Kenyan & Tanzanian Surburbs


Haha ha sio hasira mkuu na lazy ass siyo tusi ila wewe M-KE gani unaongea ka mbongo, ulikulia uswahilini nini? Kuhusiana na wewe kuwa wapi siyo ishu ndo maana nikasema "if you've"
 
Lake Tanganyika - Kigoma Tanzania







MV Liemba - The Oldest Operating Ship in Africa

 

truth hurts!!!
 
Kenya mmeshinda kny mpangilio mzuri wa makazi,tutajifunza kutoka kwenu. THREAD CLOSED

nina uhakika TZ tumekosa tu picha nzuri na wachangiaji ni wacheche ingAwa mechi inachezewa home, kwa mweNye busara anaweza kutambua dhumuni la thread hii na sisi ni wajibu wetu kuonyesha hapa bongo kuna makaZi kama hayo au yanafanana na yao na labda tupo nyuma kidogo tu kama nuilivyogusia makazi mengi uliyoyaona ni mapya au yapo katika hatua za mwisho za ujenzi, na kitu kama hiko kinakuja tanzania na kimeshaanza kufanyika, tulikua na mall kama mlimani ciyy lakini kwa sasa ukienda nyerere road tu kuan mall kibao quality center tayari wamefungua na mkiki house na menbgine kibao, kama umewahi kutembela forum ya SSC basi ungelewa vizuri dhumuni la thread hii, kuna watu wanaibeza Tanzania bila aibu na ukitaka kuhakikisha nenda SSC , nadhani kuna watu wamejazwa sijui nini huko vichwani mwao na chochote cha Tanzania ni joke kwao,

angalia na zile thread sijui za midle income class zote zimekuja kutafuja uchokozi na kuleta majigambo, wenye busara watanielewa
 
ukooo sawaaa kuhusu kenyaaa.lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…