July 3, 2016 natoka Dar naenda zangu Nzega Tabora, nlipanda city boy ya kahama(hii kesho yake wakati inarudi Dar ilikula mzinga pale maweni uso kwa uso na city boy iliotoka Dar ) tunakaribia singida stendi hali ya hewa ndani ya chombo ikachange ghafla, harufu kali vibaya mno, wenye watoto wakaanza kuwakagua kama wamejisaidia lakini hamna kitu, chombo kikafika stendi singida akashuka mafia mmoja kajifunga sweta kiunoni kachafuka mbaya, kulikua na wasukuma ndani ya basi wakawa wanamzomea (nyelaga,nyelaga) tulimuacha palepale singida yule mwamba