Kenyans clash with Tanzanian police after businessman is abducted.

Kenyans clash with Tanzanian police after businessman is abducted.

Naona hili kundi hatari la Tanzania linalofahamika kama wasiojulikana limepata ujasiri wa kuvuka mpaka na kufanya yao, ila jinsi serikali yetu ilivyo ovyo, jambo kama hili wanaweza kulipotezea.
Hapa ndio huwa natamani tutawaliwe na watu kama Kagame, yule huwa hawabembelezi Watanzania, huwaliza sana.

Yaani kama watu wa ikulu hupitia humu wajue huwa nawachukulia ovyoo sana na wana udhaifu wa kijinga, tunafaa tufikie maamuzi ya ku-declare uhusiano baina ya hizi nchi mbili kama hostile, iwe kama kinachotokea baina ya Rwanda na Uganda.

Mbona unatoka povu bila sababu? Tanzania na Kenya ni ndugu. Hakuna shida kama unayodhani.
Hizo nguvu ungezielekeza Somalia. Maana walendiyo shida SANA kwa Kenya. Utafikiri wame wabadili mungiki.
 
Naona hili kundi hatari la Tanzania linalofahamika kama wasiojulikana limepata ujasiri wa kuvuka mpaka na kufanya yao, ila jinsi serikali yetu ilivyo ovyo, jambo kama hili wanaweza kulipotezea.
Hapa ndio huwa natamani tutawaliwe na watu kama Kagame, yule huwa hawabembelezi Watanzania, huwaliza sana.

Yaani kama watu wa ikulu hupitia humu wajue huwa nawachukulia ovyoo sana na wana udhaifu wa kijinga, tunafaa tufikie maamuzi ya ku-declare uhusiano baina ya hizi nchi mbili kama hostile, iwe kama kinachotokea baina ya Rwanda na Uganda.
Wasiojulikana huwa wanaingiaga Nairobi Kama chooni vile.muda wowote yaani wakitaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
image-jpg.632310
Hivi ndivyo mabomu ya machozi huwa yanadakwa Kenya, juu kwa juu, na ukiulizia utaambiwa mapambano bila teargas sio matamu. Kawaambieni policcm watulize nyege, nyang'au sio kondoo, huwa wapo tayari kwa lolote 24/7!
 
Mbona unatoka povu bila sababu? Tanzania na Kenya ni ndugu. Hakuna shida kama unayodhani.
Hizo nguvu ungezielekeza Somalia. Maana walendiyo shida SANA kwa Kenya. Utafikiri wame wabadili mungiki.

Hiyo Noah yenu ya wasiojulikana inafaa itegeshewe, waje hivyo hivyo wakidhani Kenya ni Tanzania, wamiminiwe risasi hadi lijae matobo.
Yaani wamepata ujasiri wa kuvuka mipaka aisei, duh hiyo nchi yenu ndio maana mumetajwa kuongoza dunia kwa watu wasiokua na furaha.
 
Hiyo Noah yenu ya wasiojulikana inafaa itegeshewe, waje hivyo hivyo wakidhani Kenya ni Tanzania, wamiminiwe risasi hadi lijae matobo.
Yaani wamepata ujasiri wa kuvuka mipaka aisei, duh hiyo nchi yenu ndio maana mumetajwa kuongoza dunia kwa watu wasiokua na furaha.

Ahaaa haaa haaa
Hizo ni taarifa AMBAZO hazijathibitishwa. Kuna sheria na kanuni za kimataifa kumkamata mtu wa NCHI nyingine.
 
AIsee ni kweli nimejaribu kufuatilia huu mgogoro kila mwaka upande wa Kenya ndio wanakuwa wakwanza kufanya vurugu mara kufunga njia...nimefuatilia mlolongo wa matukio yaliyoripotiwa hapo namanga na inaonekana wazi wakenya wamekuwa wepesi kufanya fujo na marazote hawakimbilii ktk kamati za kutatua migogoro ktk mpaka.....kuna mwaka flan wafanya biashara wa kenya walifunga mpaka kuzuia watz wasiingie kenya wakidai kuna mwenzao kakamatwa, mara wakafunga tena njia wakidai kuna mkenya aligongwa na gari lori toka TZ, mara mambo walifunga njia kulalamikia harassment wanafanyiwa na TZ now this time mtu kapotea wanasema katekwa kuelekea TZ ...ni wazi wa254 msiwe wepesi kutoa lawama upande wa TZ maana inawezekana pia mtu kutekwa na wakenya wenzake then wakamkimbizia upande wa tz sababu ya usalama wao watekaji ...lkn pia ktk eneo hilo la namanga wakenya wamekuwa wepesi sana kuchukua sheria mkononi niwasihi tu warejee kwa vyombo vyao vya ulinzi nafikiri kufikia hapo ni rahisi kwa nchi hizi mbili kufanya mashirikiano ya pamoja kutatua tatizo maana hata juzi kule mpaka na wa zambia tuliona vibaka toka zambia walikuja kufanya fujo umbande wa TZ wakashughulikiwa na polisi wa TZ wazambia wakafanya fujo mpaka polisi wa zambia walipokuja kuwachukua ndio polisi wa tz waka wa release
 
Though the reports are not verified intimidation and extortion of Kenyan business men by tanzanian authorities is not new .
I have never understood why Tanzanians are so afraid of competition especially from Kenyan businessmen . They always put many bottlenecks against Kenyan traders.
 
