Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Delta4, with due respect, ungeweza kumuelewesha aliyeuliza kuhusu that large sum of money bila kuegemea ukuta wa TZ/Kenya. Africa nzima including Kenya na Tanzania tuna tatizo la hela nyingi kuwa 'outside the official channel' in the sense that Taxation is out of the equation. Iwe church or whatever fundraising lazima tukubali kuna mambo hatujayafanyia kazi when it comes to handling money.

About speculation za vifo, I guantee you sio tu wa-tz hapa JF wanao-speculate, hii iko Tanzania kama ambavyo iko Kenya. Plus it happens everywhere especially when it is an accident involvig a publc figure. Iko duniani kote, Princess Diana bado watu wana-speculate, JFK etc. Na hata uchunguzi wa polisi ukikamilika bado certain individuals wanaweza kuendelea na speculation. Ndiyo ukweli wa mwanadamu.

FJM - my apologies Kaka. And you are right. But there is a style of debate here that just gets the goat up. While any normal adult and well-balanced person knows there is a season for all things.

In Kenya, there is a huge shock at the death of these two political leaders, and not because of their popularity, tribe nor even achievements. It would seem the Nation is under siege, and there is real possibility of public despondence growing critical mass if we allow it - not because any of the many indicators of National Growth are persistently pessimistic. If our National Leadership does not re-group and show a Unity of National Purpose at this time, public despondency is real possibility - people will start jumping at shadows, and get paranoid around each other. So that we hold on to this public show of shared national grief, of our leadership holding together even if just this once, of our re-focussed attention to our Nationhood and our Patriotism. We can do very well without the sanctimonious expressions made here by some wtz such as Askari Kanzu that lack balance and rationality. That is all really.

Give Kenyans right and space to properly mourn this National Loss, as we shall when you wtz will face your time of national grief (which surely will come some time); and then after that lets return to our usual juvenile sparring in this and other cross-national foras.

Ndo hayo tuu!
 
Aliyekuwa mwanzilishi wa taifa la Kenya, Mzee Jomo Kenyatta alikuja na mwito wa "HARAMBEE" ambao haukuwa na maana nyingine ila watu kuja pamoja kuvuta pamoja rasilimali (sio fulusi pekee) na nguvu kujenga taifa. Siku hizi ndio mwito HARAMBEE/mchango wa fedha umeegemea sana upande wa fulusi kuliko msaada wa umoja. Viongozi walikua njiani kuenda kuchangisha pesa katika kanisa moja hapo Ndhiwa. Ni kitu ambacho kimefanywa nchini kwa muda mrefu na viongozi wa serikalini katika ngazi za juu, makanisa, na makundi binafsi.
Itakuwa vigumu kufanya upambanuzi kuhusu channel za hundi kama hizo zilizounguzwa. Siku hizi ni kama kawaida watu kupatikana na hundi.

Huu mtindo wa kuchangisha umekuwepo Tanzania lakini zaidi kwenye mambo ya harusi. But in the last 2 years tumeanza kuona harambee - Kenyan Style ambapo wanasiasa wanatoa michango sana makanisani, tena hela nyingi sana! There is a bit of un-easiness about it especially from those who do not want to mix politics na siasa. Lakini Kenya imeshakuwa normal.
 
TUME YA KATIBA, nategemea Usalama wa Taifa wakishirikiana na FBI/CIA wataanza kukutunza kwenye kumbukumbu zao hiyo IP number yako.

Kama si Wasomali kuanza kufanya utekaji watalii huko KENYA, basi sidhani kama Kenya wangeliingia kwenye vita nao. Wamepigana wenyewe kwa wenyewe miaka mingi sana na Kenya ilikuwa kimya.

Najua hata kama wakivamia Sudan leo, Sudan pamoja na Uislaam wao, wataamua kuzipiga.

Kwani IRAN vs IRAQ si wote walikuwa Waislaam? Wanavyouawa Afghanistan kabla ya Bush hajavamia huko, si walikuwa Waislaam kwa Waislaam?

Vita ni mbaya sana na ni kuomba isianze. Ikishaanza basi kumbuka kuwa HAINA MACHO hiyo vita.
 
Mmh, Al Shabaab jamani, Kenya wanadeal nao haswa, ndio maana kila siku wanazidi kuwachukia
 
FJM - my apologies Kaka. And you are right. But there is a style of debate here that just gets the goat up. While any normal adult and well-balanced person knows there is a season for all things.

