[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huu uzi mjomba nilijua mambo yetu yaleeeeeeeeee [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji120] [emoji120] [emoji817] [emoji111]
Ngoja nikanywe kwanza supu ya pweza
Dar haijafikishwa kileleni na Bashite
Yaani nilijua hapa napata elimu ya kumbandua mtu
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji144] [emoji115] [emoji111]Mshana nilitaka kukupa chalenge sema naogopa kulogwa,kwa ulivyokuja mkuu nadhani wema keshapata kigagura wa kumsafisha nyota....Wasalimie Ufipa.
Si "asavali" yeye kalia kanisani,mtoto wa mkulima alilia bungeni.
Duu fasihi hiii....!!! Akamuuliza mbona hujatahiriwa?..... Halafu akaanza kulia[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaan kiufupi, alikuwa kitandani na mwanamke. Yule mwanamke akagundua hajatahiriwa. Akamuuliza hee, kumbe hujatahiriwa?... Akanyanyuka, akaanza kulia na kulalamika kwamba anaonewa, huku akificha nyeti zake.
Baada ya kuondoka kwenda bar kupoteza mawazo, akarudi akisema sasa hivi ataongeza dozi ya six by six mara mbili yake.
Ila ndugu zake walisema, tohara haijalishi. Kwamba mbona amefanya mengi kwenye mahusiano?
Kumbe hamfikishi mwanamke wake.
Duuuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji23]Hili la kufika au kutokufika kileleni ni jema kama lina positive impact. Mfano 2015 wakati Mh.Kikwete anaaga mmoja wa viongozi wa akina mama hakuficha fulaha yake alipotamka mubashara nanukuu Mh. Rais wewe umeweza kutufikisha kileleni, mwisho wa kunukuu