Kenya's economy expands by 4.9% in the first quarter of this year

Kenya's economy expands by 4.9% in the first quarter of this year

Kwani ninyi mko na kila kitu mnachohitaji? Unadhani mwenye pesa ukimkosesha kwenu hawezi kujitosheleza kwingine? Hujui kwamba kujikaza kwenu kwingi ni katika harakati ya kutafuta hela? Sina muda mchafu mimi

Hahah hiyo pesa unayoringia unaweza kuipata bila kula na kushiba? Sasa unakula chakula ya nani?

Teh sema uko na njaa huwezi ku engage kwenye dialouge! Kale kwanza...
 
Hahah hiyo pesa unayoringia unaweza kuipata bila kula na kushiba? Sasa unakula chakula ya nani?

Teh sema uko na njaa huwezi ku engage kwenye dialouge! Kale kwanza...
Ona jinsi ulivyopoteza ufahamu..chakula nimekinunua kutoka kwako niwe na njaa vipi tena??
Je, unajua maana ya dialogue? Maadamu sidhani naweza nikawa na dialogue na mtu ambaye mwanzo haonekani kuyaelewa anayoyajibu
 
Ona jinsi ulivyopoteza ufahamu..chakula nimekinunua kutoka kwako niwe na njaa vipi tena??
Je, unajua maana ya dialogue? Maadamu sidhani naweza nikawa na dialogue na mtu ambaye mwanzo haonekani kuyaelewa anayoyajibu

Uko na utapiamlo wa fikra na afya kwa pamoja.
 
Donation. Nyinyi mnadonate kwa nani sasa? Laki tano ya Tz ni shilingi ngapi za Kenya??

Hebu njoo na hela ya kenya hapa bongo uipatie chenji yenye thamani ya laki tano ya bango halafu tuingie super market kufanya manunuzi tuone wapi kuna unafuu wa thamani halisi ya pesa. Thamani ya pesa ni ile inaweza kununua, sio kuwa na masifuri mengi au machache.

Nimekwambia food donation wanapewa nchi yenye utapiamlo wa fikra na afya.. sasa ushajua ni nani ako na hayo matatizo?
 
Hebu njoo na hela ya kenya hapa bongo uipatie chenji yenye thamani ya laki tano ya bango halafu tuingie super market kufanya manunuzi tuone wapi kuna unafuu wa thamani halisi ya pesa. Thamani ya pesa ni ile inaweza kununua, sio kuwa na masifuri mengi au machache.

Nimekwambia food donation wanapewa nchi yenye utapiamlo wa fikra na afya.. sasa ushajua ni nani ako na hayo matatizo?
hii alifanya demu wao mmoja mpakani,akawa analalamika jinsi alivyopewa 22000tsh kisha kununua mazaga ya kutosha,tofauti na angetumia 1000 ya kenya kununua vitu huko kwao[emoji38][emoji38][emoji38]
 
hii alifanya demu wao mmoja mpakani,akawa analalamika jinsi alivyopewa 22000tsh kisha kununua mazaga ya kutosha,tofauti na angetumia 1000 ya kenya kununua vitu huko kwao[emoji38][emoji38][emoji38]

Hela yao bure kabisa, thamani kubwa ila haina nguvu sokoni. Hawa jamaa ni kukuza mambo tu wanajua bila kuwa na uhalisia.
 
Hebu njoo na hela ya kenya hapa bongo uipatie chenji yenye thamani ya laki tano ya bango halafu tuingie super market kufanya manunuzi tuone wapi kuna unafuu wa thamani halisi ya pesa. Thamani ya pesa ni ile inaweza kununua, sio kuwa na masifuri mengi au machache.

Nimekwambia food donation wanapewa nchi yenye utapiamlo wa fikra na afya.. sasa ushajua ni nani ako na hayo matatizo?
Nikadhani naongea na mtu mwepesi wa kuelewa kumbe mbumbumbu.

Eti laki zenu tano ni shilingi ngapi? Na zinanunua nini? Hivi wataka kusema nikija na elfu zangu zinazotoshana na laki zako hizo tano na kununua hazitakuwa na uwezo huohuo?

Hujielewi babu. Kama mkenya fulani ana uwezo wa kujichumia elfu moja kwa siku zinazothaminiwa Kama elfu ishirini Tz akija TZ huoni ana nguvu kihela kukushinda?

Ndo maana wazungu wajapo Africa wanatumia hela zao chache zinazotoshana na mamilioni Africa na kisha wananunua matani ya raw materials na kuwaacha waafrika wakifurahia madola. Siku shilingi moja ya kenya itakapotoshana na shilingi tano za Tz ndipo tunaweza kuongea.

Hujajiuliza kwa nini sarafu zinalinganishwa???
 
hii alifanya demu wao mmoja mpakani,akawa analalamika jinsi alivyopewa 22000tsh kisha kununua mazaga ya kutosha,tofauti na angetumia 1000 ya kenya kununua vitu huko kwao[emoji38][emoji38][emoji38]
Haswa! Ndo manake twaja huko kununua vya kutosha.

