KERO: DAWASA Acheni kutuma SMS za madeni kwa wingi

KERO: DAWASA Acheni kutuma SMS za madeni kwa wingi

Me nafurahia hizi mita zao za Bei rahisi.... Unaweza chota maji bure siku zote.
Walijiona wajanja hizi mita zitawatia hasara Hadi wafukuzwe kazi woote.
Kenge wa Pakistan Hawa.
Mie mwanzoni walivyofunga maji ndio nilifaidi miezi miwili ya mwanzo.

Nilitumia almost zaidi ya Unit 30 maana hapa nina bwawa la Samaki na pia nina shamba dogo la mboga mboga. Sasa nilivyoona mita haishtuki, nilijiachia sana....
 
Hapo umewaweza sana. Mie nina namba moja tu ambayo nimesajilia huko huko alafu nyumba mbili tofauti. Nakula SMS za NDUGU MTEJA.. mpk nakoma.
Unaweza pia kubadilisha namba, unawasiliana nao unawaambia unataka kubadilisha namba inayotumika kutuma bili, hawakatai, hata mimi nilibadilisha, tena walikuja kusoma bili nikawaambia wabadilishe wakasema wakifika ofisini watabadilisha
 
Mie mwanzoni walivyofunga maji ndio nilifaidi miezi miwili ya mwanzo.

Nilitumia almost zaidi ya Unit 30 maana hapa nina bwawa la Samaki na pia nina shamba dogo la mboga mboga. Sasa nilivyoona mita haishtuki, nilijiachia sana....
Anza na hii ya kawaida.
Lifungue ghafla Hilo limita Kama Fupa Mana linatabia ya kuja na michanga.
Wewe kila ufunguapo likurupue ghafla 0-100 fyuum😂😂.
 
Unaweza pia kubadilisha namba, unawasiliana nao unawaambia unataka kubadilisha namba inayotumika kutuma bili, hawakatai, hata mimi nilibadilisha, tena walikuja kusoma bili nikawaambia wabadilishe wakasema wakifika ofisini watabadilisha
Soo inanibidi nitafute line nyingine kwa ajir ya hiyo ishu ya kupokea bills tu? Nikipata muda nitaenda ofisini kwao wanieleze vzr huu utaratibu wao wa kutuma mataka taka kila saa.
 
Anza na hii ya kawaida.
Lifungue ghafla Hilo limita Kama Fupa Mana linatabia ya kuja na michanga.
Wewe kila ufunguapo likurupue ghafla 0-100 fyuum😂😂.
Alaf Mita wanaziuza bei kweli ukisoma Invoice yao ya kufungiwa maji kumbe ni mabovu.
 
Ukilipa hutadaiwa
Kuna mita waliibambikia bill hivy siwez lipa yote nalipa kadri navyotumia, SMS bado zinakuja tu.

Kingine wana SMS zingine ambazo sio za Madeni ni za kipuuz puuzi tu.
 
Mimi siku hiyo walituma SMS mpaka nyengine wakachanganya na bill za watu wakaishia kuniomba msamaha,check screenshot hapo chini hawa jamaa ni vilaza waliochangamka,na nilikuwa nimeshalipa bill yao ila bado wakawa wanatuma!

IMG_20231101_101600.jpg
 
Daah aisee kama wanadai Figo
Wana mikwara dunia haijaona itakua wana asili ya north korea wale pesa x si kwa mikwara ile" ndugu fulani ,hela ya mtu haiendi bure ulikuja kwetu kukopa ukika hohehahe choka mbaya kama mbwa mwizi tukakupa mkopo ukaishia kula mikuku na kugawa mabia ,muda wa kulipa umefika hutumi hela yetu hapa tupo na mwanasheria mtaani kwako tunakuja😂😂😂😂
 
Kwanza Maji yenyewe mnayatoa kwa mgao (Hamjatangaza tu), huku Tabata hasa Kinyerezi maji mnabangaiza kuyatoa. Mkijiskia ndio mnayaachia hamfati ratiba inayoeleweka.

Nirudi sasa kwenye KERO.

Mnatuma sana SMS zenu kila muda mnatuma hayo madude yenu. Kuweni na weledi basi na mkiwa mnafanya Automation mshirikishe wadau/wateja wawape mawazo yao.

Mnatuma sana hizo SMS zenu za kipuuuzi. Sasa wengine tumeunga nyumba mbili au zaidi kwa namba moja ya simu. Na kila nyumba itumiwe SMS 20 kwa siku hivi tutafika kweli?.

Tengenezeni User portal mteja awe anaingia huko na kuruhusu notifications kama anataka. Na kama hataki ana disable tu. Na malipo yote yanafanyika huko huko kwa kuunganisha API ya DAWASA na hizi API's za Mitandao ya Simu na Banks kama walivyofanya watu wa betting.

Haya maswala ya kutumiana SMS 20 kwa siku tutakuja kuonana wabaya.

Nimemaliza.
Nilijua DUWASA ndio wasumbufu kumbe na jamaa zao ni hivyo hivyo
 
Ukitaka wasikutumie msg lipa bili on time, dawa ya deni ni kulipa
Unapewa siku 30 kulipa deni la mwezi husika. Unaletewa bili leo, kesho asubuhi unaandamwa na msg kibao za kukutaka ulipe deni hilo. Na hizo msg hazikomi hadi hapo utakapolipa hilo deni. Kiukweli huu ni usumbufu usio wa lazima. Deni litalipwa ndani ya kipindi kilichowekwa. Program ya kufyatua msg inakera sana tena sana.
 
Unapewa siku 30 kulipa deni la mwezi husika. Unaletewa bili leo, kesho asubuhi unaandamwa na msg kibao za kukutaka ulipe deni hilo. Na hizo msg hazikomi hadi hapo utakapolipa hilo deni. Kiukweli huu ni usumbufu usio wa lazima. Deni litalipwa ndani ya kipindi kilichowekwa. Program ya kufyatua msg inakera sana tena sana.
Naelewa sana, maana hata haya makampuni ya simu huwa yanatufanyia hivyo, wanatutumia msg zao za promotion kila baada ya dakika kumi

Inakera sana
 
Soo inanibidi nitafute line nyingine kwa ajir ya hiyo ishu ya kupokea bills tu? Nikipata muda nitaenda ofisini kwao wanieleze vzr huu utaratibu wao wa kutuma mataka taka kila saa.
Ukienda watakuambia ni utaratibu wa ofisi na wateja wote wanapoke msg, wewe tafuta kiswaswadu weka line halafu nenda kawaambie umebadilisha namba na going foward wawe wanatumia hiyo namba kutuma bills
 
Wana mikwara dunia haijaona itakua wana asili ya north korea wale pesa x si kwa mikwara ile" ndugu fulani ,hela ya mtu haiendi bure ulikuja kwetu kukopa ukika hohehahe choka mbaya kama mbwa mwizi tukakupa mkopo ukaishia kula mikuku na kugawa mabia ,muda wa kulipa umefika hutumi hela yetu hapa tupo na mwanasheria mtaani kwako tunakuja😂😂😂😂
Em ngoja niwatafute niwakope.. hawa ndio wazuri wa kunifata na Mwanasheria... hahah
 
Back
Top Bottom