Though the reports are not verified intimidation and extortion of Kenyan business men by tanzanian authorities is not new .
I have never understood why Tanzanians are so afraid of competition especially from Kenyan businessmen . They always put many bottlenecks against Kenyan traders.

huu ni ujinga kufikiri waTZ wanaogopa kufanya biashara na wa kenya vurugu za namanga siku zote wa kkenya ndio chanzo ss kama wa Tz wangekuwa wanaogopa kufanya biashara na wa kenya bac lile border lingefungwa ...Kenya na TZ tuna share border kibaooo sijui kama ushawahi sikia mgogoro ktk border ya horohoro au kule sirari na sehemu zingine za rombo ...kila miaka ni Namanga na kila miaka ni kenyans are the one who start violence ... WHY always Namanga and why always Kenyan start violence ?
 
Ahaaa haaa haaa
Hizo ni taarifa AMBAZO hazijathibitishwa. Kuna sheria na kanuni za kimataifa kumkamata mtu wa NCHI nyingine.

Halafu hii itasababisha Watanzania wanaokuja Kenya wapate matatizo mengi, maana awali Noah zenu hapo Namanga huachiwa kuchukua abiria wa Arusha wanaotokea Nairobi, hivyo hilo genge lenu la wasiojulikana litakua limetumia huo mwanya.
Sasa kila gari lenye usajiri wenu itakua full usumbufu, huwa mnafanya mambo bila kushirikisha ubongo.
 
image-jpg.632310
Hivi ndivyo mabomu ya machozi huwa yanadakwa Kenya, juu kwa juu, na ukiulizia utaambiwa mapambano bila teargas sio matamu. Kawaambieni policcm watulize nyege, nyang'au sio kondoo, huwa wapo tayari kwa lolote 24/7!
b309158ddccd09f3235633ac3b680163.jpg
This is how we send them back to the sender.
 
huu ni ujinga kufikiri waTZ wanaogopa kufanya biashara na wa kenya vurugu za namanga siku zote wa kkenya ndio chanzo ss kama wa Tz wangekuwa wanaogopa kufanya biashara na wa kenya bac lile border lingefungwa ...Kenya na TZ tuna share border kibaooo sijui kama ushawahi sikia mgogoro ktk border ya horohoro au kule sirari na sehemu zingine za rombo ...kila miaka ni Namanga na kila miaka ni kenyans are the one who start violence ... WHY always Namanga and why always Kenyan start violence ?
Clearance of goods on the Tanzanian side still takes hours because of formalities and bureaucracies. The custom officials always take their time so that they can be bribed to expedite the process. Whereas on Kenyan side clearance is very fast.This are facts on the ground.
 
Clearance of goods on the Tanzanian side still takes hours because of formalities and bureaucracies. The custom officials always take their time so that they can be bribed to expedite the process. Whereas on Kenyan side clearance is very fast.This are facts on the ground.

are you sure ? AU MJI KATAE TU KWAN MSIPOFANYA BIASHARA NA WATANZANIA MTAKUFA ? TUMECHOKA KUWASIKIA MKILIALIA KILA SIKU OH MNAONEWA WAKATI MNAFANYIA FUJO POLICE WETU...na hata upande wa Busia border KEBS huwa wana destroy ugandan goods lkn mbona wa UG hawalalamiki ila nyie mnataka mwatupie wenzenu mavitu ovyo ovyo tak taka mara mseme mnatekwa...mi ningekuwa raisi ningefunga border zote na kenya
 
Jijazie mwenyewe. Umesikia wapi polisi wakitekana nyara badala ya kutumia mamlaka yao na kumtia mtu mbaroni hadharani bila uoga?
sasa ww unaushahidi gan wa kusema polisi wa Tz ndio wamemkamata huyo jamaa ? sometime inatokea uhalifu kufanyika upande wa nchi flan then wahalifu hukimbilia nchi nyingine na hata muda mwingine tunasikia watu wa interpol wanakamata magari yaliyoibiwa toka kenya then kuingizwa TZ na muda mwingine waalifu ni wa kenya ...ss hii itoshe tu kukufanya usiwe mwepesi wa kutoa shutuma as if ww unajua ya kwamba huyo jamaa katekwa na polisi wa TZ na kwann hao wananchi waende kuripoti polisi then polisi wa kemya wakishirikiana na wa TZ wafuatilie ni wapi huyo mtu alipo ? juzi juzi mfano mdogo tu ktk mpaka wa TZ na Zambia kuna wahalifu toka zambia walikuja kufanya uhalifu upande wa TZ wakakamatwa wakawekwa rumande mpaka polisi wa zambia walipokuja kuwachukua ..ss iweje kwa upande wa Kenya tu ndio tusikie keleleee mnalaumu mamlaka za Tanzania ...mara mseme mnaharasiwa TZ wakati mgeni akitua tu hapo nairobi polisi wapo kila kona na wakigundua ni mgeni wanakuharass vibaya na kuwarubuni wageni ACHENI tabia ya kujiona nyie ni special one most of you kenyan ni cynicism ....tanzania tuna share border na nchi kibao lkn border na wakenya nyingi ni shidaaa hasa hapo namanga hao wasomali wa kajiado wanajifanya wao ni elite class ....mnawakashifu raia wa nchi jirani zenu mnajiona nyie ni first class .........subirini uchunguzi utok tuone ukweli ni UPI .......
 
Back
Top Bottom