Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenya kupigana vita na Alshabab ni first class mistake ambayo Kenya itajutia milele.
 
Delta4,

From our Foreign Minister- Bernard Membe: "Prof. Saitoti amekuwa makamu wa rais wa Kenya kwa miongo kama miwili hivi, kifo chake ni pigo kubwa kwa Afrika Mashariki".

But to be fair, a single article cannot beat the ourpouring of messages of condelonces from Tz shown in this forum au vipi? From the moment the accident happened JF members - Tz, have been posting whatever information regarding the incident. Au ulitakaje tena ndugu yangu Delta4?

NB: Leading story karibu magazeti yote ni hii accident.
 
ww samahan ile sio tz au uganda kama wazungu wakiamua tu wanaweza kufanya wanavotaka, ww hujawah kufika somali pale mabomu yanauzwa kama chungwa, usifananishe kabisa na kanchi yenu hii yenye wajinga asilimia 80%.
 
Kenya kupigana vita na Alshabab ni first class mistake ambayo Kenya itajutia milele.

Someone had to do it. Otherwise hatuwezi kuacha lawlessness iendelee kwenye ujirani wetu. Kuna wanaomlaumu Mwalimu Nyerere kwa kusaidia ukombozi wa kusini mwa Afrika. Someone had to do it and kudos to Kenya.
 
Somalia ni nchi iliyopuuzwa kwa miaka mingi na UN na miaka ya nyuma kidogo iliongozwa na hawa ALSHABAB na nchi ilitulia lakini US na Ethopia waliivamia kijeshi kisa hawataki serikali ya kiislam na ndo mwanzo wa haya yote..mbona kuna double standard mbona leo US,UK nk wanashirikiana na waasi LIBYA now SYRIA tena na ALQAEEDA ndani kwanini Somalia hasa hawa ALSHABAB wasiachiwe nchi yao then international community ika wa sapport the same as LIBYA then muone km kuna uasi au ugaidi wowote utakaoendelea....kimsingi lazima tutambue hulka za watu wengine kua hawakubali kuonewa wala kudhulumiwa kama walivyo wakurya tu...Dont b biased na vyombo vya magharibi kwani hata juzi mauaji ya HOMS syria BBC walionesha picha za 2003 za IRAK eti serikali ya syria ndo wamewaua mpaka aliepiga picha hizo mui TALIA kuingilia kati kua sio kweli na kuishataki BBC kwa kupotosha...so let them fight for their country kwani hata sisi yakitufika sidhani km tutakaa kimya km tunavyoibiwa madini yetu na tupo kimya....


True!
Hao mataifa makubwa hutumia kigezo cha demokrasia.
Lakini ukiangalia nchi kama Korea hazina demokrasia nao wapo kimya, wanaziogopa.
Double standard !!!
 
Death of Kenyan Minister George Saitoti Prophesied by Prophet TB Joshua



On June 4, 2012 during a Monday Live Service, Prophet T.B. Joshua prophesied regarding the leader of a country. He said he saw an accident and asked whether it was on the air or on the ground. These were his words:

"Ninety percent of what we are doing here is about other nations all over the world. It radiates to the world. Like today around 3:00 am and what happened? I saw the leader of a country whether he is the vice president of a country or the present…I saw all of them having an accident. Is it on the air or on the ground?

Sometimes I want to know what is happening, how does it happen, what is this.. I keep asking."

Huyu jamaa tapeli au?


sioni huo utabiri hapo... sioni rais, makamu wa rais, sioni 3:00 am wala nini

vipi huyu jamaa huwa hawezi kutabiri chochote zaidi vifo??
 
Last edited by a moderator:
Na mkubali. saitoti angeenda kwa tb joshua mapema .asingekufa.sababu angeombewa .
 
watabiri tupo wengi ktk nyanja mbalimbali.
Mimi nakutabiria hii: kesho bunge litaanza, wabunge wetu wale watakuwa na 'kelele' sana safari hii, lakini hakuna atakeyetoa shilingi
 
kama kila anachotabiri kinatokea utapeli wake uko wapi? achen wivu

Kama anatabiri kwa nini asingesema a kenyan Minister will die in a helicopter?

The folly of these predictions -from Nostradamus to TB Joshua- is that they are vague enough to be crafted into any fitting situation retrospectively.

How many African leaders are involved in accidents whether in the air or ground?

Halafu yeye kasema "Whether Vice President or President" Saitoti was neither.

Hata mie naweza kusema "kiongozi mashuhuri wa Tanzania atafariki" kwa sababu najua wote tunakufa, na katika kufa huku viongozi mashuhuri hawakosi. Tumeshaona katika wiki mbili zilizopita wameondoka Musobi na Makani, na probably kuna wengine wanakuja katika siku 60 zijazo, sasa ningesema hivyo na mie ningekuwa "prophet"?

Africa "accidents" ni jambo la kawaida maishani, na nyingi hata hazistahili kuitwa "accidents".

Sasa na mie nikitabiri kesho jua litachomoza na halita explode katika supernova, nitakuwa propher tayari?
 
