Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Hivi nani kakupa hiyo title ya GOLD member? kwa nini mnakuwa wagumu kuelewa jamani!

Sijasoma kama wewe ndio maana kuelewa kwangu ni kwa kufikiria sana...Nisichoelewa nini? Busara inatuhimiza kumuachia Mola majaariwa ya yeyote aliyotangulia mbele ya haki. Napata shida mtu anaposema amechomeka duniani na atachomwa hell. Kuna mtu anayo macho yakuona mpaka hell? Just thinking outside the box!!!
 
Utanielewa tu mkuu wangu,

Kimsingi hawa viongozi wanapokuwa madarakani hufikili wao ndio kila kitu, hujisahau kabisa kuwa maisha ya ulimwengu ni kama safari tu, Binafsi nimependezwa na jinsi alivyochomeka kwa kuwa ndivyo yanayotokea kule somalia, wanawake, watoto na watu wasio na hatia wanauwawa kila kukicha kwa kisingizio cha alshabab kumbe wana sababu zao za kimaslah.

Somalia imekaa karibu miongo miwili bila serikali inayotambulika, vikundi vya wababe wote wa imani moja walishindwa kuunda Taifa lenye utulivu. Hawa wakenya wameingia Somalia mwaka juzi tu leo una wasingizia kuwa wana ajenda za kimaslah!

Je Bokoharamu wanao lipua makanisa kama uamsho, nao wana sababu ya kulinda maslahi ya wanigeria? Tuna anza kupata wasiwasi na ajenda za OIC, haiwezekani vikundi vyote vya kigaidi viwe vya toka dini moja tu!
 
Somalia imekaa karibu miongo miwili bila serikali inayotambulika, vikundi vya wababe wote wa imani moja walishindwa kuunda Taifa lenye utulivu. Hawa wakenya wameingia Somalia mwaka juzi tu leo una wasingizia kuwa wana ajenda za kimaslah!

Je Bokoharamu wanao lipua makanisa kama uamsho, nao wana sababu ya kulinda maslahi ya wanigeria? Tuna anza kupata wasiwasi na ajenda za OIC, haiwezekani vikundi vyote vya kigaidi viwe vya toka dini moja tu!

Uncle sam, nimeweka link kama 7 katika post yangu namba #39. Tafadhari kaicheki. Wanajeshi wa kenya walioko somalia hata hawajui kwa nini wapo kule, ni wenye dunia ndio wamewalazimisha wakenya kufanya wanayofanya.

Nimesema na ninarudia: kuna maslah aina mbili somalia

1) Ni eneo zuri la kistratejia ya kijeshi.
2) pili ni reserve kubwa ya mafuta ambayo wanayo.

kutokana na hivyo nchi kama uturuki na Iran wana interest zao na wamagharibi pia wana interest zao.

Mkuu kuna vita congo visivyoisha kila kukicha, na huko kuna watu wa dini gani? Nasisitiza ni maslah tu na hakuna kingine.

Nilisema na ninarudia, "AMANI" ya Tanzania inatokana na wananchi kutonufaika na resource zilizopo, siku akitokea kiongozi akaamua rasilimali za nchi ziwe kwa manufaa ya watanzania ndio itakuwa mwisho wa "AMANI", maana atakuwa ameguza maslah ya wenye dunia.
 
habari hiyo haioneshi hata kidogo kwamba AlShabaab wanahusika. Ila wamesema wanafurahia kifo. Tuache upotoshaji shallow.
 
Uncle sam, nimeweka link kama 7 katika post yangu namba #39. Tafadhari kaicheki. Wanajeshi wa kenya walioko somalia hata hawajui kwa nini wapo kule, ni wenye dunia ndio wamewalazimisha wakenya kufanya wanayofanya.

Nimesema na ninarudia: kuna maslah aina mbili somalia

1) Ni eneo zuri la kistratejia ya kijeshi.
2) pili ni reserve kubwa ya mafuta ambayo wanayo.

kutokana na hivyo nchi kama uturuki na Iran wana interest zao na wamagharibi pia wana interest zao.

Mkuu kuna vita congo visivyoisha kila kukicha, na huko kuna watu wa dini gani? Nasisitiza ni maslah tu na hakuna kingine.

Nilisema na ninarudia, "AMANI" ya Tanzania inatokana na wananchi kutonufaika na resource zilizopo, siku akitokea kiongozi akaamua rasilimali za nchi ziwe kwa manufaa ya watanzania ndio itakuwa mwisho wa "AMANI", maana atakuwa ameguza maslah ya wenye dunia.

I agree with this comment mkuu. Maslahi ya mataifa makubwa yanaisambaratisha Afrika. Inakuwaje tunawakumbatia watu wasio na utu zaidi ya kuchukua mali zetu Africa? There is a history i n Somalia kutokana na jinsi Siad mohamed Barre alivyokuwa. Aliwakumbatia sana wamarekani. Hata Congo, Mobutu was their puppet. na zawadi waliowaachia ni vita visivyokwisha. Na sisi je tumejipangaje? Maana ni kama wameingia mpaka chumbani....
 
