Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Mbona hasira na matusi? Pole, pumua mwenzangu.
Ukweli ni kwamba watu wanaweka picha za maofisi, milima, mabonde, misitu, bahari na proposed projects. Nimeishi Dar na nafahamu sehemu hizo zote, ukweli hata wewe wafahamu. Cha pili, ni wazi wewe hujatembea Nairobi kulingana na yale unayoyasema. Mwenzangu wew haujui niko wapi sasa hivi, Houston nitakutembeza mimi ili ufahamu suburbs ziko wapi. Kama umetembea Harris County ama Fort Bend basi suburbia huko!😛oa
Haha ha sio hasira mkuu na lazy ass siyo tusi ila wewe M-KE gani unaongea ka mbongo, ulikulia uswahilini nini? Kuhusiana na wewe kuwa wapi siyo ishu ndo maana nikasema "if you've"


![392209[1].jpg 392209[1].jpg](https://xf23.jamii.app/data/attachments/3138/3138415-bc61e1616e4bbbcf598bf5ec89b15b24.jpg?hash=vGHhYW5Lu8)

























