Ni njia gani hiyo unayoijuaMwambiee
Mwambie bebe, kinywa chako hakipo sawa. Ataenda kukipiga mswaki.. Lol na asugue ulimi, sio anaswaki meno tu ulimi unabaki mweupe peeee kama umemwagiwa dona
Afu Mbona kuna njia rahisi tu ya kufanya ujijue unatoa harufu mdomon au vp…