Too bad. Hakuna mkono wa mtu jamani, tusianzishe hisia za ushirikina. Ndege hainaga ushirikina, ni utaalam tu.
Acha kudanganya watu helcopter waliodondoka nayo hata vipande havionekani yaani vipo vidogo sana.Wameonyesha citzen exclusive picture ya helcopter yenyewe yaani ni imeisha kabisa.Wewe hiyo ya kwako umeitoa maktaba ya ajali nyingine