mnada kwa ng'ombe

Kenya yamuita balozi wa Tanzania akafafanue sakata la vifaranga na kupigwa mnada kwa ng'ombe

Jamani uzalendo ni muhimu. Vile vifaranga vilikuwa vigonjwa na hamna namna nyingine ya kutreat viral case.
Je kwanini wasingevirudisha vilikotoka ili na upande mwingine walidhike?


Swissme
 
Mkuu hebu fafanua kwa kina tatizo lipo wapi hasa? Na kwa nini litokee baada ya Raila swahiba wa rais wetu kushindwa Urais?
Pls fafanua bila kupendelea.
Peleka ujinga Azam wheat flour imezuiwa hata kabla ya uchaguzi! Migogoro ya Loliondo imekuwapo tangu Kikwete akiwa Rais na NGOs za Kenya zilikuwa ziki-promote conflict! Tour vans zilifungiwa kipindi cha JK, Magu hataki upuuzi!
 
So what!? Mnavunja sheria na kanuni za Nchi yetu halafu mnataka tuwachekee tu. Mmezoea UNYANG'AU .....your game is up. It's either you (Kenyans) follow our country's Rules & Regulations (abiding by the Law) or F#%K OFF! God bless Tanzania and its People.
All its an diplomatic issues bro
 
Peleka ujinga Azam wheat flour imezuiwa hata kabla ya uchaguzi! Migogoro ya Loliondo imekuwapo tangu Kikwete akiwa Rais na NGOs za Kenya zilikuwa ziki-promote conflict! Tour vans zilifungiwa kipindi cha JK, Magu hataki upuuzi!
Duh we mkuu mkali. Allow the diplomats to meet and talk
 
So what!? Mnavunja sheria na kanuni za Nchi yetu halafu mnataka tuwachekee tu. Mmezoea UNYANG'AU .....your game is up. It's either you (Kenyans) follow our country's Rules & Regulations (abiding by the Law) or F#%K OFF! God bless Tanzania and its People.
Unaongea pumba ww...Wa tz wengi tuna nufaika na huu urafiki wa kenya ..nenda sehem kama namanga uone biashara wanavyofanya Wa tz na wa kenya....haya mambo ni ya kukaa na kuyatatua kidiplomasia
 
Unaongea pumba ww...Wa tz wengi tuna nufaika na huu urafiki wa kenya ..nenda sehem kama namanga uone biashara wanavyofanya Wa tz na wa kenya....haya mambo ni ya kukaa na kuyatatua kidiplomasia
Kama unaona ni pumba si uchanganye na Viroba unywe. Pathetic creature!
Eti Watanzania wengi mnanufaika! Fuateni sheria na kanuni za nchi ili muendelee kunufaika. Mlizoea wizi na Uhujumu. Awamu hii ni tofauti.
 
Unaongea pumba ww...Wa tz wengi tuna nufaika na huu urafiki wa kenya ..nenda sehem kama namanga uone biashara wanavyofanya Wa tz na wa kenya....haya mambo ni ya kukaa na kuyatatua kidiplomasia
Well said boss
 
So what!? Mnavunja sheria na kanuni za Nchi yetu halafu mnataka tuwachekee tu. Mmezoea UNYANG'AU .....your game is up. It's either you (Kenyans) follow our country's Rules & Regulations (abiding by the Law) or F#%K OFF! God bless Tanzania and its People.
Mnhhh!!!

Povu lote hili!!???
 
Back
Top Bottom