In Kenya, there is a huge shock at the death of these two political leaders, and not because of their popularity, tribe nor even achievements. It would seem the Nation is under siege, and there is real possibility of public despondence growing critical mass if we allow it - not because any of the many indicators of National Growth are persistently pessimistic. If our National Leadership does not re-group and show a Unity of National Purpose at this time, public despondency is real possibility - people will start jumping at shadows, and get paranoid around each other. So that we hold on to this public show of shared national grief, of our leadership holding together even if just this once, of our re-focussed attention to our Nationhood and our Patriotism. We can do very well without the sanctimonious expressions made here by some wtz such as Askari Kanzu that lack balance and rationality. That is all really.

Give Kenyans right and space to properly mourn this National Loss, as we shall when you wtz will face your time of national grief (which surely will come some time); and then after that lets return to our usual juvenile sparring in this and other cross-national foras.

Ndo hayo tuu!

No worries mate. Poleni sana na msiba. Just curious what do you think politicians will do next year 10th June? Watatumia punda kusafiri maana that date will forever remain in the minds of many.
 
"Sitalala hadi nihakikishe nimewasambaratisha alshabab wote"- Prof. Saitoti

Kumbe hajui mungu muumba amepanga nini, kachomeka na moto wa ndege kuliko ndafu, hata fuvu halijapatikana! na bado huu ni just moto wa duniani bado moto wa muumba wa mbingu!

Aliyepanga ni Muumba au Al -Shabaab?

 
Bora niitwe kafir kuliko kumwabudu mungu anayependa ugaidi, mauaji ya kinyama, visasi,kukata viungo vya watu na ujinga
 
tume ya katiba, nategemea usalama wa taifa wakishirikiana na fbi/cia wataanza kukutunza kwenye kumbukumbu zao hiyo ip number yako.

Kama si wasomali kuanza kufanya utekaji watalii huko kenya, basi sidhani kama kenya wangeliingia kwenye vita nao. Wamepigana wenyewe kwa wenyewe miaka mingi sana na kenya ilikuwa kimya.

Najua hata kama wakivamia sudan leo, sudan pamoja na uislaam wao, wataamua kuzipiga.

Kwani iran vs iraq si wote walikuwa waislaam? Wanavyouawa afghanistan kabla ya bush hajavamia huko, si walikuwa waislaam kwa waislaam?

Vita ni mbaya sana na ni kuomba isianze. Ikishaanza basi kumbuka kuwa haina macho hiyo vita.

i like this!

 
So, what you mean is, "Allah Killed Saitot and his team". Do I get you right?
uislam ni dini nzuri inayosisitiza upendo na amani katika jamii. neno "islam" maana yake ni unyenyekevu. Ila baadhi ya watu wanautumia vibaya kwa kuwaghilibu watu kwa manufaa yao binafsi. Sijaona sehemu yeyote katika quraan au hadithi za mtume (SAW) tunapofundishwa kuua watu wengine wasio na hatia yeyote kwa ajili ya ajili ya dini. hebu tujiulize swali moja. kuuwa na kujeruhi idadi kubwa ya watu waliokuwa wanatafuta riziki zao (sokoni) kwa bomu utakuwa umeusaidia vipi uislam????? nadhani inabidi tufikiri upya kwani haya mambo hayana mahusiano kabisa. Kama ni kuusambaza uislam nadhani muda wake ulikwisha pita kwani kwa karne hii na teknolojia tuliyonayo karibu kila mtu hapa duniani anaujua uislam hivyo hata hakuna haja tena ya kutumia nguvu kwani hata wakati wa mtume watu walipelekewa habari lakini suala la kuamini au la lilbaki la mtu binafsi. Vijana tusidanganywe sisi ndio rasilimali ya taifa ya taifa lolote hivyo kututumia kama silaha(kujitoa muhanga) ni kuhujumu rasilimali hiyo. Msiwaghilibu watu na kuidhalilisha dini yetu nzuri.
Nawasilisha
 
naelekea kuamini kwamba zanzibar kuna tawi la al-shabaab ndio maana ccm wanajiamini sana na kauli zao kwamba wao ni majambazi.!
 
many of the so called prophets they do prophesied the thing which has already been framed, eg sheikh yahya
 
