Kenya's economy expands by 4.9% in the first quarter of this year

Kenya's economy expands by 4.9% in the first quarter of this year

najipoteza vip ufahamu??kila nchi ina pesa yake zinafanana majina tu.kwani unachukua muda gani kuitafuta hiyo elfu moja kenya,ni sawa na mimi ninavyoitafuta hiyo elfu moja ya tz??

au hata huelewi hili.
Elimu yako iko wapi???
Ukitaka kujua nguvu za fedha, chukua elfu ya kenya uipeleke Tz uone itafanya kazi gani? Hali kadhalika chukua elfu ya Tz uilete kenya uone itatekeleza yepi. Kama huna uelewa wa kimsingi hivyo siwezi kukusaidia.
 
Elimu yako iko wapi???
Ukitaka kujua nguvu za fedha, chukua elfu ya kenya uipeleke Tz uone itafanya kazi gani? Hali kadhalika chukua elfu ya Tz uilete kenya uone itatekeleza yepi. Kama huna uelewa wa kimsingi hivyo siwezi kukusaidia.
unafeli wapi na mnajinadi kwa elimu bora EA!!!!kwani tunatumia sarafu moja???

neno shiringi lisikutishe ukauvaa mkenge,hizo ni pesa tofauti kwa nchi tofauti,ndio sababu tuna kipimo cha thamani ya pesa duniani na nguvu ya pesa kwa wakati mmoja.maana ni vitu visivyohusiana.

ili tuwe kwenye kipimo sahihi tukija tz na elfu moja,kenya tunatakiwa kwenda na elfu 22 za tz.
 
unafeli wapi na mnajinadi kwa elimu bora EA!!!!kwani tunatumia sarafu moja???

neno shiringi lisikutishe ukauvaa mkenge,hizo ni pesa tofauti kwa nchi tofauti,ndio sababu tuna kipimo cha thamani ya pesa duniani na nguvu ya pesa kwa wakati mmoja.maana ni vitu visivyohusiana.

ili tuwe kwenye kipimo sahihi tukija tz na elfu moja,kenya tunatakiwa kwenda na elfu 22 za tz.
Wacha nikurekebishe sasa. Dhana yako si sahihi.

Sarafu hazifanani kote, hilo sikatai. Huwa pesa zikilinganishwa dunia nzima ni kusema zinafanana?? La.

Msingi huwa ni kujua pesa zipi zina nguvu. Na inafanywa hivi: kwamba leo fedha za kenya kwa mfano , zimeuzwa au kununuliwa vipi kwenye benki. Hivyo ndivyo unavyo jua.

Kiufupi, chukua kile wanachokiita shilingi moja waTz ulinganishe na fedha za nchi ngingine. Vivyo hivyo, chukua kile wanachokiita shilingi moja wakenya ulinganishe na nchi ngingine. Ndo maana nikasema elfu moja ya Kenya yafanya yepi Tz na elfu moja ya Tz yafanya yepi Kenya. Na itakuwa wazi kama meno ya ngiri fedha zipi zina nguvu kuliko ngingine.
 
Wacha nikurekebishe sasa. Dhana yako si sahihi.

Sarafu hazifanani kote, hilo sikatai. Huwa pesa zikilinganishwa dunia nzima ni kusema zinafanana?? La.

Msingi huwa ni kujua pesa zipi zina nguvu. Na inafanywa hivi: kwamba leo fedha za kenya kwa mfano , zimeuzwa au kununuliwa vipi kwenye benki. Hivyo ndivyo unavyo jua.

Kiufupi, chukua kile wanachokiita shilingi moja waTz ulinganishe na fedha za nchi ngingine. Vivyo hivyo, chukua kile wanachokiita shilingi moja wakenya ulinganishe na nchi ngingine. Ndo maana nikasema elfu moja ya Kenya yafanya yepi Tz na elfu moja ya Tz yafanya yepi Kenya. Na itakuwa wazi kama meno ya ngiri fedha zipi zina nguvu kuliko ngingine.

ok wacha nikucharenge kidogo.

tukiondoa sifuri kwenye kila pesa tz,unafikiri nini kitatokea??
 
ok wacha nikucharenge kidogo.

tukiondoa sifuri kwenye kila pesa tz,unafikiri nini kitatokea??
Swali ulilouliza halina kichwa wala mkia. Ila kujaribu tu kukujibu manake nimejua dhana yako ni kuwa fedha za Tz ni fedha za kenya zilizoongezwa sufuri. Hapo huoni hilo ni wazo la ovyo?

Ukitoa sufuri haina effect kwako ila inategemea baada ya hapo utatarajia kujifananisha na wengine vipi kifedha
 
Swali ulilouliza halina kichwa wala mkia. Ila kujaribu tu kukujibu manake nimejua dhana yako ni kuwa fedha za Tz ni fedha za kenya zilizoongezwa sufuri. Hapo huoni hilo ni wazo la ovyo?

