Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu nachokiepuka ni kuwa na line nyingi zisizokuwa na sababu za msingi. Ila sawa nimeupokea ushauri nitafanyia kazi.. ingawa DAWASA wajitathmini sana.Ukienda watakuambia ni utaratibu wa ofisi na wateja wote wanapoke msg, wewe tafuta kiswaswadu weka line halafu nenda kawaambie umebadilisha namba na going foward wawe wanatumia hiyo namba kutuma bills
Shukran..Pole sana mkuu
Pole sana ndugu, dawasa ni sawa na Tanesco na taasisi yoyote ya serikali, na nisawa na sisiemu, ndio maana kale kawimbo ketu pendwa huwa tunasema sisiemu ni ileileKitu nachokiepuka ni kuwa na line nyingi zisizokuwa na sababu za msingi. Ila sawa nimeupokea ushauri nitafanyia kazi.. ingawa DAWASA wajitathmini sana.
Bora zile msg za kampuni za maji kuliko hizi ambazo hutuma msg kwa vile tu wanatoa huduma za simu. Hizi "unsolicited msg" zinakera sana na kibaya mteja hana njia za kuzuia zisiingie kwenye simu yake. Hapa TCRA wanapaswa kutusaidia kuondokana na kero hii.Naelewa sana, maana hata haya makampuni ya simu huwa yanatufanyia hivyo, wanatutumia msg zao za promotion kila baada ya dakika kumi
Inakera sana
TCRA wameshalalamikiwa sana kuhusu hizi msg ila wamefunga masikioBora zile msg za kampuni za maji kuliko hizi ambazo hutuma msg kwa vile tu wanatoa huduma za simu. Hizi "unsolicited msg" zinakera sana na kibaya mteja hana njia za kuzuia zisiingie kwenye simu yake. Hapa TCRA wanapaswa kutusaidia kuondokana na kero hii.
Tanesco nishapata mwarubaini nimetandika Solar panel za kutosha ktk rooftop.Pole sana ndugu, dawasa ni sawa na Tanesco na taasisi yoyote ya serikali, na nisawa na sisiemu, ndio maana kalw kawimbo ketu pendwa huwa tunasema sisiemu ni ileile
Nakuunga mikono na miguuTanesco nishapata mwarubaini nimetandika Solar panel za kutosha ktk rooftop.
Hawa DAWASA nao dawa yao ipo njiani nachimba kisima soon. Maana hapa maji hata hayapo mbali.
Kuna zile za Polisi nazo nishazichoka.TCRA wameshalalamikiwa sana kuhusu hizi msg ila wamefunga masikio
Usifuatize maelekezo unayopewa kwenye simu yako😆😆😆Kuna zile za Polisi nazo nishazichoka.
Ungekuwa na nyumba ungejua kinachoongelewa, mwanzo mwa wiki ijayo watasoma mita kwa bili ya mwezi wa 11, kuanzia wiki ijayo wataanza kutuma bili ya mwezi wa 11 kwa wiki tatu mpaka mwisho wa mwezi wa 11! Kwa kipindi hiki hawawezi kukata maji kwa sababu mwisho wa mwezi bado, hapo ndipo kero inapoanzia.Ukitaka wasikutumie msg lipa bili on time, dawa ya deni ni kulipa
Wananiona mie ni mtu wa mbwinde huko.. mshamba saanaaa..Usifuatize maelekezo unayopewa kwenye simu yako😆😆😆
SAHIHI.Ungekuwa na nyumba ungejua kinachoongelewa, mwanzo mwa wiki ijayo watasoma mita kwa bili ya mwezi wa 11, kuanzia wiki ijayo wataanza kutuma bili ya mwezi wa 11 kwa wiki tatu mpaka mwisho wa mwezi wa 11! Kwa kipindi hiki hawawezi kukata maji kwa sababu mwisho wa mwezi bado, hapo ndipo kero inapoanzia.
NI sawa boss mwenye nyumba zako mjini ila unalalamikia msg za bili za majiUngekuwa na nyumba ungejua kinachoongelewa, mwanzo mwa wiki ijayo watasoma mita kwa bili ya mwezi wa 11, kuanzia wiki ijayo wataanza kutuma bili ya mwezi wa 11 kwa wiki tatu mpaka mwisho wa mwezi wa 11! Kwa kipindi hiki hawawezi kukata maji kwa sababu mwisho wa mwezi bado, hapo ndipo kero inapoanzia.
Pengine kuna mshiko huko. Wapo imara sana kuzuia matumizi ya VPN lakini kwa hili wapo kimya kabisa.TCRA wameshalalamikiwa sana kuhusu hizi msg ila wamefunga masikio
NI sawa boss mwenye nyumba zako mjini ila unalalamikia msg za bili za maji
Mimi bili ikija nalipa onthe spot kuepuka hizo msg, wakati mwingine huwa nafanya makadirio ya matumizi yangu kwa mwezi then nalipa pesa hata ya miezi sita, ikifika wakati wa bili napokea tu msg kwamba nimetumia unit ngapi, na imelipwa kiasi gani na balance ya account yangu ni kiasi gani
By the way, nina simu pembeni ya kupokea hizo msg na huwa sitembei nayo
Sio kila mwenye nyumba anaishi kama mwenye nyumba wewe, usikariri maisha, kila mtu ana mfumo wake
Kama ulilijua hili kwanini uliamuru alipe kwa wakati huku bado anazo wiki tatu mwisho wa mwezi kufika, kawaida bili ya mwezi husika hailipwi mwanzo wa mwezi, hulipwa mwisho wa mwezi.'kila mtu ana mfumo wake'
Me nawafurahia kwa huu ujinga wao. Yani waniuzie maji ya Mungu. Tutagawana Sana hizi shida.Alaf Mita wanaziuza bei kweli ukisoma Invoice yao ya kufungiwa maji kumbe ni mabovu.
Naskia wana anticipate kuwa na ELECTRONIC VOTING System katika chaguzi zijazo.Pengine kuna mshiko huko. Wapo imara sana kuzuia matumizi ya VPN lakini kwa hili wapo kimya kabisa.