Kenyans wamechoka! Wakazi wa Mbeere Kusini wamtaka Mbunge wao kutimiza ahadi zake

wanaongozwa na Makabila mawili (kikuyu and Kelenjin) kwa Miaka 60 sasa,
a need for a different dream

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaumwa wewe, aliyemtaja magufuli ni nani? Hivi mlitimiziwa hizi ahadi za kujengewa viwonder vingi na mitumba yenu kuuzwa Ulaya? [emoji38]
 
Sehemu zilizoendelea ulishawahi kuona wanalalama kwa viongozi wao juu ya ahadi za uongo?
Hapo ndio utaona bora kichwa changu kinasaidia hata kubeba meno, ila cha kwako kina mzigo wa uchafu tu hapo ndani.
Sehemu zilizoendea kama Tz au unamaanisha nini? 😀 UK walimng'atua PM wao madarakani kisa hakuwajibika, Thambo Mbeki wa S.A pia, Hosni Mubarak wa Misri n.k, n.k. Huna ufahamu wowote kuhusu masuala kama haya, akili zako ni saizi ya kukimbiza tu mwenge.
 
Unafahamu maana ya kuwajibika? Au unatype tu sababu keyboard inaruhusu?
Kwanza argument na wapenda sifa wakati unashindia kiporo cha ugali wa juzi huwa sizifanyi. Kajifunze kiswahili ndio uje ulete facts za viongozi wako wamefanya nini ndio tutaelewana. Kama mna maendeleo wananchi wangerusha mawe ya nini?
 
Ni wananchi ambao wanajitambua hurusha mawe ili viongozi waajibike. Najua huko kwenu mkushaimbiwa drimlaina na SGRaa foleni za kupiga zinajaa kondoo.

Usisahau Wakenya ndio mnaoweza wasiliana nao kwa lugha ya Kiswahili dunia nzima...respect our SWAHILI 😁
 
Kwani katika nchi zenye kuongea kiswahili hata kenya imo kwenye orodha!
 
Unaumwa wewe, aliyemtaja magufuli ni nani? Hivi mlitimiziwa hizi ahadi za kujengewa viwonder vingi na mitumba yenu kuuzwa Ulaya? [emoji38]
Ukiachana na wakikuyu wenye wivu kwa Tanzania, Africa yote imekubali kwamba Magufuli is the best president, au unataka wazungu ndio wakuambie hivyo?, soma comments za waafrika ikiwemo wakenya wenzako baada ya kusikiliza video

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania yote hakuna sehemu iliyofikia ukame wa maeneo ya kaskazini mwa Kenya, huku Kenya kuna eneo kubwa sana utadhani jangwa kabisa.
 
Jamaa anaitwa King'ang'i- mamba kwa kimbeere, kiembu, kitharaka, kichuka na kikamba pia, ila ana mbio kama swara. [emoji1][emoji1][emoji1] Vaaii ariteng'era marathoni ta Kipchoge mukuru! [emoji38]
Hapo utakuta yupo hospotali anatiwa maji mwilini kutokana na mshtuko[emoji23][emoji23]
 
Hushangai mbna tumewazidi
 
Baada ya kuona umekamatwa sasa unakimbilia kw lugha[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti sehemu zilizoendelea wananchi huaga hawasumbuani na wanasiasa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…