Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Yaani huyu jamaa mnavyompaisha!
Personally ata Channel yake kwa TV Listing apa home nilishaifuta.
Maana nashindwa mweka kundi lipi je ndo hawa manabii wa uongo au ni genuine!
Mbaya zaidi anatokea Nigeria apo mashaka ndo yanazidi.
Ila bado niko kwenye utafiti maana ata Tz namkubali Mwakasege Chriss tuu hao wengine bado naendelea kuwatathmini

SAsa unafanyaje utafiti wakati umem-delete kwemnye list ya TV zako?
 
makubwa. kihoro na utimanyongo wa nini? hatujuani na kamwe hatutakuja kujuana maishani kwa hiyo haisaidii kufurumusha matusi hewani kama hayawani. huu ni ujinga na uwendawazimu!

Askari Kanzu - conjures the perception of this colonial throwback of an illiterate, mindless African in colourful livery running about the African bush risking limb and life to deliver a letter stuck to a long stick from one Colonial Administrator to another - not one idea what the letter contains because he cannot read and does not care to read!!!!

You figuratively get your mouth running before your brain has engaged. Askari Kanzu, eh? Very apt, aisee!!
 
Sasa naona waganda na alshabaab wamejiingiza kupigana katika vita vya lelemama na propaganda... hata na zile picha zote zilizoonyeshwa bado kuna utata kuhusu helicopter kuanguka. Alshabaab wanahusikana aje na kuanguka kwa ndege hiyo.
 
ww samahan ile sio tz au uganda kama wazungu wakiamua tu wanaweza kufanya wanavotaka, ww hujawah kufika somali pale mabomu yanauzwa kama chungwa, usifananishe kabisa na kanchi yenu hii yenye wajinga asilimia 80%.
kumbe mabomu kuuzwa kama njugu kule SOMALIA kwako ni ujanja. Wanauana kila siku ww unawasifia. Wanashindwa kukaa pamoja ww unawasifia...SOMALIA ni taifa lililodhoofika ktk kila sekta. WaTZ sio wajinga kiasi hicho hawawezi kuuana kama Wasomali. Kumbuka hawa jamaa ni dini moja, lugha moja lkn hawapikiki chungu kimoja
 
Kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kimedaiwa kusuka mpango mzima wa ajali ya helicopter iliyotokea pori la Kibiku na kugharimu maisha ya Waziri wa Usalama wa Ndani George Saitoti, Naibu wake Orwa Ojode, Marubani wawili na walinzi wake wawili.
Aidha katika mtandao wa twitter kikundi hicho kimeweka tweets zinazosomeka;

“Kenyans should know that neither would their country ever prosper nor their security improve under the heels of such men. Better off dead! The remaining invaders should be expectant that Allah will inflict His punishment by Himself upon the
Kuffar or by the hands of Mujahideen

He has been aggressive in his war against Islam but died the wretched death of a
Kafir and now lies rotting in his coffin on his way to hell.

For the hundreds of Muslims killed & displaced by Kenya's brutal invasion, Saitoti's death is but a droplet of justice in a sea of oppression
Saitoti played a prominent role in overseeing the abduction, torture & imprisonment of hundreds of innocent Muslims in his war against Islam.

From strafing of refugee camps in Somalia to the abdominal treatment of Muslims in Kenya, Saitoti and his likes perpetrated heinous crimes

HSM welcomes the death of the evil minister upon whose authorization thousands of Muslims suffered both in
Somalia and Kenya”

Source:
Kibiku Forest Plane Crash was Al-Shabaab Attack | Uganda Picks


Kwanini vikundi vigi Dunia vina tumia uislam kufanya mauaji na kusema wana tetea waislam, nigeria, somalia, inchi za warabuni, afghastan, parkistan n.k. n.k

Hivi mungu mnamwabudu ndie aliumba Bingu na Inchi au kuna mungu mwingine huyu mungu wakweli mnamsigizia tu, sababu hawa mna jisifu kuwaua pia niwatoto wa Mungu. Wewe ni nani kumu tetea mungu.

MOTO UNAWASUBIRI MJIDAI SAA IZI TU, KWAHELINI

Wa Islam amkeni watu hawa wana chafua dini yenu.

You dont know neither have ever known God, I feel sorry for you people
 
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD="width: 507, bgcolor: transparent"]1. Yaani huyu jamaa mnavyompaisha!
Personally ata Channel yake kwa TV Listing apa home nilishaifuta.
Maana nashindwa mweka kundi lipi je ndo hawa manabii wa uongo au ni genuine!
Mbaya zaidi anatokea Nigeria apo mashaka ndo yanazidi.
Ila bado niko kwenye utafiti maana ata Tz namkubali Mwakasege Chriss tuu hao wengine bado naendelea kuwatathmini

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Kipimo cha nabii ni kwamba akitoa unabii, ukitokea nimkweli usipo tokea nimashaka, lakini tangu nimeaza kumuzikiliza T.B Joshua, unabii wake unatokea, sasa wewe sijui unakipimo ngani.
 
mods ,tume ya katiba ni tatizo!ni kweli tuna haki ya kutoa mawazo yetu kwa uhuru lakini sio kushabikia ugaidi.please iangaliwe kwa macho matatu.
 
