luangalila JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 6,346 Reaction score 6,928 Feb 7, 2019 Thread starter #61 Jamaa_Mbishi said: Watangazaji wenyewe wanaokotwa tu mitaani kukithi mahitaji ya boss. Hawana weledi wowote wala uelewa wa kazi waifanyayo, wako standby kuvuliwa chupi at any time na boss akipandwa na mzuka. Click to expand... hahahahahaha we blaza umetoa kali ya mwakaaa alafu wengi unawakuta wanashida ya R na L yaani wanakeraaaa japo ni biological disabilities
Jamaa_Mbishi said: Watangazaji wenyewe wanaokotwa tu mitaani kukithi mahitaji ya boss. Hawana weledi wowote wala uelewa wa kazi waifanyayo, wako standby kuvuliwa chupi at any time na boss akipandwa na mzuka. Click to expand... hahahahahaha we blaza umetoa kali ya mwakaaa alafu wengi unawakuta wanashida ya R na L yaani wanakeraaaa japo ni biological disabilities
J Jamaa_Mbishi JF-Expert Member Joined Jun 15, 2013 Posts 9,626 Reaction score 6,731 Feb 8, 2019 #62 luangalila said: hahahahahaha we blaza umetoa kali ya mwakaaa alafu wengi unawakuta wanashida ya R na L yaani wanakeraaaa japo ni biological disabilities Click to expand... Yaani wako very useless, hiv kale ka Boss Lady kana ujuzi gani jamani....kako so fake mpaka kanaboa.
luangalila said: hahahahahaha we blaza umetoa kali ya mwakaaa alafu wengi unawakuta wanashida ya R na L yaani wanakeraaaa japo ni biological disabilities Click to expand... Yaani wako very useless, hiv kale ka Boss Lady kana ujuzi gani jamani....kako so fake mpaka kanaboa.
mkenya zechariah lukorito Member Joined Oct 7, 2018 Posts 20 Reaction score 8 Feb 9, 2019 #63 TV na radio za Kenya zunafanya vizuri sababu media inalindwa na katiba pamoja na waajiriwa pia wanalindwa.
TV na radio za Kenya zunafanya vizuri sababu media inalindwa na katiba pamoja na waajiriwa pia wanalindwa.