Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Mshana Jr. Ktk Ubora wake.... Lakini kabla sijausoma uzi huu, nilijiuliza sana.. Mshana kapotea lini njia ya Mambo haya ya ngono tena... Tena hasa wkt huu wa Kwaresma..!! Respect mkuu.
[emoji3] [emoji120] [emoji817] [emoji111]
 
sasa iv tz inawasomi wengi nimeamini, munaandika fasihi hadi basi. ila nimekuelewa!

prime numbers[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hii ndio jamii forum tuitakayo, na wanao fikiria kuifunga umauti uwafikie [emoji35] [emoji35]
 
naskia south kuna wataalamu wakubadili matokeo ya nekta mtandaoni labdaA yupo huko anafanya mambo
 
Ukweli mchungu BASHITE kapewa cheo kikubwa ambaho ameshindwa kukimudu na hakijaweza kushabihiana na uwezo wake pamoja na upeo wake wa akili baada ya kufail kinondoni alipaswa kushushwa angepewa ukatibu tarafa au kwa upendeleo angepewa ukatibu tawala wa wilaya.
 
Yeye ange komaa tu aseme kweli alifeli kweli na alitumia vyeti fek kweli lakn kazi yake tunaikubali RC wangapi waliokuwa na vyeti halali na hawajawahi fanya mambo mazur kama makonda elimu sio tijaa sanaa ilimradi anapiga kazi kwa maslahi yetu wa Tz, namshangaa anavo yumbishwa na upepo mdogo wakati hili game alikuwa anaelekea kushinda kabisaa
 
Akili kijiko [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Aaah mshana jr mimi nilijua yale mambo yetu, ya Kigamboni 😛 nikafungua uzi faster. Ujumbe umeeleweka Bashite werevaaaa!!!
 
Mshana Jr huoni kuwa tayari hoja ya msingi imetupiliwa mbali.Sasa watu wanajadili cheti tu wameacha kujadili madawa ya kulevya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…