Kenya's military might

Kenya's military might

Kwikwikwikwikwikwi. Leta Uniform za kwenu hapa
Kenyan Police Uniforms

_83227618_026589975-1.jpg


wpid-Kenya-police.jpg


police.jpg
hahahaaaa! kama za walinzi wa magodauni

".No woman No cry.."
 
Hahaha ata sijui nianzie wapi. Waarabu wape heshima yao. Egypt ni wazimu kama bullshit. Nenda wikipedia type " Yom Kippur war". Kwa kifupi hii yom Kippur war ilipiganwa baina ya Israel na Egypt mwaka wa 1973. Egypt ilikuwa inalipiza kisasi baada ya Israel kuishinda katika 6 day war in 1967. Israel ilikuwa inapewa silaha na mafunzo na Wamarekani huku Egypt ikisaidiwa na Russia. Kwa kifupi ngoma ilitoka draw. Hata Israel hawakuamini
wakamlazimisha prime minister Golda Meir Kujiuzulu kwa aibu waliyopata. President wa Egypt aliyecheza ngoma hiyo ni shujaa ngozi nyeusi aliyeitwa Anwar Sadat na Alishinda Nobel peace prize kwa kutia mkataba wa amani na Israel. Israel walitandikwa hadi wakakubali kutia mkataba wa amani na kuregesha ardhi ya misri inayoitwa Sinai peninsular waliyokuwa wamenyakua. Misri ni nyoko apana leta machezo
Mkuu nakubaliana na wewe kuhusu uwezo wa kijeshi wa misri (sio waarabu wote).

Lakini kuhusu Yom Kippur war, sio kweli kuwa Egypt walishinda, washindi katika ile vita ni Israel, wakiwapiga misri na Syria kwa pamoja!

Sema kinachoonekana ionekane Israel walishindwa ni kwa sababu raia wengi wa Israel walikufa. Kilichofanyika misri ikaomba vita imalizike huku Israel nao wakiomba vita iishe, ndo UN wakaingilia kati na kusaini hayo makubaliano ya amani!

Kujiuzuru kwa waziri mkuu, waziri wa ulinzi, makatibu wa wizara zote za ulinzi na usalama haikuwa kwa sababu ya kupoteza vita! La hasha!

Sababu kubwa la kujiuzuru kwa hao watu ni kwa sababu watu hao walikataa kata kata taarifa iliyotolewa na mossad kuwa Israel ingeshambuliwa na misri na Syria siku hiyo ya Yom Kippur.

Kukataa kwao kulisababisha hata wasiwaandae wanajeshi waliokuwa mapumzikoni kutokana na sikukuu hiyo, na kweli Israel ikashambuliwa kama mossad walivyoonya na hakukuwa na mwanajeshi hata mmoja aliyekuwa tayari kwa vita!

Ndio maana hao watu wakajiuzuru kutokana na report ya tume iliyoundwa kuchunguza utaratibu ulioutumika katika kutafsiri taarifa iliyotolewa na mossad
 
Labda ungeuliza kama limewahi kupigana na ashshabaab?
Manake hao ndio excuse yenu.

Whay Kenyans have done so far apart from alshabaab?

Lakini JWTZ lina rekodi ya kutoa kichapo cha mbwa mwizi afrika nzima.
We are so organized.

Hao roaches tuna wachapa in a matter of seconds.
Ndio maana hawajamudu kuchomeka pua hapa tized.
Tena kwa utawala huu wenye discipline jeshini kama ule wa nyerere ndio balaa kabisa.
.
Hapa tized kama ni makundi ya kigaidi ni mengi kuliko Huko kenya. Kwasababu tofauti ndogo ya kiimani.

But jeshi letu liko vizuri.
Walishaleta fyoko kule kibiti, kisarawe.. Sasa hivi wamekula mute.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau tulivyowafurumusha kule Amboni Tanga mkuu

Niseme tu uwezo ni kuzuia sio kupambana

nYaNi wA KaLe
 
Ni kweli wakenya kuna vitu mmetuzidi, kama demokrasia, ukabila.

