Kenya yapewa msaada wa chakula na USA

Kwa hiyo wakenya hela ya chakula mnanunua condom alafu mnaomba msaa da wa chakula?
Huo ni umalaya [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro,, hakuna aliyeomba chakula hapo. Wamarekani wanajaribu kujikombakomba wenyewe ili tuwapatie deals kwa kupeana chakula kitakachopewa refugees kule KakumA.
 
Imekuingia hyo mchawi wa tandale[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Teh te te
πŸ˜€πŸ€£πŸ˜›πŸ˜
Ukigonga misosi na kushiba hamna πŸ’‰πŸ’‰ itakayo kulewesha.

Ila wewe uliyeshinda na kulala na njaa hapo korogosho, πŸ’‰πŸ’‰ kidogo tu chali.
 
Sisi tunagawa Mahindi Zimbabwe Huko kumbe majirani mnakufa njaa? Sasa kwanini hamsemi? Basi sisi tutawalete msaada wa kujenga Matundu ya Vyoo Pale kibera
 
Teh te te
[emoji3][emoji1787][emoji14][emoji13]
Ukigonga misosi na kushiba hamna [emoji382][emoji382] itakayo kulewesha.

Ila wewe uliyeshinda na kulala na njaa hapo korogosho, [emoji382][emoji382] kidogo tu chali.
Inawapa nguvu ya kuwanga kumbe[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story za vijiweni bana, eti watu wanaoishi ulaya[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…