Death of Kenyan Minister George Saitoti Prophesied by Prophet TB Joshua




On June 4, 2012 during a Monday Live Service, Prophet T.B. Joshua prophesied regarding the leader of a country. He said he saw an accident and asked whether it was on the air or on the ground. These were his words:

"Ninety percent of what we are doing here is about other nations all over the world. It radiates to the world. Like today around 3:00 am and what happened? I saw the leader of a country whether he is the vice president of a country or the present…I saw all of them having an accident. Is it on the air or on the ground?

Sometimes I want to know what is happening, how does it happen, what is this.. I keep asking."

Huyu jamaa tapeli au?


Follow this man closely!! you will be enriched big time and understand the miracle of the kingdom of God almighty. You as a mere mortal; you know very little in this universe!!
 
Last edited by a moderator:
uislam ni dini nzuri inayosisitiza upendo na amani katika jamii. neno "islam" maana yake ni unyenyekevu. Ila baadhi ya watu wanautumia vibaya kwa kuwaghilibu watu kwa ....... kama silaha(kujitoa muhanga) ni kuhujumu rasilimali hiyo. Msiwaghilibu watu na kuidhalilisha dini yetu nzuri.
Nawasilisha

Kinadharia, nalazimika kukubaliana na wewe, lakini kihalisia, Hali ni tofauti mno! Soma Kila siku kuna matukio yakiwahusisha waislamu katika mauaji na mapigano, fujo, ubabe na kujitoa mhanga! Sikiliza mihadhara yao sio ya kuleta matumaini ya Amani Bali utengano, uadui na utmwa. Sasa hivi kuna jitihada kubwa za kuzindua mataifa ya kiislamu bila kujali hisia za waNanchi wengine! Hapana nimeshindwa kukubaliana na wewe, na hasa unaposhabikia kifo cha Saitoti na wengine!
 
Nilifuta kwenye TV listings kwa public TV ya sebuleni bse kuna ushabiki uliopitiliza apa home ambao unaweza influence conclusion yangu juu yake!
On a serious note magumashi ya wanaigeria yananifanya nisite kuwaamini hawa jamaa combined na hii tabia ya watu kutumia dini kutengeneza pesa yaani mchungaji ana magari ya kifahari wakati waumini ata nauli ya kuja sikiliza mahubiri yake sometimes wanakosa.
Kama wote role model wao ni JESUS CHRIST then wapo wengi tuu wanaoenda kinyume na uyo role model!
 
Kinadharia, nalazimika kukubaliana na wewe, lakini kihalisia, Hali ni tofauti mno! Soma Kila siku kuna matukio yakiwahusisha waislamu katika mauaji na mapigano, fujo, ubabe na kujitoa mhanga! Sikiliza mihadhara yao sio ya kuleta matumaini ya Amani Bali utengano, uadui na utmwa. Sasa hivi kuna jitihada kubwa za kuzindua mataifa ya kiislamu bila kujali hisia za waNanchi wengine! Hapana nimeshindwa kukubaliana na wewe, na hasa unaposhabikia kifo cha Saitoti na wengine!
Mkuu hapo kwenye red .....mie sijashabikia mauaji na sitegemei kufanya hivyo tafadhali labda ungerudia kuisoma post yangu
 
Mkuu Tume ya Katiba wewe na Zomba mna undugu? Just curious to know. Ila nilitaka kusema kuwa whatever the cause of Kifo cha Saitoti, sioni sababu ya kusherehekea. Bila shaka hujafa hujaumbuka....na hakuna ajuaye aina ya mauti inayomgonjea...otherwise angeifuata mwenyewe siku ikifika (aliwahi kuimba Marehemu Remmy).
"Sitalala hadi nihakikishe nimewasambaratisha alshabab wote"- Prof. Saitoti

Kumbe hajui mungu muumba amepanga nini, kachomeka na moto wa ndege kuliko ndafu, hata fuvu halijapatikana! na bado huu ni just moto wa duniani bado moto wa muumba wa mbingu!
 
Siku ya tukio alihojia na citizen tv baba mmoja akasema ameokota magandaa kadhaa ya risasa
kwenye eneo la tukio, hili lilinipa maswali mengi ambayo hata sasa sijajui ilikuwaje, but mimi naweze kukubaliana na wewe mkuu.
 
wengine ndio hao hao wanaoleta balaa duniani,
hao ni manabii wa uongo wana roho za kuzimu.

Kwa nini ashindwe kuomba ili atengue hayo maafa ya
kila siku. au yeye anapenda watu wafage tu.
 
600881_239415939507639_2104302763_n.jpg

Bujibuji vituko vyako humu na vituko vya huyo mwenye picha hiyo kwenye avatar yako havina tofauti. Tumeambiwa ndege ilidondoka msituni wewe umeleta picha ya iliyodondoka kijijini! Ila napendaga comments zako baadhi ya threads.
 
al-shabab wangesababisha hiki kifo tayari wangeshajitapa sana. aim kubwa ya any terrorist act ni kufanya tendo lenye mshindo mkubwa na kuutumia huo mshindo kwa propaganda zao. kwa mantiki hii, by now lazima al-shabab wangekuwa wameshatamba sana for their 'heroic Godly vengeance acts' zao. No Al Shabab hawahusiki na kifo cha Saitoti. Ni sabau nyingine tu ambazo ni za ndani ya Kenya yenyewe, kama si ajali, uzembe au hujuma za ndani au za kisiasa
 
Back
Top Bottom