"Sitalala hadi nihakikishe nimewasambaratisha alshabab wote"- Prof. Saitoti

Kumbe hajui mungu muumba amepanga nini, kachomeka na moto wa ndege kuliko ndafu, hata fuvu halijapatikana! na bado huu ni just moto wa duniani bado moto wa muumba wa mbingu!

Na Alshaab nao wanachomeka mara ngapi? Have got our sense ok? Mbona wengine walikufa wakitoka Unguja kwenda Pemba. Nao walipigana na Alshaab?
 
Swali: "Ninawezaje kumtambua mwalimu wa uongo/ nabii wa uongo?"

Jibu: Yesu alituonya kuwa “Wakristo wa uongo na manabii wa uongo” watakuja na kujaribu kuwadanganya hata wateule (Mathayo 24:23-27; angalia pia 2 Petero 3:3 na Yuda 17-18). Njia nzuri ya kujilinda na uongo na walimu wa uongo ni kuijua kweli. Ili ugundue pingamizi lichunguze pingamizi lenyewe. Muumuni yeyote ambaye, “analisoma Neno la ukweli” (2 Timotheo 2:15) na anafanyia uchunguzi Bibilia kwa makini anaweza kuitambua kanuni ya uongo. Kwa mfano, muumuni ambaye amesoma kazi ya Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu katika Mathayo 3:16-17 papo hapo atashuku kanuni ambayo yakana utatu wa Mungu. Kwa hivyo, hatua ya kwanza ni kuisoma Bibilia na kuhukumu mafunzo yote kwa chenye maandiko yanasema.

Yesu alisema “kwa matunda yake mti hutambulikana” (Mathayo 12:33). Wakati unayatafuta “matunda” hapa kuna majaribio matatu hasa wastahili kuyatumia kutambua uangalifu wa mafunzo yake:
Huyu mwalimu anasema nini kuhusu Yesu?
Je! Huyu mwalimu anaihubiri injili?
e! Huyo mwalimu anamiliki tabia ambazo zamtukuza Mungu?
 
Someone had to do it. Otherwise hatuwezi kuacha lawlessness iendelee kwenye ujirani wetu. Kuna wanaomlaumu Mwalimu Nyerere kwa kusaidia ukombozi wa kusini mwa Afrika. Someone had to do it and kudos to Kenya.

Jasusi, I agree with you 100%. We have not learned to get our acts together and as such, we have become dependent people and created an dependant society. We depend on our "uncles" from abroad almost for everything. What Kenyans have done should have been done long way back. Troubles of Somalia are our troubles. Kwanini leo tunalipia gharama za meli kukwepa kutekwa na maharamia? Sababu the problems in Somali are not ours.
Jasusi, pengine you guys that have been here long enough and should start classes to educate people especially young ones that, we can't live at the mercy of the unknown and expect to develop....we have to take charge of our destination. To me Nyerere so far todate, is the only leader who had that gut to move in the direction of his own choice.
Hili Taifa tunalotaka kuunda litakuwa Taifa la wapiga story tu kama mambo yataendelea hivi. Binafsi nawasifu Kenya na Uganda kwa kuamua kufagia ule uchafu unaoendelea kule Somalia. Sisi tunaenda Comoro when need be!!!
 
Na Alshaab nao wanachomeka mara ngapi? Have got our sense ok? Mbona wengine walikufa wakitoka Unguja kwenda Pemba. Nao walipigana na Alshaab?

Hivi nani kakupa hiyo title ya GOLD member? kwa nini mnakuwa wagumu kuelewa jamani!
 
Huyu Joshua ni fedheha kwa bara zima la Africa. Kila kukicha anaweka watu katika hali ya taharuki. Ukiwa katika hali ya taharuki ni rahisi sana kutoa chochote ulichonacho kwa 'nabii' wa mungu. Ana-control minds za watu kwa uzushi wake. Kama kweli ni nabii kwanini asisaidie kunusu wakrito nchini kwake wanatandikwa mabomu kila siku na boko haram?
 
ningekuwa karibu tungekula mbuzi choma
u have written everything.
Kama anatabiri kwa nini asingesema a kenyan Minister will die in a helicopter?

The folly of these predictions -from Nostradamus to TB Joshua- is that they are vague enough to be crafted into any fitting situation retrospectively.

How many African leaders are involved in accidents whether in the air or ground?

Halafu yeye kasema "Whether Vice President or President" Saitoti was neither.

Hata mie naweza kusema "kiongozi mashuhuri wa Tanzania atafariki" kwa sababu najua wote tunakufa, na katika kufa huku viongozi mashuhuri hawakosi. Tumeshaona katika wiki mbili zilizopita wameondoka Musobi na Makani, na probably kuna wengine wanakuja katika siku 60 zijazo, sasa ningesema hivyo na mie ningekuwa "prophet"?

Africa "accidents" ni jambo la kawaida maishani, na nyingi hata hazistahili kuitwa "accidents".

Sasa na mie nikitabiri kesho jua litachomoza na halita explode katika supernova, nitakuwa propher tayari?
 
Back
Top Bottom