The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
"Wanaohitaji condom ni wale walioshiba"
Mmeshiba mihogo sio..."Wanaohitaji condom ni wale walioshiba"
Tanzania tumeshiba na tunashiba kila siku hivyo zinahitajika kwa sana!
Hawa majirani hawana chakula na mmojawapo ni MK254 .
Lazima waelewe mficha uchi hazai, wangetufungukia tu tuwalishe chap hisia ziwarudie upya!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sikudhani kama binadamu anaweza kunywa uji wa muhogo kama chajio na kujikuta yuko freshi tu na kuja jukwaani kujitunisha kifua..... so so sad man.
Kheri kidogo kuliko kukosa kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujisifia kula milo mitatu kumbe ni mihogo kwenda mbele..View attachment 1303612
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeshiba mihogo sio...
Mmepewa condom ndio mpunguze kuzaana, mamake mkishapiga ugali wa mhogo mnajiskia muongeze dunia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna neno subutu!Niliona siku ile ulikua na shaulu mpka ukamuuliza ichoboy alipoandika subutu na akakwambia ni sawa ukanywea...leo umekuja kivingine, kiswahili si lugha km vile kifaransa buda, maneno yalitoholewa kutokana na maeneo tofauti tofauti...
Na hayo maneno nayatumia vizuri sana...View attachment 1303497View attachment 1303498
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi kwenye mada
Hatujaomba, hata nynyi mnaweza leta tu"dunia iishe"[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa wanazingua sana aisee. akili zao zimejaa uji wa muhogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujisifia kula milo mitatu kumbe ni mihogo kwenda mbele..View attachment 1303612
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh. Una utaniSasa nimeanza kuelewa faida ya trip za Uhuru. Jamaa akipaa huwa anaenda kuomba msosi kwa ajiri ya wananchi wake. Ila jamaa atakua ana lugha tamu sana kila anapotua lazima apate gunia kadhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu sana, miaka 60 baada ya kupata Uhuru, bado nchi wananchi wanakufa kwa njaa, nchi haina uwezo wa kujilisha yenyewe. Hivi ni nchi gania hapa Afrika ambayo haina vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini wananchi wanakufa kwa njaa na inapewa msaada wa chakuka?Hatukuwaomba, wameleta wenyewe jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui ndio waonekaniwe na wao katika miradi..
Aibu ni ile hukuomba condom lkn unaletewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeshiba mihogo sio...
Mmepewa condom ndio mpunguze kuzaana, mamake mkishapiga ugali wa mhogo mnajiskia muongeze dunia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unabishana hapa huku ukiwa na uhakika wa kula leo baada ya usa kuwapeni mahindi special kwa ajili ya nguruwe
Ni nchi gani hapa afrika wana uwezo wa kujilisha wenyewe lkn bado wanapewa msaada wa madawati na condomAibu sana, miaka 60 baada ya kupata Uhuru, bado nchi wananchi wanakufa kwa njaa, nchi haina uwezo wa kujilisha yenyewe. Hivi ni nchi gania hapa Afrika ambayo haina vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini wananchi wanakufa kwa njaa na inapewa msaada wa chakuka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani asubuhi, mchana, jioni ni mihogo kwenda mbele[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa wanazingua sana aisee. akili zao zimejaa uji wa muhogo
Na bado pia hyo hyo dunia inajua km kenya ukanda huu ni babalao[emoji1787][emoji1787]Hamjaomba ah ha ha. But the truth is you're starving kimya kimya. But the world knows how you guys running out of food.
Ukiona tunaletewa condoms ujue tunashiba vizuri,sasa wewe condoms watakuletea za nn wakati hushibi,hiyo sex utaweza?View attachment 1303414
Donation ya mipira toka marekani iliwafikia?
Unamaanisha mihogo[emoji1787][emoji1787]Ukiona tunaletewa condoms ujue tunashiba vizuri,sasa wewe condoms watakuletea za nn wakati hushibi,hiyo sex utaweza?
Soma vizuri hiyo sentensi uelewe ndiyo uilete hapa..........