Kenya's military might

Kenya's military might

Jeshi la Sungusungu

IMG_5027.JPG


u5AYNRvjxzHNOSr-vf1HylSZlAF9Dc5AtwnBb3RmbGIKQj9RQdcVgTO-s6lK0T3VClUu7LM0jJMh-jB5qzL3WQwT2qDFkuTOhvnjzInF667oMIY0Tw4Js7CYqC9Wfg8D=s0-d


IMG_9616.JPG
Hawa ndio majimaji rebellion ama nini.
 
Hawa ndio majimaji rebellion ama nini.
Wanaitwa Local Government Law enforcement.
Wewe jichanganye tu vijijini uibe au udanganye utawatabua wao ni nani? Ukifika mgeni kwenye kijiji lazima wakujue.
Kunasehemu wameweka tangazo "KAMA WEWE NI MWIZI AGA NYUMBANI"
 
Mimi sijui kingereza labda wewe kwakuwa unajua kiswahili na kingereza unaweza kutusaidia.
Military = jeshi

Police = polisi.

Hakuna kitu kinachoitwa jeshi la polisi, huo ni upotoshaji. Jeshi linaitwa jeshi na polisi inaitwa polisi.

Mkuu wa majeshi anaitwa mkuu wa majeshi ya ulinzi(Chief of Defence) sio ulinzi(ulinzi)na usalama(security). Rais ndiye Amiri jeshi wa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...
Google ndiyo nchi gani?
Wewe weka siraha hapa tuone kama kweli huwa hamkojoi kitandani.

SIJUI KESHO.
 
Military = jeshi

Police = polisi.

Hakuna kitu kinachoitwa jeshi la polisi, huo ni upotoshaji. Jeshi linaitwa jeshi na polisi inaitwa polisi.

Mkuu wa majeshi anaitwa mkuu wa majeshi ya ulinzi(Chief of Defence) sio ulinzi(ulinzi)na usalama(security). Rais ndiye Amiri jeshi wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Hiyo issue ni yenu wakenya sisi tunataratibu zetu.
Nimekupatia link ukasome mbona hutaki kusoma?

Jeshi la Polisi Tanzania
Mwanzo | Jeshi La Polisi Tanzania
Jeshi la zima moto na uokoaji
Jeshi la Zimamoto – Kuokoa maisha na mali
Jeshi la Kujenga Taifa
http://www.jkt.go.tz/
 
Si umesema force ni kani, neno jeshi limetoka wapi?
Rudia kusoma hapa:

upload_2017-9-12_17-52-4.gif

upload_2017-9-12_17-51-58.gif

Kwetu tanzania Police linaitwa Jeshi (Jeshi la polisi Tanzania). Sawa
Wote hao ni jeshi.
Amiri Jeshi mkuu ni raisi
Majeshi yaliyopo Tanzania:-
1. Jeshi la Polisi
2. Jeshi la Uhamiaji
3. Jeshi la zima moto na uokoaji
4. Jeshi la magereza
5. Jeshi la mali asili
6. Jeshi la mgambo na kikosi cha akiba
7. Jeshi la kujenga Taifa
8. Jeshi la wananchi Tanzania
9. Jeshi la sungusungu


Mpaka hapo utakuwa umeelewa kuwa watanzania wote ni wanajeshi wanatofautiana idara zao tu.
 
Ndio maana umeulizwa unajua jeshi ni nini?
Siku hizi naona umeanza kupoteza kumbukumbu
Aliye uliza ni wewe. Nikakuambia ulete jibu mimi sijui kingereza. Sasa unakimbia kimbia kama kichaa au zimefyatuka kidogo?
Check hapa ulivyo uliza:

Kwani jeshi ni nini? unaweza kuandika kwa kiingereza jeshi la magereza au uhamiaji?
 
Siku hizi naona umeanza kupoteza kumbukumbu
Aliye uliza ni wewe. Nikakuambia ulete jibu mimi sijui kingereza. Sasa unakimbia kimbia kama kichaa au zimefyatuka kidogo?
Check hapa ulivyo uliza:
Swali la kwanza uliambiwa uandike kwa kiingereza na swali la pili utoe maana hata kama ni ya kiswahili.
 
Navy base ipo Kigambni facing Dar Port.

Hivi nani amekutuma kutoa information za Kijeshi kama hizo mnatumika kwenye mitandao kutoa information zingine ambazo kama watoto weka vitu vilivyo public kama zinazoonyeshwa kwenye maonyesho basi, BETTER Waseme wao
 
Hivi nani amekutuma kutoa information za Kijeshi kama hizo mnatumika kwenye mitandao kutoa information zingine ambazo kama watoto weka vitu vilivyo public kama zinazoonyeshwa kwenye maonyesho basi, BETTER Waseme wao
Tuliza mshono, hata uki google unaweza kuliona !
 
Back
Top Bottom