johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haiwezekani Taifa lenye Watu zaidi ya milioni 40 viongozi wakawa wanajirudia kutoka KOO zile zile.
Kamwe hamtaendelea kama Taifa ila mtabaki mnazitajirisha koo hizo hizo.
Hili jambo hayati Magufuli alilipinga sana.
Mungu wa mbinguni akubariki sana.
Kamwe hamtaendelea kama Taifa ila mtabaki mnazitajirisha koo hizo hizo.
Hili jambo hayati Magufuli alilipinga sana.
Mungu wa mbinguni akubariki sana.