Lakini kwenye Jeshi hapana.

Sisi tupo juu zaidi. Sisi sio wa hapa hapa sisi ni kwa Afrika nzima.[emoji123]

Sisi tungekua juu yenu kiuchumi kama sio serikali yetu kutumia bajeti kubwa kwenye jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya kuna viasi vidogo vidogo wamevishindwa

nYaNi wA KaLe
 
jambo la kwanza, TZ hamna uzoefu wa vita....mpo kweny nchi tulivu..sasa huwezi ukasema ww ni bora kijeshi na hamna uzoefu wowote...KDf wamekuwa kule somalia kwa miaka 5 sasa na pia wamekuwa Sudan kusini....tukasema sasa KDF vs TPDF tunawamaliza asubui na tunaelekea kula lunch tukicheka....hata muwe na missile launchers elfu moja na hamna uzoefu wa vita nyie ni bure tu...zile missile nikama kalamu tu...zimekaa tu pale barracks hazifanyi kazi...
Pili, pesa zilizotengwa kwa ajili ya jeshi every financial year ni nyingi Kenya kuliko tanzania pmoja na training na facilities za kivita...juzi tu tumenunua zile ndege za kuangusha missile toka marekani...
Eti hatuna rekodi za kivita? Sio kweli! Tuna rekord nyingi za kivita kuliko kenya, tena tunawazidi mbali kabisa kwenye hayo masuala!

Kitu kinachoonekana nyie muonekane ni jeshi bora duniani ni kwa sababu ya kusaidia serikali ya Somalia dhidi ya alshabaab! Hii inachangia kwanza mtumie pesa nyingi kwenye bajeti yenu, pili mpate misaada mingi ya kijeshi kutoka nchi wahisani na hivyo kuonekana nguvu yenu ya kijeshi ikiongezeka
 
watanzania muishi kuomba vita isiwai tokea na sisi (kenya) juu recce squad+gsu itamaliza tpdf
 
kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...
Ile kagera war ni mchiriku?

nYaNi wA KaLe
 
jambo la kwanza, TZ hamna uzoefu wa vita....mpo kweny nchi tulivu..sasa huwezi ukasema ww ni bora kijeshi na hamna uzoefu wowote...KDf wamekuwa kule somalia kwa miaka 5 sasa na pia wamekuwa Sudan kusini....tukasema sasa KDF vs TPDF tunawamaliza asubui na tunaelekea kula lunch tukicheka....hata muwe na missile launchers elfu moja na hamna uzoefu wa vita nyie ni bure tu...zile missile nikama kalamu tu...zimekaa tu pale barracks hazifanyi kazi...
Pili, pesa zilizotengwa kwa ajili ya jeshi every financial year ni nyingi Kenya kuliko tanzania pmoja na training na facilities za kivita...juzi tu tumenunua zile ndege za kuangusha missile toka marekani...
Kdf ishajikatia tamaa labda amjui mambo ya kijeshi kwenye kupima morali tuje tukusaidieni ili mjue cha kufanya
 
Watanzania kwa kujipigia debe hamjambo....mko na promo mbaya ila nadhani mnaeza danganya mabunga.tz hakuna jeshi.cha muhimu ni kulipua fukwe za bahari na kupiga wakora wa m23 ambao wangepigwa na gsu...tpdf haiingii hata kwa gsu.wabongo chooni mrushe mawe sasa nmevaa helmet
GSU walikuwa wapi kwani wakati vijana watatu walivoteka WASTEgate? Mtaweza kweli kupamabana na wakora M23 msituni? Si badala ya kupigana nao mtatafuta chainsaws mukate miti mukauze mbao 😀... Kuna tofauti ya Jeshi (JWTZ) na Majambazi (KDF)
 
Sawa nimekubali. Lakini nina swali, haya mambo yanatia ugali kwenye sahani yako vipi?
SISI wa tz tunanunua siraha kimikakati siyo nyinyi mnanunua ovyo ovyo misiraha matokeo mnashindwa kuzitumia
 
Back
Top Bottom