Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Nashukuru kwa ufafanuzi, but niliyemquote aliandika George Saitoti aliyekuwa makawa wa Rais wakati wa serikali ya Moi, nikadhani hivi sasa hana cheo tena. Got you men!

teeeh teheeeee ,...makawa wa rais ndo cheo gani jamani..
 
Alpha Charlie down? WTH is cooking around here, seriously lift the ban on Delta4 as i take it to be a sinister move targetting a specific quadrant in JF.
As i said earlier, villification shouldnt be selective, if Tanzanians spew foul dirt on Kenyans they should expect a rapid and fiery response right back... Anyway, wasnt the Kenyan subforum meant for Kenyans and everything Kenyan? (the targetted assetts) or sth??? ...'alas, i was wrong! Still Tanzanians flock the 'sub' forum and call the shots here too!! Apparently I was/am smoking something heavy...Effin nonsensical, everything daent feel right one bit and i strongly detest!!!..... The site/sight (whichever) now sucks on geopolitics, nkt!!! Hakuna balancing of the the act!!..

livefire bana...You want to claim ownership? Mmekaribishwa kwa kupewa chumba but the landlord remains the same!
 
livefire bana...You want to claim ownership? Mmekaribishwa kwa kupewa chumba but the landlord remains the same!

then we have a problem. A very bad tenant has moved in.lol...FJM a tenant has the right and freedom to manouvre within his/her confines.
As circumstance be the diction of events, seems i need another guy at my six, but i aint worried, Kenyans have a tendency to adapt really quickly even the landlord will be shocked😛. Whatever transpired is not inspiring one bit and I strongly detest!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Delta4,

Please have some decorum when addressing folks...moreso those you dont know. The above highlighted
remark is uncalled for and I take exception to it.

To save you some little bit of reading and researching effort Nyaralego, is a Kenyan lady of respectable
standing on this forum. Hii mambo ya ku-unleash condescending retorts sio freshi and I believe it is in
order kumuomba huyu dada'etu msamaha and withdraw.

Have a civil day.

Ab-Titchaz.

PS. As regards Saitoti and Co's death, all speculation is valid more-so when people like Moi saying he was supporting Saitoti in his bid for the Presidency. If Uhuru is to dance at The Hague, then I believe Saitoti becomes a big force to reckon with....In terms of experience and deep pockets. The other guy being Raila. I cant put anything past the presently constituted Police force and Kenyan Intelligentsia at large.

To say the truth, it is not that easy contesting for the Kenyan presidency. It is not an application of purely and simplistic mathematics like the opinion poll makers would like to showcase. It will be interesting to see the card up ODM's sleeve this time..... And FYI, if RAO allows for Ruto and Uhuru to stand for contest, that would be the biggest political mistake........It is better for him to stand his ground since the ICC has come to his rescue. Plus........do not forget ODM's quick disintegration and high profile-defections are making the pertinence of scouting new allies with a new-mission-statement, strong enough to counter defections of current political foes to other parties a critical prerequisite. ODM, Fighting alone against several party alliances in principle looks mission-possible.
 
The 'untimely death' of prof Saitoti is the reminiscence.
Mwangi Josiah Kairuki (MP) and deputy minister was assassinated in 1975.
Kariuki had strained relation with Mzee Kenyatta on various matters of national interest.
He disappeared when accompanied by state intelligence officers. His body was found at Ngong Hill.

Tom Mboya, the then potential contender for presidency was gunned down in 1969.The motive behind his death is still the subject for discussion.

Then in 1990, the charismatic and future prez Dr R.Ouko disappeared amidst tension with his boss Arap Moi!
Saitoti's had an ambition to vie for top office in Kenya, I wonder if Professor did not pay the price!
 
Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake wapi,siwezi kusema ni aibu sababu tumezoe aibu
 
Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake wapi,siwezi kusema ni aibu sababu tumezoe aibu

.................naona na wewe unaendeleza tabia za kiaibu badala ya kuelezea kilichojiri, wewe unakuja kuuliza maswali na kutoa conclutions wakati watu unao dhani unawashirikisha hawajui lolote.
Kama watumaji wa post wote wangekuwa wanatuma kwa style hiyo sidhani kama JF ingekuwa na nguvu na umuhimu kwa jamii kama uonavyo sasa.
 
katika mazishi ya prof saitot waziri nchimbi ndiye alimuwakilisha rais wa tz....katika kusoma salamu za rambi rambi nchimbi alisoma kwa kingereza....mbali ya kuwa misa ya kumuombea marehemu kusomwa kwa kiswahili na salamu za pole kwa wageni kuzitoa kwa kiswahili na shughuli nzima kuendeshwa kwa kiswahili kwa aslimia kubwa ...bado nchimbi alisoma salamu kwa kimombo...

