Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Bwana ametoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi, Amina.
 
kwani hiyo choper si kama ile ya chadema.!!!
Nao hawana muda, utasikia siku moja, Mbowe, Slaa, Zitto, Lema na Tundu Lissu is no..................due to helicopter cra........., they were going to loot M4C spirits in western zone.!

Mh! unawatakia mabaya makamanda wa cdm! bado kazi ya ukombozi hawajatimiza.. waombee mema na sio hayo unayowaza kwa sasa!
 
Bahati mbaya sana...but this is life and we have multitude of ways to have it ended up.
 
Hilo jina Saitoti, nasikia ni la Kimasai, so atakuwa alilichukua Umasaini or?!
Mchagueni Prof Ole Kiyapi ndugu,kwanza Saitoti sio Mmasai ,bali alikulia umasaini baada ya wazazi wake kuwakimbia waingereza enzi za maumau,marehemu alikuwa Mkikuyu ingawaje alikuwa hajui kuongea Kikuyu hata Kimasai
 
Waziri wa ulinzi na usalama p.g.saitoti cheo chake ni cha nne kutoka rais, waziri mkuu, makamu wa rais, waziri wa usalama, waziri wa fetha, waziri wa serekali za wilaya, waziri wa mambo ya nnje, kenya mambo ya ndani ni ya makamu wa rais kalonzo musyoka na sio ya saitoti.
 
Saitoti alikuwa mmoja kati ya watakao gombea urais 2012 LALA SALAMA SAITOTI[Alikuwa pnu au odm? Naomba kujua coz serikali yao ni ya umoja wa kitaifa

PNU iliotokana na malumbano ya uchaguzi wa 2007, lakini kw lengo la kuwania uchaguzi mwaka ujao yeye pia ni Mwenyekiti was chama cha PNU na candidate kwa uchaguzi ujao. Confusion, I know, but that is the nature of our politics in Kenya.

PNU ya uchaguzi was 2007 imesambaratika kuwa viama kathaa, na Saitoti akarithi moja tuu ya viama hivyo
 
Ooh Mungu! Nchi kavu ajali, majini ajali, angani ajali!
Turehemu Baba wa Mbinguni na kuwatia nguvu wajane, watoto na wazazi wa marehemu. Amin!
 
Hotuba ya mwisho ya marehemu George Saitoti

 
Last edited by a moderator:
it's very very sad, Mungu wa milele awalaze mahali pema peponi, wapumzike kwa amani.Mungu mfariji wa kweli awafariji Wakenya wote na familia kwa pekee.
 
Hata mimi nimesikia BBC wanasema waliokuwemo kwenye helicopter ni Waziri wa Usalama wa ndani Prof. George Saitoti na Naibu wake Orwa Ojode na maafisa wengine wa Wizara yao,na wote wamekufa...

Kifo cha Prof. Saitoti ni pigo kubwa sana kwa Siasa za Kenya na nchi ya Kenya kwa ujumla..

Hakuna pigo lolote labda kwa familia tu. Mungu wakati anaumba mwanadamu alisema zaeni mkaongezeke mana yake binadamu watakufa na walio hai watachukua nafasi zao.RIP
 
Bujibuji ulitaka kutuingiza choo cha kike,nashukuru wana JF kwa kuwa makini shukrani za pekee kwako mama mdogo kwa kuweka mambo sawa!!!R.I.P wote waliopata ajali.
 
alikuwa ni Kibaraka wa Mwai Kibaki mwaka 2007 na pia ni mmoja kati ya watu ambao nimeshangaa kuwaona wakikosa kupelekwa kwa Ocampo, yeye pamoja na Kibaraka mwengine ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi yaani Samuel Kivuitu.
 
Eeh, hizi ni hela?!, ingekuwa Bongo, sidhani hata kama zingepata nafasi ya kupigwa picha!
Bujibuji mambo gani tena haya kaka yangu? Ile helicopter waliopanda hao viongozi imelipuka angani na kuanguka ikiwa imeharibika, si nzuri kama uliyoonyesha wewe. Na kwa uzuri zaidi mimi kwa wakati huu niko mjini Nairobi katika mihangaiko yangu ya kuitafuta shillingi, na Citizen TV wanaonyesha hiyo crash site ni porini (Kibiku forest, maeneo ya Ngong); na helicopter yenyewe iko nyang'anyang'a.

Ila kuna mambo mengi yanasemwa kuhusu ajali hii hapa Nairobi, mosi, rubani aliyekuwa amepangwa awali kajitoa dakika za mwisho ndipo akateuliwa mwingine (Madam Nancy Githuana) ambaye ndiye amekuja pata ajali na amefariki; pili miili ya waliokuwemo kwenye ndege imeungua haitambulikani, lakini pesa walizokuwa wamebeba kupeleka kwa fund raising hazikuungua kuteketea. Makubwa, lakini ndiyo hivyo, Prof George Saitoti, Naibu wake Orwa Ojode, walinzi wao wawili na marubani wawili wamefariki. Mwenyezi Mungu aweke roho zao mahali pema peponi.


View attachment 56013View attachment 56014
 
Yaani bora ulivyosema wewe, nilishangaa helicopta ing'ae hivyo, iue watu kiasi hicho, serious crash sio mchezo bhana, kama ingekuwa inang'aa hivyo wasingekufa wengi, labda mmoja, tena si ajabu kwasababu ya kuzidiwa na mapresha na wasiwasi tu!
Eeh, hizi ni hela?!, ingekuwa Bongo, sidhani hata kama zingepata nafasi ya kupigwa picha!
 
Mission town! Wamemteketeza kabla hajaanza kupiga kampeni za uchaguzi! Wakenya bana, njaaaaaa tuuu! Al shabbab wanaishuhulikia vizuri saivi (hili tukio for sure lina links na governmnt n nt shabab)
 


Kenyan Internal Security Minister George Saitoti has been killed in a helicopter crash, officials say.
Mr Saitoti and his deputy, Orwa Ojode, died when the aircraft went down west of Nairobi. President Mwai Kibaki has declared three days of mourning.
There is no word on the cause of the crash, in which six people were killed, including bodyguards and pilots.
Mr Saitoti, a former vice-president, had been planning to run in a forthcoming presidential poll.
The 66-year-old was on his way to a security meeting when his helicopter crashed on Sunday morning.

BBC News - Kenyan minister George Saitoti killed in helicopter crash
 
Back
Top Bottom