joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Let's finish with Tanzania first, then shall turn to Kenya. Tanzania tops Africa in Economics inclusiveness, that means the economy in Tanzania is evenly distributed, compared to all other African countries.which international body has said whites dominate 90% of kenya????
Matusi ni mwisho wa hoja na kufikiri.Hazipo sawa kama zako.....
K.M.M.K.M!
Kaka tatizo wewe unaamini unachokielewa, na mimi ninaamini ninachokielewa, lazima awepo mtu wa tatu aliyepewa maalaka kisheria kuamua nani yupo sahihi, mimi na wewe kila mtu atatetea anachokiamini hatutofikia muafaka.Mkuu
Since Mwinyi,Nyerere days....even Kikwete...wamiliki wa vyanzo vya uzalishaji nchi hii disproportionately ni Wahindi..
Thats a FACT!
Kwa kuanzia tu,list rasmi ya Forbes ya bilionaires Tanzania kati ya watu 10,8 wote ni watu weupe kasoro Mengi na Mufuruki tu ndio weusi!
Hii list unaijua,kila mwaka inatoka,unaijua vizuri!
Mengi na Mufuruki Wamekufa,sasa ni 100% weupe,it is a sad FACT,deal with it!
Yaani maCCM majitiaga wajuaji kumbe mabumunda matupu!
Unaona unavyojichanganya?, mimienimekuambia tutumie data za International bodies zilizopewa mamlaka, wewe unasema ninaamini data za serikali, kaka upo sawa kweli?,Mkuu
Forbes nani kaipa mamlaka?
Synovet nani aliipa madaraka na mamlaka?
Redet nani aliipa mamlaka?
Hapa tunazungumzia trust issue,watu world wide tend to trust forbes,etc
Wewe unataka tuamini inachosema ofisi ya serikali ya takwimu ya serikali ya Magufuli?
Amini mambo yako na mimi niamini mambo yangu
You are entitled to your own opinion,ila you are not entitled to your own FACTS!
Kama wote tunaamini Forbes,inasema asilimia 90% ya matajiri Tanzania ni weupe then sidhani kama una swali zaidi!
Endelea kuamini inachosema serikali which is always bias to make serikali look good only and not bad.....
Hiyo sijui economic inclusiveness concept .....
Mna-assume Wahindi ni Watanzania,ila sio Watanzania kiivyo kama mnavyodhani,wana double passports,na ndio wanamiliki 90% ya uzalishaji Tanzania
Ukienda deeper kwenye hizo Takwimu za Tanzania,Wahindi sio really wanapenda kua Watanzania to begin with,hivyo hakuna inclusiveness yeyote mnayotanulia matako hapa
Hizo international bodies za takwimu zilipewa "mamlaka" na nani wewe kiazi?
Nashindwa kukuelewa na neno "mamlaka"....hizi ni independent organizations na wala hazijapewa "mamlaka" na mtu au wananchi wa dunia hii....
Ni self made organizations
Hao Wazungu wa Kenya clear cut passports zao sio za Kenya na wala hawapendi uraia wa Kenya,ni raia wa original nchi zao,ndio maana unaona report inasema sio inclusive
In Tanzania na hawa Wahindi wetu kuna reality underneath,kwamba hawa Wahindi kwanza hawapendi Utanzania kama uraia wapo kujenga mali..Mistakenly wao wanadhani ni raia na wanapenda Tanzania kiivyo kumbe sio kweli...Ni sawa na Wazungu wa Kenya tu....
Hakuna tofauti ya Tanzania na Kenya na hiyo inclusiveness yako unayosemea hapa...reality ni kwamba 90% ya uchumi wa Tanzania wanamiliki Wahindi,kuhusu uraia zao ni complex issue hata hayo mashirika ya hizo report seemed to be confused of...
Wewe kuamini mashirika ya takwimu,ni sawa na mimi,shida tafsiri unayofanya ya hizi takwimu ndio unafeli wewe kama wewe!
Hizo mali unazodai Watanzania wote inclusive ni a big lie maana unashindwa kuelewa hizo takwimu vizuri,umechukua on the surface bila deeper analysis...
Watanzania more than 52% ni the poorest in the world,halafu uniambia wanamiliki 90% ya uchumi wa Tanzania?You must be stupid
Hivyo,get along with the program!
Sasa kama unabishana na Sources za UN, basi wewe akili zako sio za safari hii, wewe unastahili utangulie kwenda kuishi katika sayari ya Mars peke yako kwasababu hukubaliani na jinsi hapa duniani na jinsi mambo yanavyoendeshwa.Hiyo sijui economic inclusiveness concept .....
Mna-assume Wahindi ni Watanzania,ila sio Watanzania kiivyo kama mnavyodhani,wana double passports,na ndio wanamiliki 90% ya uzalishaji Tanzania
Ukienda deeper kwenye hizo Takwimu za Tanzania,Wahindi sio really wanapenda kua Watanzania to begin with,hivyo hakuna inclusiveness yeyote mnayotanulia matako hapa
Hizo international bodies za takwimu zilipewa "mamlaka" na nani wewe kiazi?
Nashindwa kukuelewa na neno "mamlaka"....hizi ni independent organizations na wala hazijapewa "mamlaka" na mtu au wananchi wa dunia hii....
