Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko utafungiwa wewe NA ukoo wako WOTE na hauna popote3pa kwenda na kustahaki kwa kuwa wote WOTE ni wategemea HURUMA au report za chawa wa NAMBA 1.Ingekuwa bunge la Afghanistan chini ya Spika Betina, ungesikia, wabunge wakiimba tuna imani na Makamu…Oyaaaa…Oyaaa!!
Kenya inakimbia kwa kasi sana. Kwa uchumi na ustaarabu pia.Transparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Ikiwa hivi ushenzi ushenzi mwingi utapungua.And this should AND MUST BE a general rule if anyone get top position Or AUTHORITY must be subjected to ACCOUNTABILITY or DOUBT to APPOINTMENT
Moderatored content in favor of PEOPLE IN POWER+Cheap diplomatic Regional FEARMimi nikianzishaga juzi za kenya maswala ya impeachment kina Melo wanazipiga chini jamaa wapo bias kinoma. Ngoja nione kama ww utadumu.
Jamaa wana mabayas kinoma
Hakuna kitu kama hicho, angalia na kusikiliza hilo bunge, utaona jinsi jamaa walivyo huru.Mikakati ni pamoja na kuwapanga wabunge
KenyA is 1000,000 a head on Trabalism with the coat of Better Constitution.. in AfricaTransparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
There SHOULD BE A BALANCE OF POWER between PILLARS, not ONE of them FEELING is SUPERIOR than the others. EACH PILLER MUST STAND FOR WHAT IT FEEL BIS OKAY and after that feel SAFE and NOT without fear or INTIMIDATION of (KUBAMBIKIWA KESI, KUFILISIWA, KUTWEKWA, KUTENGULIWA BILA SABABU there after KAufanyiwa FIGISU e.t cGachagua anakwenda nyumbani bila mbambamba yoyote. Tanzania haihitaji katiba yoyote kwasasa na kwakweli hakuna cha kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya Kenya ya 2010 inayowahenyesha wenyewe kwa hila zao binafsi za kikabila badala ya kushughulikia masuala muhimu ya kuchochea maendeleo ya wanainchi wao...
nini matokeo ya hiyo impeachment kama sio kuongeza uhasama, uadui wa kikanda na migawanyiko ya kikabila zaidi?
Zaidi sana ni kujenga tu uadui na ubabe ambao hausaidii wa Kenya, wala hauna maana yoyote Kenya baina ya bunge la kitaifa na bunge la seneti 🐒
Na si kweli kuwa hana mawasiliano ya wabunge....Hakuna kitu kama hicho, angalia na kusikiliza hilo bunge, utaona jinsi jamaa walivyo huru.
Ruto hana uwezo wa kuwapanga wabunge
Former US President Donald Trump was impeached twice. He survived both. TUSIOGOPE DEMOKRASIA.Hii kitu ilipangwa toka zamani,na even Kenyan they know that after Ruto,Rigathi atachukua madaraka.
Kilichofanyika wala sio cha kuiga it's a deadly game they are praying to brainwash the minds of the people.
Sisi kama Watanzania hakuna cha kujifunza hapo.
We did this during Richmond and it cost us a lot kiasi ya kutuingiza kwenye Siasa mbaya za uhasama kiasi cha kuwafanya watu kuwa machawa wa wanasiasa ili wapate madaraka.Na hii ni kwa vyama vyote vya Siasa.
No fear or intimidations in Republic of Kenya?🤣There SHOULD BE A BALANCE OF POWER between PILLARS, not ONE of them FEELING is SUPERIOR than the others. EACH PILLER MUST STAND FOR WHAT IT FEEL BIS OKAY and after that feel SAFE and NOT without fear or INTIMIDATION of (KUBAMBIKIWA KESI, KUFILISIWA, KUTWEKWA, KUTENGULIWA BILA SABABU there after KAufanyiwa FIGISU e.t c
Watu wakiambiwa katiba mpya wanaleta stories, kenya wana katiba na matokeo tunayaonaSisi tuna safar ndefu. Tena sana.
Embu ona hata kura zinapigwa live kwenye televishen na wananchi wanaona
Sometimes Corruption is just like a miracle and monster of minds.Sisi tuna safar ndefu. Tena sana.
Embu ona hata kura zinapigwa live kwenye televishen na wananchi wanaona
Hoja ya mleta mada ni vyombo vya maamuzi vya Wakenya kulishughulikia jambo hilo kwa uwazi na weledi kuanzia ktk Bunge na sasa ktk Senate kwa kila mjumbe kutoa mawazo/maoni yake binafsi kwa kadiri aonavyo na amiinivyo yeye....Huyo gachagua anatolewa kwa sababu Ruto hamtaki, sio kwa sababu yeyote ile unayodhani,
Kama mafisadi wapo wengi sanaaaaa ila hawatolewi
So elewa hapo kenya wanalamba viatu vya Ruto