tatizo sio kusoma salamu kwa kimombo bali aina ya kimombo alichokuwa anasoma...kilikuwa kibovu sana, alikuwa anatetemeka, hajiamini...kwa kweli ilileta miguno toka wabaadhi ya watu waliokuwa pale ....

angesom kwa kiswahili angeeleweka pia...kama alivyosema yeye kuwa amemwakilisha raisi wa nchi basi na hizo ndioz salamuzake basi inaonyesha kuwa tatizo la lugha ni kubwa sana kuanzia kwa mwandishi hadi kwa msomaji...nchimbi alianza kusoma salamu hizo akianzia juu kabisa kwenye anauni ya mwandishi, akashuka chini kwenye tarehe nakuanza kusoma akiwa anatetemeka na hofu kubwa......kwa kifupi ilikuwa aibu...

nadhani mwandishi wa thread alimaanisha hiki nilichosema...
 
Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake wapi,siwezi kusema ni aibu sababu tumezoe aibu
Yaani jinsi ulivyoandika hii habari hata ambaye hakwenda kabisa shule asingeiandika namna hii. Sembuse Dr. Nchimbi aliyesoma hotuba kwa kiwango cha Darasa la nne? Mbona basi yupo vema sana kushinda wewe, in terms of presentation.
 
Duh nilimuona jamaa alikuwa anatetemeka sana!

Zis, zat, zilitawala.....

Ilikuwa noma sana!
 
katika mazishi ya prof saitot waziri nchimbi ndiye alimuwakilisha rais wa tz....katika kusoma salamu za rambi rambi nchimbi alisoma kwa kingereza....mbali ya kuwa misa ya kumuombea marehemu kusomwa kwa kiswahili na salamu za pole kwa wageni kuzitoa kwa kiswahili na shughuli nzima kuendeshwa kwa kiswahili kwa aslimia kubwa ...bado nchimbi alisoma salamu kwa kimombo...

tatizo sio kusoma salamu kwa kimombo bali aina ya kimombo alichokuwa anasoma...kilikuwa kibovu sana, alikuwa anatetemeka, hajiamini...kwa kweli ilileta miguno toka wabaadhi ya watu waliokuwa pale ....

angesom kwa kiswahili angeeleweka pia...kama alivyosema yeye kuwa amemwakilisha raisi wa nchi basi na hizo ndioz salamuzake basi inaonyesha kuwa tatizo la lugha ni kubwa sana kuanzia kwa mwandishi hadi kwa msomaji...nchimbi alianza kusoma salamu hizo akianzia juu kabisa kwenye anauni ya mwandishi, akashuka chini kwenye tarehe nakuanza kusoma akiwa anatetemeka na hofu kubwa......kwa kifupi ilikuwa aibu...

nadhani mwandishi wa thread alimaanisha hiki nilichosema...

Edson, uko sahihi kabisa. Salam za rambirambi toka Tanzania zilisomwa na Dr Nchimbi kwa kiingereza, tena kiingereza kibovu, na hakuna cha maana kilichokuwa kwenye salam hizo. Lakini jambo lilinipa aibu ni kitendo cha Dr Nchimbi kusoma hadi Anuani ya State House! Nakumbuka alisema hivi "... I will read word for word..." ndipo akaanza ...anuani!
Imeleta aibu kweli, watu wa Foreign Affairs wajitahidi kutoa mafunzo kabla mtu hajavuka mipaka.
 
Ndugu zangu shida tuliyonayo Watanzania ni kubwa kuliko jinsi inavyoonekana hasa tunapokuwa na wenzetu toka mataifa mengine. Wengi hata wenye nafasi za juu wanajua Yes na no peke yake hata akiambiwa tusi yeye yes, akiambiwa wewe ni stupid atasema yes. Sasa nafikiri kuwe na semina elekezi kwa viongozi wa juu kufundishwa Kiingereza na kama inawezekana waende English Course. Asante sana!!
 
Duh nilimuona jamaa alikuwa anatetemeka sana!

Zis, zat, zilitawala.....

Ilikuwa noma sana!

mkuu kiganyi,
nami pia nilimuona daktari nchimbi alivyokuwa anatetemeka. no confidence kabisa. lkn hiyo ndo sifa kuu ya watu wooote wanaochakachua elimu zao.
 
Jamani kwenye msiba si lazima mtu ashikwe na kitetemeshi kwa majonzi ya kufiwa?
Nyie mlitaka aimbe kama Bongo Fleva!.. Wa-KE wangejuaje kwamba hata se twakijua ati!
 
Ndio maana wenzetu wanatudharau,pengine wanajiuliza kama waziri yuko hivi jee hao anaowaongoza watakuwaje?wanatufedhehesha sana hawa viongozi wa sasa
 
Back
Top Bottom