Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kiingereza chenyewe cha kuunga na SOLOTEPU nani akuarike....

Msomi wetu Kabudi Prof. akiwa anaongea kiingereza anatoa macho huku anatema mate ndoo kadhaa, sasa Hangaya ataweza?
hapa kuna waandamanaji wana Stoo kontena za mayai viza wanafuatilia uonevu wote tokea hapo Tanzania akialikwa kiongozi yeyote lazima watamrushia mengi
 
Walio shauri Mh Mbowe pewa KESI ya UGAIDI ,laana iwe juu yao ,ukoo wao ,na familia zao , walizani wanaikomoa CHADEMA,kumbe wanalikomoa Taifa,leo tz imekua kituko Mbele ya macho ya Dunia, YESU njoooooo, na tafuna watu hao
Na hawakujua kuwa Siri za mahita kingai kuwapoza Moses na Lt Urio zingevuja, sasa uonevu wao umesambaa Duniani kote wanajutia
 
Na hawakujua kuwa Siri za mahita kingai kuwapoza Moses na Lt Urio zingevuja, sasa uonevu wao umesambaa Duniani kote wanajutia

Ngoja wavune dengu walizopanda
 
Kenya kiuchumi ipo juu sana licha ya Tanzania kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda na za maendeleo zinatumika kudidimiza demokrasia kudhoofisha chadema, Serikali ya CCM haitaki usitawi wa upinzani
 
hapa kuna waandamanaji wana Stoo kontena za mayai viza wanafuatilia uonevu wote tokea hapo Tanzania akialikwa kiongozi yeyote lazima watamrushia mengi

Safi sana. Hata kwa zomea zomea tu dunia hata ikielewa kwa uchache inatosha sana.
 
Wao hualika MAZUZU yawezayo ku respond +vely kwa issue zao

Ndiyo Hangaya alivyokwambia?

Alipoonana Guterres kama formality iliyomhusu kila mjumbe UNGA akiwamo hata mtwaleban hiyo ikawa habari kubwa?

Tulipo leo na kina Burundi na Uganda tuchekane kwa lipi?
 

Kwa hiyo unampongeza beberu kwa kutomwalika kwa sababu kawapunguzia mzigo?

Kwa kweli 😁😁.
 
[/QUOTE]
Kuwafunga pingu saa 24 mikono miguu ndiyo utawala bora wa CCM
 
Wewe hujui chochote kwani kazi ya upinzani ni kuifagilia CCM kwa ujinga wake? Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali ya CCM kwa mapungufu yake yote bila kubagua chochote, kama hujui wapinzani wamesimamia wapi Tambua kuwa wapinzani wamesimamia kwenye Katiba, Tume huru ya uchaguzi na mapungufu yote ya utawala wenu wa uonevu kwa wapinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…