Nenda Zimbabwe ndipo utajua mnafanya michezo ya watoto. Unajua inflation ni nini?

Kubeba mihela kwenye gunia ambayo kwingine haikunufaishi.
 
Nikadhani naongea na mtu mwepesi wa kuelewa kumbe mbumbumbu.

Eti laki zenu tano ni shilingi ngapi? Na zinanunua nini? Hivi wataka kusema nikija na elfu zangu zinazotoshana na laki zako hizo tano na kununua hazitakuwa na uwezo huohuo?

Hujielewi babu. Kama mkenya fulani ana uwezo wa kujichumia elfu moja kwa siku zinazothaminiwa Kama elfu ishirini Tz akija TZ huoni ana nguvu kihela kukushinda?

Ndo maana wazungu wajapo Africa wanatumia hela zao chache zinazotoshana na mamilioni Africa na kisha wananunua matani ya raw materials na kuwaacha waafrika wakifurahia madola. Siku shilingi moja ya kenya itakapotoshana na shilingi tano za Tz ndipo tunaweza kuongea.

Hujajiuliza kwa nini sarafu zinalinganishwa???
wewe ndio hujui kitu ndugu yangu.unadhani ni kujichukulia tu hizo elfu moja kama unavyoandika hapa huko kenya!!!!

elfu moja ni note ya mwisho kenya,haizagai mikononi mwa watu kama ulivyoandika hapa.ni pesa ya kuitafuta haswaa na ukiipata haieleweki inafanya upuuzi gani.nyumba nzuri ya kupanga hapo nairobi kwa mtu ni elfu 15,unajua nyumba ya kupanga ya laki 3 bongo inafananiaje???vip wangapi wanafanya kazi na kulipwa hizo laki tatu ni taasisi ngapi[emoji16][emoji16]

hiyo ndio nguvu ya pesa jamaa yangu.
 
Haswa! Ndo manake twaja huko kununua vya kutosha.

Nenda Zimbabwe ndipo utajua mnafanya michezo ya watoto. Unajua inflation ni nini?

Kubeba mihela kwenye gunia ambayo kwingine haikunufaishi.
sasa tukisema tuna maisha mepesi kuwazidi kwanini mnajaa povu!!!
maana pesa yetu mbali na kuwa na thamani ya chini ila ina nguvu nchini humu.

bongo ukiwa na elfu moja ya tz=45 ksh una uhakika wa kula,sijui hapo nairobi 45 unaweza fanya nayo nini!!!

ukitaka kujua kuna mambo hayawekwi wazi na utawala wenu wakenya,angalia tofauti ya bajeti kati ya hizi nchi mbili,ni allmost double to tz,ila output ndio kipengere[emoji38][emoji38]
 
Nikadhani naongea na mtu mwepesi wa kuelewa kumbe mbumbumbu.

Eti laki zenu tano ni shilingi ngapi? Na zinanunua nini? Hivi wataka kusema nikija na elfu zangu zinazotoshana na laki zako hizo tano na kununua hazitakuwa na uwezo huohuo?

Hujielewi babu. Kama mkenya fulani ana uwezo wa kujichumia elfu moja kwa siku zinazothaminiwa Kama elfu ishirini Tz akija TZ huoni ana nguvu kihela kukushinda?

Ndo maana wazungu wajapo Africa wanatumia hela zao chache zinazotoshana na mamilioni Africa na kisha wananunua matani ya raw materials na kuwaacha waafrika wakifurahia madola. Siku shilingi moja ya kenya itakapotoshana na shilingi tano za Tz ndipo tunaweza kuongea.

Hujajiuliza kwa nini sarafu zinalinganishwa???

Teh uko na utapiamlo wa fikra utaelewa nini sasa? Hapa bongo kutafuta elfu 20 ni rahisi kuliko kutafuta elfu moja hapo kenya! unajua hilo?
 
wewe ndio hujui kitu ndugu yangu.unadhani ni kujichukulia tu hizo elfu moja kama unavyoandika hapa huko kenya!!!!

elfu moja ni note ya mwisho kenya,haizagai mikononi mwa watu kama ulivyoandika hapa.ni pesa ya kuitafuta haswaa na ukiipata haieleweki inafanya upuuzi gani.nyumba nzuri ya kupanga hapo nairobi kwa mtu ni elfu 15,unajua nyumba ya kupanga ya laki 3 bongo inafananiaje???vip wangapi wanafanya kazi na kulipwa hizo laki tatu ni taasisi ngapi[emoji16][emoji16]

hiyo ndio nguvu ya pesa jamaa yangu.
Linganisha elfu na elfu mkuu. Wacha kujipoteza fahamu
 
Linganisha elfu na elfu mkuu. Wacha kujipoteza fahamu
najipoteza vip ufahamu??kila nchi ina pesa yake zinafanana majina tu.kwani unachukua muda gani kuitafuta hiyo elfu moja kenya,ni sawa na mimi ninavyoitafuta hiyo elfu moja ya tz??

au hata huelewi hili.
 
Back
Top Bottom