Ukitoa sufuri haina effect kwako ila inategemea baada ya hapo utatarajia kujifananisha na wengine vipi kifedha

unaona sasa ulivyo mwoga wa mjadala!!!!

lini fedha ya kenya imeondolewa sifuri???

sasa kama swala au uamuzi wa kujifananisha na wengine ni wa nchi husika!!unapata wapi muongozo wa kusema nchi kama tz pesa yake haina nguvu??haina nguvu kwako wewe au kwake yeye tz!!!??
 
unaona sasa ulivyo mwoga wa mjadala!!!!

lini fedha ya kenya imeondolewa sifuri???

sasa kama swala au uamuzi wa kujifananisha na wengine ni wa nchi husika!!unapata wapi muongozo wa kusema nchi kama tz pesa yake haina nguvu??haina nguvu kwako wewe au kwake yeye tz!!!??
Screenshot_20200724-210623.png

Soma hapo ukielewa itakufaa sana mkuu
 
unaona sasa ulivyo mwoga wa mjadala!!!!

lini fedha ya kenya imeondolewa sifuri???

sasa kama swala au uamuzi wa kujifananisha na wengine ni wa nchi husika!!unapata wapi muongozo wa kusema nchi kama tz pesa yake haina nguvu??haina nguvu kwako wewe au kwake yeye tz!!!??
Screenshot_20200724-210635.png
 
haya basi twende kwa mujibu wa maelezo yako google.

kenya pesa yenu ina thamani ndogo ikiwa kenya,ila ina thamani kubwa ikija tz,tafsiri yake ni kwamba kenya wenye pesa na uhitaji wa vitu ni wengi wakati bidhaa ni chache,unlike tz ambayo ni kinyue chake.

inakuwaje hii wakati idadi ya watu ni kubwa tz,achia mbali hesabu ya wenye pesa(millionaire)ambao ni wengi mara mbili nzima????
 
View attachment 1515940
Soma hapo ukielewa itakufaa sana mkuu
ndio sababu tukasema mzungu anatumia teminology zake katika mambo aliyoyaanzisha yeye,ni wakati kila binaadam kutumia akili.

ndio sababu nikakuuliza tukitoa sifuri moja kwenye kila pesa yetu matokeo yatakuwa kitu gani,lengo langu utumie akili tu.sio unieleweshe naelewa.
 
haya basi twende kwa mujibu wa maelezo yako google.

kenya pesa yenu ina thamani ndogo ikiwa kenya,ila ina thamani kubwa ikija tz,tafsiri yake ni kwamba kenya wenye pesa na uhitaji wa vitu ni wengi wakati bidhaa ni chache,unlike tz ambayo ni kinyue chake.

inakuwaje hii wakati idadi ya watu ni kubwa tz,achia mbali hesabu ya wenye pesa(millionaire)ambao ni wengi mara mbili nzima????
Wacha nikutafsirie barabara, inamanisha hivi; kwamba fedha za nchi fulani zinasemekana kuwa na nguvu iwapo zinathaminiwa kuliko za nchi nyingine. Kwamba, mfano uliotumika hapo ni dolar ya marekani kuwa thamani yake ni nusu ya ile ya pound kwa hiyo pound ina nguvu.

Vivyo hivyo, shilingi ya Tanzania ni 1/22 ile ya kenya, kwa msingi uo huo shilingi ya kenya ina nguvu.

Screen shot ya pili inakuambia mtu wa uingereza akienda marekani anaweza kununua vitu vingi kuliko mtu wa marekani akienda uingereza,

Yani, mtu wa kenya anaweza kunufaika na fedha zake Tanzania kuliko jinsi mtu wa Tz anavyoweza kunufaika na fedha zake Kenya.
 
ndio sababu tukasema mzungu anatumia teminology zake katika mambo aliyoyaanzisha yeye,ni wakati kila binaadam kutumia akili.

ndio sababu nikakuuliza tukitoa sifuri moja kwenye kila pesa yetu matokeo yatakuwa kitu gani,lengo langu utumie akili tu.sio unieleweshe naelewa.
Sasa unataka kuvumbua sarafu zako na utafsiri wako???
 
Wacha nikutafsirie barabara, inamanisha hivi; kwamba fedha za nchi fulani zinasemekana kuwa na nguvu iwapo zinathaminiwa kuliko za nchi ngingine. Kwamba, mfano uliotumika hapo ni dolar ya marekani kuwa thamani yake ni nusu ya ile ya poind kwa hiyo pound ina nguvu.

Vivyo hivyo, shilingi ya Tanzania ni 1/22 ile ya kenya, kwa msingi uo huo shilingi ya kenya ina nguvu.

Screen shot ya pili inakuambia mtu wa uingereza akienda marekani anaweza kununua vitu vingi kuliko mtu wa marekani akienda uingereza,

Yani, mtu wa kenya anaweza kunufaika na fedha zake Tanzania kuliko jinsi mtu wa Tz anavyoweza kunufaika na fedha zake Kenya.
nilielewa tokea mwanzo hukuwa na haja ya kutafsiri kwa mara ya pili mkuu.vyema.

haya narudia swali kwako,kwa tafsiri hii ya nguvu ya pesa,tukiondoa sifuri kila pesa moja ya tz nguvu ya ksh dhidi ya tsh itabaki na sura hii hii au itabadirika??
 
Back
Top Bottom