Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Nielimishe kidogo huenda mwenzenu natoa harufu ya vitunguu
Ktk Islam inasisitizwa kuwa na mswaki wa mti au miswak na ni best kuliko hizo za brush.
S.A.W alikuwa kabla ya kufika nyumbani anasafisha kinywa Kwa miswak na alikuwa ana kiss wakeze pindi anapofika nyumbani.
Kama una harufu ya asili basi tafuna hiliki au uzile/binzari/fennel mara Kwa mara.
 
Lakini pia kuna ile kero nyingine unakuta pisi ni kali na kaumri kamesogea halafu wewe sio mpenzi wake wa kwanza.

Mnakubaliana vizuri mkanyanduane anafika eneo la tukio anajifanya kama umemshtukiza. Analeta zile sitaki nataka. Mnaanza kukimbizana kama kuku wakati ameshaingia getto. Yani inakua kama unabaka au vita flani hivi.

Anakuja kukubali dakika za mwisho kabisa ukiwa umechoka hatari majasho yamekutoka hata mpini hausisimki vizuri. Cha ajabu unakuta binti ameloa kitaaambo mpaka unajiuliza kwanini alikua anabana! Usiombe baharia ukutane na majanga ya namna hii.
 
Wacha wee aunt yangu uko vizuri 😀
 
𝐡𝐮𝐮 𝐮𝐳𝐢 𝐮𝐭𝐚𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚
 
😀😀😀 wengine wanapenda kubembelezwa
 
Jamani muwe mnawaelewa wapenzi wenuu..sio kila mtu anapenda kubinuliwaa inakera kbsaaa..Ila mjue wanawake wengi hatubendi kubinuliwaa hivyoo...ipo too babaric kwa kweli hatupendi
Mhhh! Wewe ndiye mwakilishi wa "wanawake wengi"?

Kuna wengine bila kubinuliwa hajisikii kabisa, unazungumziaje hapo?

Sex ni intimacy bond kati ya wapenzi, katika mapenzi ni vyema kujifunza uzoefu mpya usio na madhara ila ukubali kujifurahisha inapobidi.

Ukiwa too conservative, unaweza usipate mvuto kwa mwenzi wako na kupelekea umchukie kabisa.

Don't take things too serious on bed [emoji106]
 
aaah unaenda kwenye vikoba sio na tulikubaliana tushinde wote humu ndanibtukiinjoy pamoja,

Cha pili nampelekeaa motrroooo napiga dable v3 sishuki hata sekunde ili mbususu iwake🔥 hadi kwenye vikoba ashindwa kukaaa,

aalaaa, kumbafu sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…