Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,143
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo WhatsApp inaingia directly
Usisahau hela ya bando[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo WhatsApp inaingia directly
Oyaaaa nikupigie wapo wa hovyo na Hawa watu ni kutoka Kanda ya ziwa wengi hamkoseagi mnataka kombe la 🧉 mate 😂😂😂Umetupiga[emoji3][emoji3]
Karibu hapa MwanjelwaKumbe upo Mbeya
Nimeingia Mbeya Juzi kutoka DSM.
Tutafutane basi, nipo maendeleo hapa.
#YNWA
😂😂😂😂😂HatareeeeeNani sio mie, cna mda wa kutaka mate ya mtu,
Yangu enyewe yakitoka nje sitaki hata kuyaona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sauli 3 zote umepeleka uko sasa unataka tupande zipi😂😂Karibu hapa Mwanjelwa
Mwendo umeumaliza chief 🤣 subiri tukioAcheni kila mtu ashinde mechi zake mapenzi ni uchafu.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Acha watu wanywe juice ya bamia vizuri kila mtu anaenjoy ladha ya mate ya baby wake.Mwendo umeumaliza chief [emoji1787] subiri tukio
Noumaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatareeeee
Juice 🥤 hiyo wakati mwingine hujui imevuka mda gani😂Acha watu wanywe juice ya bamia vizuri kila mtu anaenjoy ladha ya mate ya baby wake.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mtapanda Shabiby tena high classSauli 3 zote umepeleka uko sasa unataka tupande zipi[emoji23][emoji23]
Watu mpo speed huuu mwendo ungekua wa kumuabudu mwenyezi Mungu hakika tungekua mbali,🙏Noumaaah [emoji23][emoji23][emoji23]
Hainaga expire date hiyoJuice [emoji3047] hiyo wakati mwingine hujui imevuka mda gani[emoji23]
Watu weuweee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu mpo speed huuu mwendo ungekua wa kumuabudu mwenyezi Mungu hakika tungekua mbali,[emoji120]
Sauli tu ili niwai kufika siwazi kuangushwa njiani wala nini😂😂Mtapanda Shabiby tena high class
Noma sana
Kwendraaaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sauli tu ili niwai kufika siwazi kuangushwa njiani wala nini[emoji23][emoji23]
Nipe hiyo njiaMwambiee
Mwambie bebe, kinywa chako hakipo sawa. Ataenda kukipiga mswaki.. Lol na asugue ulimi, sio anaswaki meno tu ulimi unabaki mweupe peeee kama umemwagiwa dona
Afu Mbona kuna njia rahisi tu ya kufanya ujijue unatoa harufu mdomon au vp…
Unaona sasa akili zakoKwendraaaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]