Ni self made organizations
Hao Wazungu wa Kenya clear cut passports zao sio za Kenya na wala hawapendi uraia wa Kenya,ni raia wa original nchi zao,ndio maana unaona report inasema sio inclusive
In Tanzania na hawa Wahindi wetu kuna reality underneath,kwamba hawa Wahindi kwanza hawapendi Utanzania kama uraia wapo kujenga mali..Mistakenly wao wanadhani ni raia na wanapenda Tanzania kiivyo kumbe sio kweli...Ni sawa na Wazungu wa Kenya tu....
Hakuna tofauti ya Tanzania na Kenya na hiyo inclusiveness yako unayosemea hapa...reality ni kwamba 90% ya uchumi wa Tanzania wanamiliki Wahindi,kuhusu uraia zao ni complex issue hata hayo mashirika ya hizo report seemed to be confused of...
Wewe kuamini mashirika ya takwimu,ni sawa na mimi,shida tafsiri unayofanya ya hizi takwimu ndio unafeli wewe kama wewe!
Hizo mali unazodai Watanzania wote inclusive ni a big lie maana unashindwa kuelewa hizo takwimu vizuri,umechukua on the surface bila deeper analysis...
Watanzania more than 52% ni the poorest in the world,halafu uniambia wanamiliki 90% ya uchumi wa Tanzania?You must be stupid
Hivyo,get along with the program!
kwani kina Dewji, Bakhresa, Patel na yule mfadhili wa CCM MATAGA ni Wabantu?black Kenyan will continue suffering until Lucifer come to them # hii ni kwakuwa kenya bado colony la mzungu na uchumi wa Kenya 90 % is white owned economy
Mkuu jaribu kutumia muda mrefu kusikiliza na kujifunza toka kwa watu zaidi ya kupenda kulazimisha vile unavyofikiria wewe kwamba ni sahihi.Mkuu
Kuna Takwimu na "kutasfiri" takwimu...
Unapokosea ni "kutafsiri" takwimu....
Hilo tu!
Sawa mkuu, ila inathibitisha ukweli kwamba wewe akili zako si za ulimwengu huu au kama ni za ulimwengu huu basi ulipaswa uzaliwe karne ijayo, yaani una akili nyingi hadi kero mkuu, wanasema upo dakika kadhaa mbele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niwasikilize watu niwapeleke wapi?
Nijifunze nini na sitaki kujifunza vitu ubongo wangu unaona vya kijinga..ni ubongo wangu kwa utashi wake umeamua kuona ni upumbavu,sasa unanipangia?
Mimi nikae nimsikilize mtu wa CCM nimpeleke wapi kwa mfano?
Sina muda mchafu huo...
Na wewe usipoteze muda wako kunisikiliza kwa lolote!
After all,huo ushauri uliotoa sijauomba to begin with,never hired you to be my adviser!
Advice yourself not me,sijakuomba ushauri!
Wote wanasiasa, za kuambiwa changanya na zakoHawa ndio wenye pesa Kenya. Mzungu katafutane nao South Africa View attachment 1597404View attachment 1597405View attachment 1597406View attachment 1597407View attachment 1597408View attachment 1597409
Remember in East Africa there is only one dollar Billionaire, that man is from Tanzania. Kenya Hakuna $ Billionaire hata mmoja.Hawa ndio wenye pesa Kenya. Mzungu katafutane nao South Africa View attachment 1597404View attachment 1597405View attachment 1597406View attachment 1597407View attachment 1597408View attachment 1597409
Hawa ndio wenye pesa Kenya. Mzungu katafutane nao South Africa View attachment 1597404View attachment 1597405View attachment 1597406View attachment 1597407View attachment 1597408View attachment 1597409
Ss na cc tukiamua kuweka wanasiasa si mtakimbiana humu, hao ni wanasiasa wanaokula pesa ya nyani[emoji3][emoji3][emoji3]Nyeusi tupi, kwa wenzetu ni makanjibha na waarabu, wote ambao huishi mguu mmoja ukiwa Bombay.
[emoji116][emoji116]Hawa ndio wenye pesa Kenya. Mzungu katafutane nao South Africa View attachment 1597404View attachment 1597405View attachment 1597406View attachment 1597407View attachment 1597408View attachment 1597409
Ss na cc tukiamua kuweka wanasiasa si mtakimbiana humu, hao ni wanasiasa wanaokula pesa ya nyani[emoji3][emoji3][emoji3]
Pia anatakiwa kutambua kuwa Tanzania hairuhusu uraia pacha [emoji23][emoji23][emoji23]Ss na cc tukiamua kuweka wanasiasa si mtakimbiana humu, hao ni wanasiasa wanaokula pesa ya nyani[emoji3][emoji3][emoji3]
Muhindi. Ten out of ten richest people in Tanzania are Indians.Remember in East Africa there is only one dollar Billionaire, that man is from Tanzania. Kenya Hakuna $ Billionaire hata mmoja.
Huu ujinga wenu mumekua mkidanganya na media zenu toka utoto wenu, endeleeni kubaki nao huko kwenu, media zenu zinewajaza ujinga kiasi cha kushindwa kutumia akili zenu.
Muhindi. Ten out of ten richest people in Tanzania are Indians.
Nioneshe article inayosema Tz ni among poorest country niondoke Jf ss hv.Hawa jamaa huwa wameliwa na kubaki mifupa, wanatajwa kama maskini wa kutupwa duniani ilhali wana raslimali za kumwaga, zote zinaliwa na waarabu na wahindi na hata Wachina.
Tatizo lao kubwa ni uzembe.....