...That is what would be expected of a neighbour, a brother. Not the crass, self-righteous BS spewn out by degenerates likes of ASKari Kanzi. And see the genuine expressions by Government of Ugandan Officials. Ugandan Press even carried a very well researched and adequately detailed Biography of Hon, Professor George Saitoti in their Daily Newspapers today!!

From across the Kilimanjaro, what official reactions has there been made to in-drectly mitigate the
horrible BS generated by the likes of Askari Kanzu and some so-called ''Moderators'' on these Jamii Forums?
makubwa. kihoro na utimanyongo wa nini? hatujuani na kamwe hatutakuja kujuana maishani kwa hiyo haisaidii kufurumusha matusi hewani kama hayawani. huu ni ujinga na uwendawazimu!
 
Kenya kupigana vita na Alshabab ni first class mistake ambayo Kenya itajutia milele.

So what? Wewe jirani yako ukiona anahatarisha usalama wa familia yako una kimya? Kwanini usichukue hatua na kuwaambia: 'ndibalema'.
 
taratibu. acha kukasirika kama paka shume!

you just had to import this personality from intl forum to this Kenyan sanctuary?huh! Wait for the appropriate thread then go viral, al enlist in it if necessary../presuming kenya forums lasts/..*i have my doubts*...
 
you just had to import this personality from intl forum to this Kenyan sanctuary?huh! Wait for the appropriate thread then go viral, al enlist in it if necessary../presuming kenya forums lasts/..*i have my doubts*...
am silent on this.
 
"Sitalala hadi nihakikishe nimewasambaratisha alshabab wote"- Prof. Saitoti

Kumbe hajui mungu muumba amepanga nini, kachomeka na moto wa ndege kuliko ndafu, hata fuvu halijapatikana! na bado huu ni just moto wa duniani bado moto wa muumba wa mbingu!

chuki za kidini.
 
Hawa al shabaab wanataka kujizolea sifa na umaarufu fake - eneo la Ngong ni eneo hatari kwa usalama wa ndege - ndege zimekuwa zikiporomoka eneo hilo hata hao majambazi na majangili hawajazaliwa.
 
Okay, kidogo nikuelewe vibaya, ila kuhusu swala la Kenya kuwa somalia nadhani wako kule sababu ya maslahi ya kiusalama ya wakenya ambayo yamewekwa mashakani na alshababu. au kunamaslahi tofauti?

Mkuu Kenya inatumiwa tu na mataifa yanayojiita wababe wa dunia, Marekani na washirika wake kuingia na kufanya unyang'au kule Somalia huku wakipata full support kutoka kwa 'mabwana' zao hao na kiuhalisia alshabab ni ni cover tu ya kuhalalisha huo uvamizi lakini kuna hidden agenda.
 
Kwa iyo kumbe kuna uhusiano kati ya alshaabab na uislam??nimeamini kuwa U AMSHO ni tawi la alshaabab kwa mlolongo wa visa na matukio.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

ndio maana wazanzibari wakawakacha na akili zenu mbovu ??? Uamsho wamefanya nini ???


Mtatoka mapovu kila mahali kwa kuweweseka zanzibar , kwani kabla ya muungano , waTanganyika mkiishi vipi??
 
Kibiku Forest Plane Crash was Al-Shabaab Attack | Uganda Picks[/QUOTE]

Hakuna ukweli wowote kwa sasa kudhibitisha mandai hayo ya Alshaabab. Bila shaka the investigators must themselves be siezed of this possibility, and in truth it would be the first line of investigation to either validate or rule out before all else. We know even the Devil has claimed this as his work of his hands, even were he in another planet at the time, as would any evil persons at the misfortunes of their perceived enemies. Lets wait for the full judicial inquest to be completed, ndugu zangu.
 
Saitoti was not a president, so the prophecy is null and void.
 
Tapeli huyo ajali,vifo kila siku vinatokea hata nikisema miezi ijayo yatatokea machafuko ndani ya africa ni lazima itokee!! Haiitaji kuwa TB Joshua kutabiri hilo.
 
kwa waliosoma falsafa, kipengele cha "Sources of knowledge " sidhani kama wana shaka na utabili wa mtumishi, kwa kuwa one of the sources of knowledge is revealation (UK-spelling)/ revelation. Watumishi wa mungu hufunuliwa kupitia revealed knowledge na kwa kupitia revealed knowledge tunaamini kuwa ni chanzo cha kupata maarifa. Hata hivyo kuna njia nyinginezo pia ambazo ni chanzo cha kupata maarifa. Binadamu tumepewa uwezo wa kutafakari, kutafakari kwetu kusitubane na kujibana kwenye vyanzo vichache vya kupata maarifa, yatupasa kujumuisha vyanzo vyote ili kuwa wenye weredi mkubwa katika mambo yote. Yatupasa kuamini kwa kuwa watumishi wa mungu wana ufunuo ambao una justify unseen to be seen hivyo kuwa chanzo cha kupata maarifa.


Poleni sana Majirani zetu wa-kenya, Mungu awape nguvu kuukabili msiba huo mzito na pia Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi, AMEN
 
Back
Top Bottom