Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Andiko zuri
 
Acha ujinga wewe, kwani kipimo cha Uanaume wa mtu ni kutokulia? Kwa wale wanaotumia Biblia na hata wale wasioitumia ila wanauelewa juu ya biblia wanaweza kuwa na jibu sahihi, PETRO mwanafunzi wa YESU, aliitwa MWAMBA na YESU mwenyewe na kuahidiwa kwamba Juu ya Mwamba huo atalijenga Kanisa. Lakini baada ya Petro kumkana Yesu mara tatu alilia huku akimuomba MUNGU msamaha, Je, Petro nae tumweke katika kudi gani?
 
Dah, wewe Mshana ni Noma, huu utakimbiliwa na wapenda ngono zaidi, hii itatoa uhuru wa mawazo. Kuliko heading ingekua " Rc..... Hajawahi kutufikisha kileleni". Hapo lingekuja povu la ajabu sana.
Mie mwenyewe nilivyoona heading nimekimbia mbio kuwahi kufika nikajua ni mambo yetu yaleeeeeeeeeeee
hahhahahahahah
 
sinakumbukumbu katika biblia kama petro alienda kulia mbele ya hadhira??alafu Petro alikiri kuwa kweli alimkana Yesu je Bashite amekiri kuwa aliiba vyeti,sikatai kuwa mjinga ila nakushangaa wewe zwazwa unaetetea upumbavu
 
sinakumbukumbu katika biblia kama petro alienda kulia mbele ya hadhira,alafu Petro alikiri kuwa kweli alimkana Yesu je Bashite amekiri kuwa aliiba vyeti,sikatai kuwa mjinga ila nakushangaa wewe zwazwa unaetetea upumbavu
kama hauna kumbukumbu kaa kushoto unasumbua Watu.
 
sinakumbukumbu katika biblia kama petro alienda kulia mbele ya hadhira,alafu Petro alikiri kuwa kweli alimkana Yesu je Bashite amekiri kuwa aliiba vyeti,sikatai kuwa mjinga ila nakushangaa wewe zwazwa unaetetea upumbavu
Alikr wap...mbele ya hadhira.. Duuuh...biblia na vya kaisal n kama mlenda na kamasi
 
"Lakini Dar ni jiji lenye wataalam na wasomi wa kila kaliba iweje"Mshana nimekipenda sana kisehemu hiki....yeye anatuhumiwa kuiba vyeti na yupo mstari wa mbele kuwapiga vita hawa "wataalam na wasomi" ambao kimsingi sio wa kaliba yake.....
 
sinakumbukumbu katika biblia kama petro alienda kulia mbele ya hadhira??alafu Petro alikiri kuwa kweli alimkana Yesu je Bashite amekiri kuwa aliiba vyeti,sikatai kuwa mjinga ila nakushangaa wewe zwazwa unaetetea upumbavu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
INGENJA huna Hisia ndo maana unamshangaa mwanaume kulia. Wengine hulia kwa sababu ya hasira mbona hayo mambo ni ya kawaida mtaani, ndugu yangu.
 
Hahaha ninesoma na kuelewa vizuri sana. Hoja ni nzuri na inayotaka utendaji madhubuti juu ya kiongozi wetu.
 
INGENJA huna Hisia ndo maana unamshangaa mwanaume kulia. Wengine hulia kwa sababu ya hasira mbona hayo mambo ni ya kawaida mtaani, ndugu yangu.
mwanaume analia kama simba ndani ya moyo tena peke yake usiku wa manane alikwambia Banana zoro,ni udahifu mkubwa sana mwanaume kulia mbele ya umma alafu sababu ikiwa ya kijinga tu kusakamwa kisa vyeti
 
Dah, wewe Mshana ni Noma, huu utakimbiliwa na wapenda ngono zaidi, hii itatoa uhuru wa mawazo. Kuliko heading ingekua " Rc..... Hajawahi kutufikisha kileleni". Hapo lingekuja povu la ajabu sana.
πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Dah, wewe Mshana ni Noma, huu utakimbiliwa na wapenda ngono zaidi, hii itatoa uhuru wa mawazo. Kuliko heading ingekua " Rc..... Hajawahi kutufikisha kileleni". Hapo lingekuja povu la ajabu sana.
KWELI. KWA AGE YANGU,HII POST NIMEACHA KUIFUNGUA TANGU JANA. NILIJUA CONTENTS ZA HEADING HAZINIHUSU! DUU, UANDISHI MAHIRI SANA.
 
Kila mpango anaouanzisha unaishia kuwa kama cheti chake
Kitambulicho cha mwalimu F
Shisha F
Sensa ya vijana wasio na kazi F
Madawa F
Yani ni fafafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…