Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Ila duniani hakuna jema! Sasa hawa al shabab wanataka nini hasa? Na kama ni Wakenya kuwa somali, kwani si katika harakati za kujilinda? Je, ni ni sahihi al shabab waendelee kuwaua wakenya?
 
al shabibu waongo mtu kafa kwnye ajali wao wamedandia tu hawajasababisha lolote wala chochote wasitake kuogopesha watu hapa
 
Bora niitwe kafir kuliko kumwabudu mungu anayependa ugaidi, mauaji ya kinyama, visasi,kukata viungo vya watu na ujinga

Kuitwa kafir ni tusi kwa anaekuita ila unaeitwa kama hunalo kwa vocabulari yako ni neno kama jingine tu; empty word kiongozi
 
View attachment 56113

Kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kimedaiwa kusuka mpango mzima wa ajali ya helicopter iliyotokea pori la Kibiku na kugharimu maisha ya Waziri wa Usalama wa Ndani George Saitoti, Naibu wake Orwa Ojode, Marubani wawili na walinzi wake wawili.
Aidha katika mtandao wa twitter kikundi hicho kimeweka tweets zinazosomeka;

"Kenyans should know that neither would their country ever prosper nor their security improve under the heels of such men. Better off dead! The remaining invaders should be expectant that Allah will inflict His punishment by Himself upon the
Kuffar or by the hands of Mujahideen

He has been aggressive in his war against Islam but died the wretched death of a
Kafir and now lies rotting in his coffin on his way to hell.

For the hundreds of Muslims killed & displaced by Kenya's brutal invasion, Saitoti's death is but a droplet of justice in a sea of oppression
Saitoti played a prominent role in overseeing the abduction, torture & imprisonment of hundreds of innocent Muslims in his war against Islam.

From strafing of refugee camps in Somalia to the abdominal treatment of Muslims in Kenya, Saitoti and his likes perpetrated heinous crimes

HSM welcomes the death of the evil minister upon whose authorization thousands of Muslims suffered both in
Somalia and Kenya"

Source:
Kibiku Forest Plane Crash was Al-Shabaab Attack | Uganda Picks

Hayo yote uliyoyaandika hakuna hata moja linaloashiria Al Shabaab. Hizo ni "quotes" za watu.
 
Utanielewa tu mkuu wangu,

Kimsingi hawa viongozi wanapokuwa madarakani hufikili wao ndio kila kitu, hujisahau kabisa kuwa maisha ya ulimwengu ni kama safari tu, Binafsi nimependezwa na jinsi alivyochomeka kwa kuwa ndivyo yanayotokea kule somalia, wanawake, watoto na watu wasio na hatia wanauwawa kila kukicha kwa kisingizio cha alshabab kumbe wana sababu zao za kimaslah.
mamia ya watu wasiona hatia wanaouawa na alshabab, alqaeda, islamic jihad na magaidi wengi sio roho hizo roho ni za hao magaida ambao prof.Saitoti alidhamiria kuwasweep waache kuuawa watu wasio na hatia! nyie waislamu sijui mna pepo gani??
 
"Sitalala hadi nihakikishe nimewasambaratisha alshabab wote"- Prof. Saitoti

Kumbe hajui mungu muumba amepanga nini, kachomeka na moto wa ndege kuliko ndafu, hata fuvu halijapatikana! na bado huu ni just moto wa duniani bado moto wa muumba wa mbingu!
Islam at its finest...100% chuki/roho mbaya...
 
So, what you mean is, "Allah Killed Saitot and his team". Do I get you right?
Moja ya amri 10 za Mungu ni USIUE. Kwa mantiki hii anaekwenda kinyume na amri hii anafuata amri za nani kama sio
shetani? Naomba mtazamo wenu mnaounga mkono falsafa ya "kupigania uislamu kwa kuua binadamu wenzenu ( i.e. JIHADI)".
 
Top Kenya security minister killed in crash, Shebab rejoices

It is God who ordains ... glory to him!
 
Moja ya amri 10 za Mungu ni USIUE. Kwa mantiki hii anaekwenda kinyume na amri hii anafuata amri za nani kama sio
shetani? Naomba mtazamo wenu mnaounga mkono falsafa ya "kupigania uislamu kwa kuua binadamu wenzenu ( i.e. JIHADI)".

Mkuu kwanza nikusalimie, pili mkuu wangu UGOMVI mkubwa hapa duniani unatokana na maslah na si vinginevyo.
Haya DINI,KABILA,SIASA na means nyingine ni vijisababu tu vya makabaila kutaka kugawanya watu. Kinachotokea somalia ni maslah tu mkuu wangu na si vinginevyo, ila ili kuwatenganisha hawa watu ndio inabidi zitengenezwe propaganda za aina mbali mbali kufikia malengo. We angalia CONGO, hivi unadhani wale watu hawataki amani? dini haijatumiwa kule kwa kuwa haikuwa issue vinatumiwa vyama vya waasi etc.

