Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Mwambiee
Mwambie bebe, kinywa chako hakipo sawa. Ataenda kukipiga mswaki.. Lol na asugue ulimi, sio anaswaki meno tu ulimi unabaki mweupe peeee kama umemwagiwa dona

Afu Mbona kuna njia rahisi tu ya kufanya ujijue unatoa harufu mdomon au vp…
Ni njia gani hiyo unayoijua
 
🤣🤣🤣

Nimependa kasema wakiachana atleast anawaachia ujuzi wa kukiss

Imagine unaulizwa nini umemuachia ex wako pengine atafurahi aliwahi kudate na wewe unajibu ujuzi wa kukiss😃😃😃
Ila kwer kumbe ndio maana nakumbuka maumivu yakukwaruliwa na meno wakati na nyonywa mb****o tu😂
 
Back
Top Bottom