Kero katika mahusiano ya ndoa ....

ni kweli matron, tena ndo ukute na hyo mwenz wako bendera fata upupo.......kila siku mtagombana na mwisho wake kila mtu atachukua chake

bestlady kuna vijamaa vimetoka univasiti of Mlimani pale 3 yrs past ..vyenyewe ni maji ya TBL na kina Eliza ...hivi hao ni frnds wazuri kweli???mambo ya kuharibiana ndoa haya!

Cha kufanya:-
1.
2.
3.
4.
5.
6.
 
Life can only be understood backward but it must be lived forward
 

Wala usiwe mlevi hata siku moja, kua mchunguzi kwa nini hivo visababu vinakuepo.
Mkeo ni mwanadamu na pia anachoka kama wewe, usifanye hizo kazi kama favor ila ona kama ni jukumu lako kufanya. Mi nachukia sana km mwanamme atafanya kazi za nyumbani huku kila saa anatamka nakusaidia as if wewe tu ndo unatakiwa kufanya hizo kazi wakati wote mmetoka kazn na mmechoka.
 
hee huyu mwanamme ana vituko ..siku za weekend inabidi amsaidie mama watoto kazi ndogondogo .
kazi za home ni nyingi na zinzchosha sana ..pia haziishi ukimaliza hii inaibuka nyingine ..
Huyu jamaa hana huruma hata kidogo

FL, sio kwamba amsaidie ila ni jukumu lake kufanya hivo.

hawa wanaume wenda wazimu kweli, hivi na sisi tukipita bar tukirudi usiku watajisikiaje.
 
ilinisaidia tena sana sana tu...mbona alijirekebisha mwenyewe!..c mnapendaga attention mkiiosa mnaumwa.


Ndiyo hapo wanahamia nyumba ndogo ambapo kila ukizuka tu attention kama kazi. Na hii ndiyo sababu kubwa ya kushamiri nyumba ndogo, nyumbani mama akiuchuna basi kuna mwenzie anayefaidi katika nyumba ndogo na si ajabu akapewa promotion.
 
hahahahahah mara naangalia Kina Juan Miguel ..inaisha unaanza Shade of Sin..mala inakuja La Toramento ..lakini si mnaangalia pamoja kuliko kukesha bar..vi serengeti ndani vipo ..na mawazo ya wife mara kibao ni ya kujenga na si kubomoa

Hata mawazo ya nyumba ndogo mara nyingi sana ni kujenga na si kubomoa muulize Da Sophy, ndiyo maana nyumba ndogo zinashamiri sana na pia unajiona kama mfalme hata kwa masaa machache tu ukilinganisha na kurudi nyumbani ambako mke hana muda na wewe kwa kisingizio cha kuchoka na kutaka kuangalia vipindi vyake kila siku ya mungu.
 
Ndiyo hapo wanahamia nyumba ndogo ambapo kila ukizuka tu attention kama kazi. Na hii ndiyo sababu kubwa ya kushamiri nyumba ndogo, nyumbani mama akiuchuna basi kuna mwenzie anayefaidi katika nyumba ndogo na si ajabu akapewa promotion.

Mnaahamia nyumba ndogo ili kutukomoa ua?
Hv kwani mimi nakosa nyumba kubwa(jibaba la kunihudumia)?

Kv vp ngoma droo.. Hawa wanaume ukiwaendekeza utalia.
 

TUTAJIREKEBISHA First Lady usijali
 
Lazima wenye ndoa changa na hata za cku nyingi mbadilie-kama unatoka toka na mkeo.Hukumuoa alindenyumba lazima mtoke wote na mfurahi pamoja na watoto wenu ndo maana ya familia.
 
Mnaahamia nyumba ndogo ili kutukomoa ua?
Hv kwani mimi nakosa nyumba kubwa(jibaba la kunihudumia)?

Kv vp ngoma droo.. Hawa wanaume ukiwaendekeza utalia.


Utalia kidogo!! raha jipe mwenyewe ukisema umngoje akupe utajuta.
 



Utafikiria wewe chuma, mimi huwa sielewagi na nasemaga nimechoka sifanyi.......
 

Poleni wenye kutarajia mabadiliko... huyu mwanaume kama hujamzibiti toka anakuoa..sahau!
Bora anaemaliza mambo yake yote kabla ya saa moja usiku kuliko anayekurudia usiku kalewa ananuka pombe haweza hata kuoga. Mie wangu nashukuru sana...anacheza mchana weeeee, jioni anarudi kuoga na kutulia na mimi maana kengele imelia tayari!
 
Hivi F1 Mr. akijamba wkt mmejifunika shuka utafanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…