Cheki hizi link hapa chini utajua, nina maana gani.

http://www.davidicke.com/forum/showthread.php?t=202056

» Britain hopes to grab Somalia's untapped oil reserves Alex Jones' Infowars: There's a war on for your mind!

PressTV - Britain eyes Somalia?s oil reserve

Britain leads dash to explore for oil in war-torn Somalia | World news | The Observer

Somalia promises west oil riches as diplomats vow to defeat al-Shabaab | World news | The Observer

US interests in Somalia
 
Utanielewa tu mkuu wangu,

Kimsingi hawa viongozi wanapokuwa madarakani hufikili wao ndio kila kitu, hujisahau kabisa kuwa maisha ya ulimwengu ni kama safari tu, Binafsi nimependezwa na jinsi alivyochomeka kwa kuwa ndivyo yanayotokea kule somalia, wanawake, watoto na watu wasio na hatia wanauwawa kila kukicha kwa kisingizio cha alshabab kumbe wana sababu zao za kimaslah.
Hujaongea kitu hapo
 
Hujaongea kitu hapo

Sawa ndugu yangu, ina kwa taarifa yako TANZANIA ni nchi ya "AMANI" simply kwa sababu, rasilimali tulizonazo hazitunifaishi, na ndio maana tunaendelea kupozwa kwa vijizawadi vinavyoitwa misaada. Subiri siku atakapochukua nchi, mtu mwenye uchungu na rasilimali uone kama hiyo so called "AMANI" itakuwepo.

Na hapo ndio utakapojua nimeongea kitu. VITA VYOTE NA MACHAFUKO YOTE DUNIA YA SASA NI YA KIMASLAHI.
 
[/B]]Uganda government mourns dead Kenyan ministers*- National*|monitor.co.ug

''
The Uganda government yesterday joined Kenya in mourning the death of two Kenyan ministers, Prof. George Saitoti (Internal Security) and his deputy Joshua Orwa Ojode.

"As government we are saddened by the sudden death of Saitoti and his deputy. George Saitoti is a known statesman who participated in the liberation of Kenya and East Africa at large".

"At this time when we are heading for a political federation, we shall miss him a lot," Mr Asuman Kiyingi, the State Minister for Regional Affairs, said.
"It is sad, it is absolutely sad. We sympathise with the Kenyan citizens and their families for the loss of the two ministers," Mr Eriya Kategaya, the Ugandan first deputy prime minister and minister of East Africa, said.

By press time, the cause of the crash was still unknown. According to the Minister of Information, Ms Mary Karooro Okurut, "as government [Uganda] we are in touch with Kenya and we await the outcome of the investigations into the cause of the crash."
Prof. Saitoti, the former long-serving vice president in Arap Moi's regime, had made known his intentions to contest the presidency in the general elections slated for March 2013.


That is what would be expected of a neighbour, a brother. Not the crass, self-righteous BS spewn out by degenerates likes of ASKari Kanzi. And see the genuine expressions by Government of Ugandan Officials.

Ugandan Press even carried a very well researched and adequately detailed Biography of Hon, Professor George Saitoti in their Daily Newspapers today!!

From across the Kilimanjaro, what official reactions has there been made to in-drectly mitigate the horrible BS generated by the likes of Askari Kanzu and some so-called ''Moderators'' on these Jamii Forums?

 
Somalia ni nchi iliyopuuzwa kwa miaka mingi na UN na miaka ya nyuma kidogo iliongozwa na hawa ALSHABAB na nchi ilitulia lakini US na Ethopia waliivamia kijeshi kisa hawataki serikali ya kiislam na ndo mwanzo wa haya yote..mbona kuna double standard mbona leo US,UK nk wanashirikiana na waasi LIBYA now SYRIA tena na ALQAEEDA ndani kwanini Somalia hasa hawa ALSHABAB wasiachiwe nchi yao then international community ika wa sapport the same as LIBYA then muone km kuna uasi au ugaidi wowote utakaoendelea....kimsingi lazima tutambue hulka za watu wengine kua hawakubali kuonewa wala kudhulumiwa kama walivyo wakurya tu...Dont b biased na vyombo vya magharibi kwani hata juzi mauaji ya HOMS syria BBC walionesha picha za 2003 za IRAK eti serikali ya syria ndo wamewaua mpaka aliepiga picha hizo mui TALIA kuingilia kati kua sio kweli na kuishataki BBC kwa kupotosha...so let them fight for their country kwani hata sisi yakitufika sidhani km tutakaa kimya km tunavyoibiwa madini yetu na tupo kimya....
 
Back
Top Bottom