Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Katika hali ya kushangaza Serikali ya Kenya imezuia unga wa ngano na gas ya kupikia kutoka Tz.

Hata hivyo Serikali ya Tanzania imetoa taarifa na kueleza itakishughulikia na ikizingatiwa Kenya imevunja makubaliano ya EAC.
MICHUZI BLOG: Taarifa Kuhusu zuio la kuingiza gesi asilia na unga wa ngano nchini Kenya

Kenya imeanza kulia lia kama mtoto na kuvunja makubaliano ya EAC. Naona wivu mkali ukionekana waziwazi kutoka kwa ndugu zetu wakenya. Chuki dhidi ya Tanzania kutoka kwa wakenya inakomaa siku baada ya siku. Hii ni kutokana na Tanzania kutangaza kuingia ktk mpango wa viwanda. Vita ni vita mura. Subirini na sisi tutawajibu.
Hawa huwa najichekea tu
yaani tukijibu moja lazima watulie
 
Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?
Unachekesha wewe
unadhani Tanzania ni Burundi!!
Hawana huo uwezo na wala hilo halitupi taabu
nijuavyo mimi Tanzania ikilipa
Lazima Kenya Ilipuke kwa kilio
 
Tuna sababu za kuzuia bidhaa ZOTE za Kenya kutokuingia Tanzania hii ni hatua ya mwanzo kabisa hatua ya pili ni kuwatimua raia WOTE wa Kenya hata wale wanaofanya kazi makao makuu ya EA Jijini Arusha bila kumsahau Balozi wao aliyeko Jijini Dar.

Hatua ya Mwisho ni kufunga mipaka yote na Kenya na kuamrisha Ndege zao ZOTE kutokuruka anga la Tanzania.

Natumaina Rais Magufuli atazingatia ushauri wangu bila kuchelewa.

Wata tulia tu hawa
huko hatata fika watakuwa wamesha fyanta mkia
 
povuuuuuu.....tumesema tu hatutaki chakula cha bure kaeni nacho.sasa shida iko wapi hapa?????hehee
 
Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?
Una uhakika na hizi tuhuma ulizoweka hapa?
 
Waacheni hao wanatafuta kick ya kura za wafanyabiashara. Uchaguzi ukiisha watarudi kwa S.T.P.
 
Hatutaki shobo za kijinga.
Jino kwa jino.
Ningekuwa Magufuli, ningepiga permanent ban ya KQ kukanyaga Tanzania.
Atleast utawala wangu upite.
Okay.....

Hakuna cha maana mtakayotimiza kwa mihemko. Hii sio njia bora ya kutupiku kibiashara.

Fanyeni yenyu, lakini Kenya always have different and employs effectively options to remain ahead.

Guess what, you will not overtake Kenya anytime soon, probably not till 2045. And definately not in this manner.
 
Hatutaki shobo za kijinga.
Jino kwa jino.
Ningekuwa Magufuli, ningepiga permanent ban ya KQ kukanyaga Tanzania.
Atleast utawala wangu upite.

Plus KCB, plus bidhaa za Unilever zote, hapo ni kwa kuanzia.
 
Okay.....

Hakuna cha maana mtakayotimiza kwa mihemko. Hii sio njia bora ya kutupiku kibiashara.

Fanyeni yenyu, lakini Kenya always have different and employs effectively options to remain ahead.

Guess what, you will not overtake Kenya anytime soon, probably not till 2045. And definately not in this manner.
2045 mbali sana, trust me.
 
Okay.....

Hakuna cha maana mtakayotimiza kwa mihemko. Hii sio njia bora ya kutupiku kibiashara.

Fanyeni yenyu, lakini Kenya always have different and employs effectively options to remain ahead.

Guess what, you will not overtake Kenya anytime soon, probably not till 2045. And definately not in this manner.
Hahahahahaha!! Jamaa wewe unadhani issue ni static siyo. Subiri utaona
 
We can cook with electricity. Grow our own maize and import from elsewhere. Please note that people in the rural areas have their own maize in granaries. There is a shortage of maize NOT FOOD
 
Mnalazimisha tukubali ngano yenu ya bure?Ntarudia tena,hatutakii chakula cha bure!hehe!Simwape wasudi kule Juba?
 
Back
Top Bottom