The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
"Wanaohitaji condom ni wale walioshiba"
Tanzania tumeshiba na tunashiba kila siku hivyo zinahitajika kwa sana!
Hawa majirani hawana chakula na mmojawapo ni MK254 .
Lazima waelewe mficha uchi hazai, wangetufungukia tu tuwalishe chap hisia ziwarudie upya!