Utanielewa tu mkuu wangu,

Kimsingi hawa viongozi wanapokuwa madarakani hufikili wao ndio kila kitu, hujisahau kabisa kuwa maisha ya ulimwengu ni kama safari tu, Binafsi nimependezwa na jinsi alivyochomeka kwa kuwa ndivyo yanayotokea kule somalia, wanawake, watoto na watu wasio na hatia wanauwawa kila kukicha kwa kisingizio cha alshabab kumbe wana sababu zao za kimaslah.
Kwa vyovyote wewe utakuwa ni mtu katili sana sana na mwanachama wa hawa al shabaab. Itabidi hizi comments zako zote ulizozitoa hapa tuzikopi na kuzipeleka sehemu inayohusika. Usifikiririe utajificha kwa kutumia username ya JF. Lazima tukujue wewe ni nani na kwanini unaunga mkono ugaidi.
 
Al-Shabaab, Boko Haram, Alqaeda, wanapenda kutumia jina la mwenyenzi mungu, lakini wao wanamtumikia ibilisi
 
Utanielewa tu mkuu wangu,

Kimsingi hawa viongozi wanapokuwa madarakani hufikili wao ndio kila kitu, hujisahau kabisa kuwa maisha ya ulimwengu ni kama safari tu, Binafsi nimependezwa na jinsi alivyochomeka kwa kuwa ndivyo yanayotokea kule somalia, wanawake, watoto na watu wasio na hatia wanauwawa kila kukicha kwa kisingizio cha alshabab kumbe wana sababu zao za kimaslah.
Hebu tufahamishe hizo sababu zao za maslahi
 
Mkuu wangu cacico, tatizo lenu kubwa mnategemea bbc au idhaa ya ujerumani kupata taarifa ya yanayoendelea Somalia, wengi wenu hamuyajui yanayotokea, hawa wanajeshi wanafanya vitendo vya udhalilishaji wa hali ya juu kwa kisingizio cha kutafuta hao alshabab.

Ukweli ni kwamba somalia ni nchi imekaa vyema sana kivita pia inasemekana wana kiwango kikubwa sana cha mafuta, kinachoendelea kule hakisemwi kabisa kutokana na vyanzo vingi vya habari tunavyovi=tegemea kuwa ndio hao wenye maslah. PressTV - Kenyan airstrikes kill 11 civilians in Somalia

Somali civilians killed in Kenyan air raids - Africa - Al Jazeera English

Kila la kheri mkuu wangu.


Hivi, ni kwanini kila siku kisingizio huwa ni mafuta? Hii inaonesha ufinyu wa hali ya juu wa kufikiria. Jaribu kujifunza na kupata habari kabla ya kuandika hizi pumba. Unadai "inasemekana wana kiwango kikubwa sana cha mafuta", huu mchongo weye umeutoa wapi, au kwenye gazeti lenu la ANNUR au ile radio yenu ya IMANI? Kama kweli Somalia kungekuwa na mafuta, unadhani nini kingezuia Wamarekani, Waingereza au hata Wachina ambao wote wana uchu na mafuta, kuvamia na kuanza kuyachimba. Kweli unadhani watu wanaofuata mafuta katikati ya bahari(deep sea exploration) wangeshindwa kuanza kuchimba kwenye Hell-Hole we now call SOMALIA? Same BS arguments zinatumika kutaka Zanzibar kujitenga, eti wana mafuta, hayo mafuta yameamua kutokea leo tu? Yalikuwa wapi wakati Sultani alipokuwa akitawala hicho kisiwa. Tusiwe wavivu wa kufikiria, inatufanya humu JF tuonekane hamnazo.
 
Utanielewa tu mkuu wangu,

Kimsingi hawa viongozi wanapokuwa madarakani hufikili wao ndio kila kitu, hujisahau kabisa kuwa maisha ya ulimwengu ni kama safari tu, Binafsi nimependezwa na jinsi alivyochomeka kwa kuwa ndivyo yanayotokea kule somalia, wanawake, watoto na watu wasio na hatia wanauwawa kila kukicha kwa kisingizio cha alshabab kumbe wana sababu zao za kimaslah.


Hivi tume ya katiba,
Kati ya alshabab na kenya, nani anafanya somalia isikalike?
 
Back
Top Bottom