KERO: DAWASA Acheni kutuma SMS za madeni kwa wingi

KERO: DAWASA Acheni kutuma SMS za madeni kwa wingi

Wanatuma hata za bili. Bill ikitoka wanakutumia msg hata kumi.
Changamoto sana, namba niliyoiandikisha dawasco ni namba ya kiswaswadu ambacho kinakaa tu nyumbani kwa matumizi ya rmergency, either dada au watoto wanapotaka kuwasiliana na sisi tunapokua kazini, hii imenisaidia kuepuka kero za msg zisizo za lazima kwenye simu yangu
 
Yaani kwenye kutoa maji wanasua sua ila kwenye kukudai utakoma! Dawasa, Tanesco na NHIF ndizo taasisi za serikali zinazoongoza kwa huduma mbovu. Hata ukilalamika husikilizwi ni siasa tu zimejaa. Hawa wanamuangusha Mheshimiwa Rais
 
Changamoto sana, namba niliyoianfikidha dawasco ni namba ya kiswaswadu ambacjo kinakaa tu nyumbani kwa matumizi ya rmergency, either dada au watoto wanapotaka kuwasiliana na sisi tunapokua kazini, hii imenisaidia kuepuka kero za msg zisizo za lazima kwenye simu yangu

Kila dakika ndugu mteja umetumia unit … kutoka unit .. hadi unit … . Hapo wanatuma tano tano. Halafu kesho yake wanaanza mikwara msg hii ni ya onyo[emoji57][emoji57]. Sasa mimi namba yangu nimeiweka kwenye mita mbili tofauti zikianza kuingia hapo ni vurugu tu.
 
Kila dakika ndugu mteja umetumia unit … kutoka unit .. hadi unit … . Hapo wanatuma tano tano. Halafu kesho yake wanaanza mikwara msg hii ni ya onyo[emoji57][emoji57]. Sasa mimi namba yangu nimeiweka kwenye mita mbili tofauti zikianza kuingia hapo ni vurugu tu.
Hahahha i can imagine, nunua kasimu kadogo kwa ajili ya dawasco unakua unakaacha nyumbani then unasoma.msg kila jioni
 
Kwanza Maji yenyewe mnayatoa kwa mgao (Hamjatangaza tu), huku Tabata hasa Kinyerezi maji mnabangaiza kuyatoa. Mkijiskia ndio mnayaachia hamfati ratiba inayoeleweka.

Nirudi sasa kwenye KERO.

Mnatuma sana SMS zenu kila muda mnatuma hayo madude yenu. Kuweni na weledi basi na mkiwa mnafanya Automation mshirikishe wadau/wateja wawape mawazo yao.

Mnatuma sana hizo SMS zenu za kipuuuzi. Sasa wengine tumeunga nyumba mbili au zaidi kwa namba moja ya simu. Na kila nyumba itumiwe SMS 20 kwa siku hivi tutafika kweli?.

Tengenezeni User portal mteja awe anaingia huko na kuruhusu notifications kama anataka. Na kama hataki ana disable tu. Na malipo yote yanafanyika huko huko kwa kuunganisha API ya DAWASA na hizi API's za Mitandao ya Simu na Banks kama walivyofanya watu wa betting.

Haya maswala ya kutumiana SMS 20 kwa siku tutakuja kuonana wabaya.

Nimemaliza.
Mikocheni siku ya 3 hii amna maji( KERO)
 
Bili utaipata kupitia control number yako ambayo ni permanent...

Unatumia apps kama GePG, mobile banking n.k kujua deni na kulipa...
Sasa kufanya tracking si rahisi.. umetumia unit ngap mpk ngapi
 
pre paid mita ziliishia wapi si walikua wanataka watuletee mita kama za luku unalipia kwanza nsio utumie maji
 
pre paid mita ziliishia wapi si walikua wanataka watuletee mita kama za luku unalipia kwanza nsio utumie maji
Hii Nchi we acha tuu mbwembwe nyingiii utekelezaji sasa 0
 
Maji kama Chai au mchuzi wa Dagaa..

Maji machafu sijui ya mitaroni
Me nafurahia hizi mita zao za Bei rahisi.... Unaweza chota maji bure siku zote.
Walijiona wajanja hizi mita zitawatia hasara Hadi wafukuzwe kazi woote.
Kenge wa Pakistan Hawa.
 
Changamoto sana, namba niliyoiandikisha dawasco ni namba ya kiswaswadu ambacho kinakaa tu nyumbani kwa matumizi ya rmergency, either dada au watoto wanapotaka kuwasiliana na sisi tunapokua kazini, hii imenisaidia kuepuka kero za msg zisizo za lazima kwenye simu yangu
Hapo umewaweza sana. Mie nina namba moja tu ambayo nimesajilia huko huko alafu nyumba mbili tofauti. Nakula SMS za NDUGU MTEJA.. mpk nakoma.
 
Yaani kwenye kutoa maji wanasua sua ila kwenye kukudai utakoma! Dawasa, Tanesco na NHIF ndizo taasisi za serikali zinazoongoza kwa huduma mbovu. Hata ukilalamika husikilizwi ni siasa tu zimejaa. Hawa wanamuangusha Mheshimiwa Rais
Hapo kwenye Swala la kuachia maji ndio kero zaidi. Wiki nzima wanatoa maji siku moja kwa Muda mdogo na maji pressure sio kubwa.

Purity au ubora wa maji machafu mnoo.
 
Back
Top Bottom