Brorey71
JF-Expert Member
- Apr 30, 2020
- 655
- 139
Wewe bingwa wa kutumia akili, ebu nieleweshendio sababu tukasema mzungu anatumia teminology zake katika mambo aliyoyaanzisha yeye,ni wakati kila binaadam kutumia akili.
ndio sababu nikakuuliza tukitoa sifuri moja kwenye kila pesa yetu matokeo yatakuwa kitu gani,lengo langu utumie akili tu.sio unieleweshe naelewa.