Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Hii ni kero aisee. Wengine tumeshajizeekea tunabembeleza kidogo tu mapenzi ya kihindi kukimbizana kimbizana tunawaachia watoto![emoji3][emoji3][emoji3] wengine wanapenda kubembelezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kero aisee. Wengine tumeshajizeekea tunabembeleza kidogo tu mapenzi ya kihindi kukimbizana kimbizana tunawaachia watoto![emoji3][emoji3][emoji3] wengine wanapenda kubembelezwa
Kutemeana mate umesema lakin mengine sawaAcha uongo bhn vitu vingine funika kombe mwana haramu apite😂😂
Huyo dawa yake mbn simpo tu.Napitia hili kwa sasa. Anataka style 1 tu na hiyo bado anadai anachoka haraka
Heee hayaaaa jamaniMhhh! Wewe ndiye mwakilishi wa "wanawake wengi"?
Kuna wengine bila kubinuliwa hajisikii kabisa, unazungumziaje hapo?
Sex ni intimacy bond kati ya wapenzi, katika mapenzi ni vyema kujifunza uzoefu mpya usio na madhara ila ukubali kujifurahisha inapobidi.
Ukiwa too conservative, unaweza usipate mvuto kwa mwenzi wako na kupelekea umchukie kabisa.
Don't take things too serious on bed [emoji106]
Nimejikutaa nachekaaa😄😄😄...Jmn mumwache bidada wa watu hataki tabiambayambaya.
kashasema hataki mambo ya kubinuana km kuku wa mtori.
Bila shaka atakuwa mlokole huyu.
Ni wale wanaosali kwanza kabla ya kukutana na baba ktk tendo.
ubarikiwe Bless mom unasali wapi vile?
ukikutana na mwenye hana hamu ni kazi sana kuinjoyNapitia hili kwa sasa. Anataka style 1 tu na hiyo bado anadai anachoka haraka
kuna umuhimu wa kuoa mke zaidi ya mmoja aisee. uyu akizingua unavuta jiwe jipya unaweka ndani. hauwezi kukutana ujinga kama huu.ukikutana na mwenye hana hamu ni kazi sana kuinjoy
Haaah sio kweli tunabinuka vzrHasa hasa wanaotoka chini ya ule mlima mrefu kuliko yote afrika,hawatakagi kuwa humped hio staili...wao ni wamishionari orijino!
wengne wanasemaga mibinuko mnayoitaka inawaumiza hasa km filimbi ina masafaHasa hasa wanaotoka chini ya ule mlima mrefu kuliko yote afrika,hawatakagi kuwa humped hio staili...wao ni wamishionari orijino!
especially kama kuna maslahi aka maokoto.Haaah sio kweli tunabinuka vzr
😂😂😂Hii ni kero aisee. Wengine tumeshajizeekea tunabembeleza kidogo tu mapenzi ya kihindi kukimbizana kimbizana tunawaachia watoto!
Ndo maanayakeMambo ya kubebishana au cio
🤣naunga mkonyo hoja kwa kicheko cha haja aise......kuna umuhimu wa kuoa mke zaidi ya mmoja aisee. uyu akizingua unavuta jiwe jipya unaweka ndani. hauwezi kukutana ujinga kama huu.
🔔ndeng ndeng 😂HAKI YA ElIMUUU!!
Hamna kitu mkuuKwamba??
Sasa si mpaka niwe naenjoy...Achia mwili huo mtoto mzuri. Tunaishi mara moja
Hahahaha 😂 ndio mwingine anataka mate umtemeee sijui hawoni kinyaaaa mara baada ya kumkamia kisawasawa😆😆Kutemeana mate umesema lakin mengine sawa